Xhaka hucheza uzuri akiwa na Partey kwani hupanda juu akiwa CM kusaidia mashambulizi na Odegaard, na Partey kuwa alinda back four na kuharibu mcheze wa timu pinzani.
Kama Patey hayupo Xhaka hupata shida kwani yabidi kubakia pale katikati na hivyo Arsenal kushindwa kufanya mashambulizi ya mpangilio.
Timu kama Man City waliweza kuizidi sehemu ya kiungo ya Arsenal kwa kila kitu lakini Aston Villa kuliwa na 50-50 hivyo imesaidia kidogo Arsenal.
Xhaka ni mchezaji mzuri lakini tukumbuke first 11 ya Arsenal ni Martinelli pekee ambae angalau amepata wa kumpumzisha (Trossard) ila wengi wao akiwemo Saka wahitaji kupumzika baadhi ya mechi huko mbele.
Saka ndo hana wa kumbadili maana Nicolas Pepe hayupo, hivyo hata ikitokea apigwa viatu sana hujitahidi kuendelea kucheza game na kuuguli maumivu baadae.
Hiyo ndiyo Arsenal ya sasa ambayo yanikumbusha Arsenal ya 2004.
Kama tunavyoamini washabiki sasa Arsenal ubingwa ni wetu kuupoteza njia imesafishwa na Manchester City na tuna game in hand.