Sawa sawa.Sporting leo wajiandae , Emirates huwa hatucheki na kimaView attachment 2554329
Nyie mnasema tunachezaga mpira wa ujanja ujanja tulishawaambia hapa kama ni rahisi kucheza mpira wa ujanja ujanja chezeni hata msimu mmoja tu mbebe hata ueropa.Inawezekana tukaenda mikono mitupu this season hili ndilo lililokuwa trophyya uhakika Acha nikeshe tu kwa uchungu mzito sana
Tulieni nyie sio kila muda mnakuja kutupigia kelele kule kuwa ten hag muoga kikosi kile kile kila siku.Arteta aliidharau sporting na wamemfunza adabu pumbavu zake, game ya kwanza ilitosha kabisa kuingia robo fainali laiti kama angepanga full mkoko.
Vieira physical yake badoKichekesho ni atatolea shabiki atakuambia "Bora tumetoka ili tufocus na ligi"
Kumbukumbu zangu zinaniambia tangu Aaron aje Arsenal hajawahi daka penati hata moja. Kama unaikumbuka ya Fernandes, Fernandes alitoa nje huku Aaron akiwa kaenda upande mwingine.
Kwa timu ambayo ina hamu ya kushindana na timu za nje ya Uingereza benchi letu ni la hovyo, kuna wachezaji hata kama tunawapenda vipi inabidi waende. Juzi dhidi ya Fulham nilisema Vieira siyo physical game ya hivyo inamsumbua kuna kiazi kikataka kuanzisha ubishi.
Na kuna wale mashabiki wana ile "We will try again next time" kiukweli hapana ifike muda tujue muda gani wa kukomaa na muda gani wa kusema hapa itabidi nisubiri.
Squad selection jana alifeli ArtetaHii ndio ilikuwa trophyya uhakika huko EPL ni mtihani mzito
mamanina Arsenal bora hata mgecheza saa 3 kasoro tutafute usingizi sasa hivi usingizi unatoka wapi tena?
Itakuwa ni laana kwa Arsenal ya season hii kwenda trophy less abadani na ninaona season hii tukiqualify champions league but no trophy ohh my God
Bado hatuna kikosi hicho.Tuna imani na EPL aseno number moja milele
Kwaiyo Arsenal haina uwezo wa kupambania makombe mawili ndani ya msimu mmoja ?
Tuache utetezi jana kafeliArteta naona anataka tuzingatie epl, yasije ya Liverpool mwaka jana, coz hatuna kikosi kipana