Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Hivi wewe jamaa unakaaga kwenye jukwaa lako kweli?Michezo ya wanaume hio, hawa wavulana msimu ujao wataendelea kubanana humohumo kwenye Europa.
Uefa inahitaji wanaume waliokomaa Pumbuh sio hawa watoto wapaka poda.
