Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukiiangalia juve na ukaangalia shombo za locatell na vilahovic wakati walipoikataa arsenal na nafasi yao ndani ya team na ulaya kwa ujumla kuna kitu unaona ambacho hawa jamaa wanapokuwa kwenye prime time hawakioni.
Mawakala wanachangia mno kuua carrier za wachezaji wao hasa mawakala A-list na mawakala wanaotoka kwenye mazingira magumu financially.
To them a player is just a product(fact) which they don't consider who takes it and how will the product be fashioned now and then.
Nafikiri kama kuna kitu wachezaji wanapaswa kukiangalia kwa umakini ni aina ya mawakala wanaowasimamia.wanawauza.

Kushine kwa mchezaji katka klabu fulani binafsi huwa naamini kunachangiwa na vitu vingi sana ila few to mention ni
-kuaminiwa na klabu yake
-kuaminiwa na wachezaji wenzake
-aina ya wachezaji anaocheza nao na kile wanaofa kwake hadi kung'aa
-kocha na technical stuffs
-tactical setting ambazo zinamfanya kung'aa
-tabia ya mashabiki wa klabu aliyopo/anayochezea
-vission na mission ya mchezaji na namba inavyoshabihiana na vission na mission ya klabu
-role ya wakala.

Hazard ni another case study
 
Screenshot_20230224_003141_All%20Goals.jpg
 
🗞️| @FabrizioRomano: Mikel Arteta and Edu are determined to secure this generation of Arsenal stars to long-term deals. Martinelli renewed his contract until 2027 earlier this month and after securing Saka’s signature, the focus will now be on Aaron Ramsdale and William Saliba.
 
Ukiiangalia juve na ukaangalia shombo za locatell na vilahovic wakati walipoikataa arsenal na nafasi yao ndani ya team na ulaya kwa ujumla kuna kitu unaona ambacho hawa jamaa wanapokuwa kwenye prime time hawakioni.
Mawakala wanachangia mno kuua carrier za wachezaji wao hasa mawakala A-list na mawakala wanaotoka kwenye mazingira magumu financially.
To them a player is just a product(fact) which they don't consider who takes it and how will the product be fashioned now and then.
Nafikiri kama kuna kitu wachezaji wanapaswa kukiangalia kwa umakini ni aina ya mawakala wanaowasimamia.wanawauza.

Kushine kwa mchezaji katka klabu fulani binafsi huwa naamini kunachangiwa na vitu vingi sana ila few to mention ni
-kuaminiwa na klabu yake
-kuaminiwa na wachezaji wenzake
-aina ya wachezaji anaocheza nao na kile wanaofa kwake hadi kung'aa
-kocha na technical stuffs
-tactical setting ambazo zinamfanya kung'aa
-tabia ya mashabiki wa klabu aliyopo/anayochezea
-vission na mission ya mchezaji na namba inavyoshabihiana na vission na mission ya klabu
-role ya wakala.

Hazard ni another case study
Hakuna mchezaji mwenye akili timamu akubali kuhamia Arsenal.

Ni looses and rejects pekee ndo wenye hayo mawazo.

Yani mchezaji asicheze Juventus aje acheze Arsenal?

Una akili timamu?
 
The 7 possible teams Arsenal can draw in the Europa League R16


• Union Berlin
• Juventus
• Leverkusen
• Roma
• Sevilla
• Sporting Lisbon
• Shakhtar


Would love to draw Shakhtar and see Trossard put 3 past them…
Hahahaha watupatie hao wehu
 
Hakuna mchezaji mwenye akili timamu akubali kuhamia Arsenal.

Ni looses and rejects pekee ndo wenye hayo mawazo.

Yani mchezaji asicheze Juventus aje acheze Arsenal?

Una akili timamu?
Juve Jina tu ndo limebaki, toka aondoke Allegri msimu uleeeeeeeee
Hakuna mchezaji asiyevutiwa na uchezaji na project ya Arsenal kama huamin muulize Ronaldo7
 
🗣 Mikel Arteta on Thomas Partey's fitness:

"Thomas hasn’t trained much, but it looks like he could be available (to face Leicester). Let’s see how he trains today."
 
Wachezaji watatu wa Arsenal

🇪🇺🔑 Most goal contributions by u21 players in Europe's top five leagues:

1) Jamal Musiala - 17
1) Bukayo Saka - 17
1) Folarin Balogun - 17
2) Dango Ouattara - 13
3) Gabriel Martinelli - 10
4) Elye Wahi - 9
 
Back
Top Bottom