BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Imagine next week Torres afunge goli la ushindi, I will go crazy kudadeki... Ila to be honest I am having a sense of Deja Vu.
Hahahahaha lol! Torres hawezi kufunga bila dimbwi la maji 🙂 au magoli yake ya kuvizia. Nitafurahi sana kama Torres akiwa kwenye benchi na kule mbele wakaanza akina Drogba, Anelka, Malouda/Kalou itakuwa kazi nzito sana kwa ngome ya MANU.