toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Ukiiangalia juve na ukaangalia shombo za locatell na vilahovic wakati walipoikataa arsenal na nafasi yao ndani ya team na ulaya kwa ujumla kuna kitu unaona ambacho hawa jamaa wanapokuwa kwenye prime time hawakioni.
Mawakala wanachangia mno kuua carrier za wachezaji wao hasa mawakala A-list na mawakala wanaotoka kwenye mazingira magumu financially.
To them a player is just a product(fact) which they don't consider who takes it and how will the product be fashioned now and then.
Nafikiri kama kuna kitu wachezaji wanapaswa kukiangalia kwa umakini ni aina ya mawakala wanaowasimamia.wanawauza.
Kushine kwa mchezaji katka klabu fulani binafsi huwa naamini kunachangiwa na vitu vingi sana ila few to mention ni
-kuaminiwa na klabu yake
-kuaminiwa na wachezaji wenzake
-aina ya wachezaji anaocheza nao na kile wanaofa kwake hadi kung'aa
-kocha na technical stuffs
-tactical setting ambazo zinamfanya kung'aa
-tabia ya mashabiki wa klabu aliyopo/anayochezea
-vission na mission ya mchezaji na namba inavyoshabihiana na vission na mission ya klabu
-role ya wakala.
Hazard ni another case study
Mawakala wanachangia mno kuua carrier za wachezaji wao hasa mawakala A-list na mawakala wanaotoka kwenye mazingira magumu financially.
To them a player is just a product(fact) which they don't consider who takes it and how will the product be fashioned now and then.
Nafikiri kama kuna kitu wachezaji wanapaswa kukiangalia kwa umakini ni aina ya mawakala wanaowasimamia.wanawauza.
Kushine kwa mchezaji katka klabu fulani binafsi huwa naamini kunachangiwa na vitu vingi sana ila few to mention ni
-kuaminiwa na klabu yake
-kuaminiwa na wachezaji wenzake
-aina ya wachezaji anaocheza nao na kile wanaofa kwake hadi kung'aa
-kocha na technical stuffs
-tactical setting ambazo zinamfanya kung'aa
-tabia ya mashabiki wa klabu aliyopo/anayochezea
-vission na mission ya mchezaji na namba inavyoshabihiana na vission na mission ya klabu
-role ya wakala.
Hazard ni another case study




