Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Mashabik wenu wengne wanaona lbd ndo vzr.. Sio vzr hata kdg ukiwa unafukuza na Pep na city kwny ligi tena gape lenyw point 5.Hii ndio ilikuwa trophyya uhakika huko EPL ni mtihani mzito
mamanina Arsenal bora hata mgecheza saa 3 kasoro tutafute usingizi sasa hivi usingizi unatoka wapi tena?
Itakuwa ni laana kwa Arsenal ya season hii kwenda trophy less abadani na ninaona season hii tukiqualify champions league but no trophy ohh my God
Arsenal msimu huu mkienda bila kikombe asee mtakua ni wazembe sana tena sana, Yan bora kocha na wachezaj wajue wanatkiwa kufia uwanjan kwny ligi wawape washabik wao walau furaha msimu huu.. Hype yote hii mkienda kapa maneno ya wapinzan mtajuta.
ya uhakika huko EPL ni mtihani mzito 





