Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,666
- 1,406
Ramsey kuna kipindi alikuwa anhezeshwa kiongo katika game ambazo Cesc alikuwa anamiss,na alionekana kucheza vizuri tu,akipewa anafasi anaweza kuziba pengo la Cesc.....
Kingine ni kwamba Wenger naye anatakiwa aondolewe Arsenal,tupate meneja mpya ambaye atatuletea makombe badala ya huyu anayetaka kuwala chenga wenzie...Wenger aondolewe sasa,akiendelea kuwepo hadithi zitakuwa zilezile za kujenga timu kwanza(for 6 years?)
hivi mkuu kwanini wenger alimuuza kolo toure...??!!!