Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Basi wewe ndio huijui epl. Msimu uliopita kuna kipindi Man city alikuwa amemzidi liverpool points 14 ila ubingwa ulipatikana mpaka mechi ya mwisho kwa tofauti ya point 1.

Pia kwa hapo zamani kidogo gape hilo hilo la points 8 kuna timu iliwahi kukosa ubingwa au ilibaki kidogo ikose kama sikosei ni kati ya man u na man city. Punguzeni matarajio pia na kumuona man city ndio mpinzani pekee.
United wapo kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa mimi na amini hili pia."Arsenal fan" points hapo ni tano tu hizo tatu hazihesabiki kwa sasa kwakua hatujacheza.kimahesabu huwezi kuiondoa united kwenye kushindania ubingwa,tumeona mechi tatu tu ambazo arsenal ameteleza zimeongeza title contenders.
 
Everton Vs Arsenal
Fulham Vs Arsenal
Westham Vs Arsenal
Newcastle Vs Arsenal
Arsenal Vs Brighton

Kuna hizo hapo nyingine sio rahisi kama unavyofikiria, mechi 4 ugenini halafu moja Emirate.

Ligi bado ngumu hii, kuna surprises za kutosha, mechi unayoichukulia simple ndio utayopoteza points3 bila kutegemea, chamsingi ni kukaza makalio tu ukilegeza kidogo tu unakuta ukuni ushaingia.
View attachment 2522739
We jamaa acha mambo za ushoga bc

20230220_131335.jpg
 
Huyu mwamba arudi tu.. Haya ndio mambo nketiah hana.
Huyu ndio alikuwa anamfanya martinelli anafanya vizuri upande wa kushoto.
Mwamba anashambulia kutokea kushoto, kati na kulia.

Kwangu naimani magoli yatakuja tu, ila mchango wake ni mkubwa saana kwenye matokeo ya timu.
Beki hazikai kwa amani.
 

Attachments

  • VID-20230221-WA0003.mp4
    4.7 MB
Huyu mwamba arudi tu.. Haya ndio mambo nketiah hana.
Huyu ndio alikuwa anamfanya martinelli anafanya vizuri upande wa kushoto.
Mwamba anashambulia kutokea kushoto, kati na kulia.

Kwangu naimani magoli yatakuja tu, ila mchango wake ni mkubwa saana kwenye matokeo ya timu.
Beki hazikai kwa amani.
Jamaa anaujua sana.
 
Back
Top Bottom