BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Mkuu we acha tu... Hii ligi inatuweka roho juu sana.
Mkuu na kipigo kingine pale nyumbani kwenu Old Trafford next week ndiyo roho zenu zitapaa kabisa.
Mkuu we acha tu... Hii ligi inatuweka roho juu sana.
Mkuu asante kwa kunikarisha jukwaani tena, ni majukumu ndo yamenifanya nisionekane hapa mara kwa mara kwani Mrs kajifungua mtoto wa kiume mwezi jana.Hatulali usiku,mchana ndo muda mzuri wa kupumzika,ila kwasasa nitaendelea kuwepo hapa jukwaani mpaka mwisho wa msimu.Hongereni tena kwa ushindi wa leo.
Ha ha ha,dogo mbona future ya Ze GunnersHongera homeboy.....huyu mtoto tutamsajili Chelsea!
Hongera homeboy.....huyu mtoto tutamsajili Chelsea![/QUOTE]Ha ha ha,dogo mbona future ya Ze Gunners
Gunners vimeo labda wapate kikombe cha babu!
Ha ha ha,dogo mbona future ya Ze Gunners
Mkuu na kipigo kingine pale nyumbani kwenu Old Trafford next week ndiyo roho zenu zitapaa kabisa.
Hii thread watu huwa hawatoi thanks!
Chizi wewe! Teh teh teh kula raha ushindi una raha nevertheless nawakumbuka Bolton!
Mkuu mbona itakuwa ajabu,kwetu sisi huchanjwa chale na kunyonya damu utimizapo miaka 6,kuwa nitailinda na kuiheshimu timu yangu ya Arsenal.Hii ni kutoka generation yangu iliyopita na ijayo.Usishangae kwa utashi wake akaja kuwa shabiki wa Man Utd.......lol
Mkuu asante kwa kunikaribisha jukwaani tena, ni majukumu ndo yamenifanya nisionekane hapa mara kwa mara kwani Mrs kajifungua mtoto wa kiume mwezi jana.Hatulali usiku,mchana ndo muda mzuri wa kupumzika,ila kwasasa nitaendelea kuwepo hapa jukwaani mpaka mwisho wa msimu.Hongereni tena kwa ushindi wa leo.
Mbu nakuona kwa mbali karibu sana, hawa wanoko walichonga sana kabla ya mpambano chacha wote wameunyuti kasoro ... ... oooops no one.
Hongera sana mkuu kwa kupata mtoto na Mungu awakuzie salama.Mkuu asante kwa kunikaribisha jukwaani tena, ni majukumu ndo yamenifanya nisionekane hapa mara kwa mara kwani Mrs kajifungua mtoto wa kiume mwezi jana.Hatulali usiku,mchana ndo muda mzuri wa kupumzika,ila kwasasa nitaendelea kuwepo hapa jukwaani mpaka mwisho wa msimu.Hongereni tena kwa ushindi wa leo.
ha ha Naona umeshamwagiwa thanks kama mchele🙂) bwana eeh mtuhurumie next week nyie Chelski!!..msitufanye karamu!!
ha ha Naona umeshamwagiwa thanks kama mchele🙂) bwana eeh mtuhurumie next week nyie Chelski!!..msitufanye karamu!!
Usishangae kwa utashi wake akaja kuwa shabiki wa Man Utd.......lol
Mkuu asante kwa kunikaribisha jukwaani tena, ni majukumu ndo yamenifanya nisionekane hapa mara kwa mara kwani Mrs kajifungua mtoto wa kiume mwezi jana.Hatulali usiku,mchana ndo muda mzuri wa kupumzika,ila kwasasa nitaendelea kuwepo hapa jukwaani mpaka mwisho wa msimu.Hongereni tena kwa ushindi wa leo.
Pia huyo bby boy asiwe mshabiki wa Arsenal mana atapata presha mapema ya kujitakia🙂) najua mtakataa lakini ndiyo kati ya gharama za kushabikia gunners...ha ha