Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapana, Jorginho tayari yupo kwenye nafasi yake. Huyo Shaka atafutiwe mwenigne wakupishana nae.
Pale kwa Xhaka panamshinda sikuiz, panamfaa zaid Fabio,
Kuna jamaa mmja humu aliwahi kusema Xhaka anacheza vizuri ila sio mnyumbulifu kama tukipata kiungo mnyumbulifu zaid Eneo lake tutakua bora zaid na zaid,
 
FB_IMG_1676777809788.jpg
 
Pale kwa Xhaka panamshinda sikuiz, panamfaa zaid Fabio,
Kuna jamaa mmja humu aliwahi kusema Xhaka anacheza vizuri ila sio mnyumbulifu kama tukipata kiungo mnyumbulifu zaid Eneo lake tutakua bora zaid na zaid,
Xhaka hucheza uzuri akiwa na Partey kwani hupanda juu akiwa CM kusaidia mashambulizi na Odegaard, na Partey kuwa alinda back four na kuharibu mcheze wa timu pinzani.

Kama Patey hayupo Xhaka hupata shida kwani yabidi kubakia pale katikati na hivyo Arsenal kushindwa kufanya mashambulizi ya mpangilio.

Timu kama Man City waliweza kuizidi sehemu ya kiungo ya Arsenal kwa kila kitu lakini Aston Villa ilikuwa ni 50-50 hivyo imesaidia kidogo Arsenal.

Xhaka ni mchezaji mzuri lakini tukumbuke first 11 ya Arsenal ni Martinelli pekee ambae angalau amepata wa kumpumzisha (Trossard) ila wengi wao akiwemo Saka wahitaji kupumzika baadhi ya mechi huko mbele.

Saka ndo hana wa kumbadili maana Nicolas Pepe hayupo, hivyo hata ikitokea apigwa viatu sana hujitahidi kuendelea kucheza game na kuugulia maumivu baadae.

Hiyo ndiyo Arsenal ya sasa ambayo yanikumbusha Arsenal ya 2004.

Kama tunavyoamini washabiki sasa Arsenal ubingwa ni wetu kuupoteza njia imesafishwa na Manchester City na tuna game in hand.
 
Xhaka hucheza uzuri akiwa na Partey kwani hupanda juu akiwa CM kusaidia mashambulizi na Odegaard, na Partey kuwa alinda back four na kuharibu mcheze wa timu pinzani.

Kama Patey hayupo Xhaka hupata shida kwani yabidi kubakia pale katikati na hivyo Arsenal kushindwa kufanya mashambulizi ya mpangilio.

Timu kama Man City waliweza kuizidi sehemu ya kiungo ya Arsenal kwa kila kitu lakini Aston Villa kuliwa na 50-50 hivyo imesaidia kidogo Arsenal.

Xhaka ni mchezaji mzuri lakini tukumbuke first 11 ya Arsenal ni Martinelli pekee ambae angalau amepata wa kumpumzisha (Trossard) ila wengi wao akiwemo Saka wahitaji kupumzika baadhi ya mechi huko mbele.

Saka ndo hana wa kumbadili maana Nicolas Pepe hayupo, hivyo hata ikitokea apigwa viatu sana hujitahidi kuendelea kucheza game na kuuguli maumivu baadae.

Hiyo ndiyo Arsenal ya sasa ambayo yanikumbusha Arsenal ya 2004.

Kama tunavyoamini washabiki sasa Arsenal ubingwa ni wetu kuupoteza njia imesafishwa na Manchester City na tuna game in hand.
Partey asipokuwa Beki zetu zinakuwa Exposed kirahisi sana, Jamaa anajua Kubalance Kuzuia na Kuanzisha mashambulizi.

Asipokuwepo tunakosa sana Balance katikati, Jorgihno sio Mkabaji kwa asili yake japo anacheza Deep.
 
We still have 4-5 tough games.
Man City
Chelsea
Liverpool
Crystal Palace and the last game
Everton Vs Arsenal
Fulham Vs Arsenal
Westham Vs Arsenal
Newcastle Vs Arsenal
Arsenal Vs Brighton

Kuna hizo hapo nyingine sio rahisi kama unavyofikiria, mechi 4 ugenini halafu moja Emirate.

Ligi bado ngumu hii, kuna surprises za kutosha, mechi unayoichukulia simple ndio utayopoteza points3 bila kutegemea, chamsingi ni kukaza makalio tu ukilegeza kidogo tu unakuta ukuni ushaingia.
Screenshot_20230109_211746.jpg
 
Jana mulijikamatia kibonde wenu, basi kelele zimerudi tena, sio?
Ila kenge ni kenge tu, hata iweje ubingwa hamuwezi chukua.
 
Partey asipokuwa Beki zetu zinakuwa Exposed kirahisi sana, Jamaa anajua Kubalance Kuzuia na Kuanzisha mashambulizi.

Asipokuwepo tunakosa sana Balance katikati, Jorgihno sio Mkabaji kwa asili yake japo anacheza Deep.
Usiandike hivi the next day if you dont understand the meaning of defending.
 
Walisema City Akishakaa Pale Juu Hakuna Wa Kumtoa..?? Mara Ooh Atashinda Mechi 15 Mfululizo
😂
Gurdiola Akishakaa Pale Juu Huwaga Hashuki Kiukwel City Ya Msim Huu Ya Kawaida Inamkazia Mkubwa Inampa Mtoto. Arsenal Akifungwa Au Kudraw Upepo Umekataa,Man City Akifungwa Au Draw eti yupo form

Kuna watu wehu
 
Back
Top Bottom