momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,041
- 2,140
United wapo kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa mimi na amini hili pia."Arsenal fan" points hapo ni tano tu hizo tatu hazihesabiki kwa sasa kwakua hatujacheza.kimahesabu huwezi kuiondoa united kwenye kushindania ubingwa,tumeona mechi tatu tu ambazo arsenal ameteleza zimeongeza title contenders.Basi wewe ndio huijui epl. Msimu uliopita kuna kipindi Man city alikuwa amemzidi liverpool points 14 ila ubingwa ulipatikana mpaka mechi ya mwisho kwa tofauti ya point 1.
Pia kwa hapo zamani kidogo gape hilo hilo la points 8 kuna timu iliwahi kukosa ubingwa au ilibaki kidogo ikose kama sikosei ni kati ya man u na man city. Punguzeni matarajio pia na kumuona man city ndio mpinzani pekee.

