Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mmebahatisha na kubebwa kwenu...

Ila aaaaa.....hongereni bana...mmetuongeza machungu ya kumtafuna Chelski jumapili...

Soka sucks stms...


Ulianza kwa kelele nyingiii, leo watu wako wapi umu blah blah.... kiko wapi sasa?


Nilikwambia tutaenda dakika kwa dakika naona ukakimbie . Ndio mpira huo msubiri Schalke ujifariji.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yaani 2lifanya kosa juzi 2ngekuwa mbali. Bahati yake Wenger leo ange2muliwa!

Atimuliwe wenger aje nani. Balance sheet ya club ina A+. Mpaka UEFA wamempa tuzo japo hana kikombe kwa miaka sita sasa.

Kwa nini hawakumpa Guardiola, Fergusson au The special one

Wenger hawezi kutumuliwa mpaka siku mwenyewe atakaposema basi
 
Itakuwa poa sana kama Chelsea watacheza kwa kujituma sana na kuwaadhiri MANU pale nyumbani kwao Old Trafford, hata wakishinda kwa bao 1 watauchukua usukani wa EPL maana wao wana idadi kubwa ya magoli ya kufunga ukilinganisha na na MANU.

Haters where are you today? 🙂


Mkuu sio kweli kwamba Chelsea ana magori mengi ya kufunga, united ana 71 na chelsea ana 66 tofauti kubwa sana....sijui labda mwenzangu hebu yako umeitoa wapi.......
 
Ndo maana miye nakupenda maana wewe ni mpenzi wa kweli kabisa ambaye siku zote hata kama mtafungwa utatoa pongezi kwa roho nyeupe kabisa. Ahsante sana BJ na poleni kwa kipigo cha leo ambacho kimepunguza kwa kiasi fulani matarajio yenu ya ubingwa.

Thanks BAK, mambo ya f/ball inabidi kukubaliana na ushindi au kushindwa..hivyo basi ukiacha ushabiki wangu damu Manure, huwa timu pinzani ikifanya fresh lazima niipongeze...
Hicho kipigo kimetupa maluweluwe ukizingatia na Chelsea kasogea...ila it makes more interesting kujua hii title nani ataichukua!!..basi usishereheke sana, kazi bado hamjamaliza...Pheew! AW leo anakenua mbaya mana mlimsakama sana na bora mmeshinda hii game!!
 
Aah bwana, imeshakuwa ishu...ila next mechi lazima muipoteze, sijui kwanini nahisi hivi...ha ha
acha nimalizie msiba, wewe endelea na sherehe huko...naona umefurahi kweli kweli...


Duuh naona una ugonjwa wa Sheikh Yahaya siku hizi wa kuona mbali lol.


Furaha sio kubwa kivilee kwani tulitakiwa tuwe kwenye position nzuri zaidi ya tuliokuwepo sasa hivi. Nakuombea draw mechi zako zote na chelsea nao watoe draw mechi zote na sie tushinde mechi zote kwa magoli mengiiiiii lol ndoto hii ni kubwa kuliko zote kwenye maisha yangu .
 
Nipo my dia.......Naona kama wewe ndo ulipotea hasa katika zile game za Liver na Spurs.......Sikukuona kabisa

Kushinda raha aisee,ushindi wa leo umenifanya kwa mbaaali nisahau maumivu niliyosababishiwa na Arsenal msimu huu
Michelle... kila siku kumbuka "Bala is always here"
 
Mkuu sio kweli kwamba Chelsea ana magori mengi ya kufunga, united ana 71 na chelsea ana 66 tofauti kubwa sana....sijui labda mwenzangu hebu yako umeitoa wapi.......

soma hapa Manchester City v West Ham United | Live | Score | Premier League 2010-2011 - Yahoo Eurosport UK

goal difference ya man u na chelsea ni sawa +38.

Kumbuka mwisho wa siku hawaangalii magoli ya kufunga tu . wanaangalia magoli ya kufunga - ya kufungwa

man u wamefunga 71 wamefungwa 33 = 38
chelsea wamefunga 66 wamefungwa 28 = 38

Arsenal wamefunga 68 wamefungwa 36= 32
 
Mkuu sio kweli kwamba Chelsea ana magori mengi ya kufunga, united ana 71 na chelsea ana 66 tofauti kubwa sana....sijui labda mwenzangu hebu yako umeitoa wapi.......

Goal difference wako sawa kwahio chelsea kama akishinda anachukua uskani.
 
Mkuu sio kweli kwamba Chelsea ana magori mengi ya kufunga, united ana 71 na chelsea ana 66 tofauti kubwa sana....sijui labda mwenzangu hebu yako umeitoa wapi.......

Samahani Mkuu ni magoli ya kufungwa MANU wamefungwa 32 na Chelsea wamefungwa 28, hivyo kama Chelsea watashinda kwa idadi yoyote ile ya magoli Jumapili ijayo watachukua usukani wa EPL.
 
Duuh naona una ugonjwa wa Sheikh Yahaya siku hizi wa kuona mbali lol.


Furaha sio kubwa kivilee kwani tulitakiwa tuwe kwenye position nzuri zaidi ya tuliokuwepo sasa hivi. Nakuombea draw mechi zako zote na chelsea nao watoe draw mechi zote na sie tushinde mechi zote kwa magoli mengiiiiii lol ndoto hii ni kubwa kuliko zote kwenye maisha yangu .

Sio Shehe tu bali na ratiba za Arsenal zinajulikana, akishinda mechi hii inayofuata ni kipigo..ha ha!! ila sijui tuone mbele, usije kukata tamaa mapema!!
Hayo maombi ya draw kwa mechi za Chelksi na Manure hazitowezekana kabisa, halafu nyie mshinde mechi zilizobaki??!!! kweli itakuwa historical🙂)
Kweli leo Mei Mosi, naona AW kajituma kikazi zaidi!!!
 
Sio Shehe tu bali na ratiba za Arsenal zinajulikana, akishinda mechi hii inayofuata ni kipigo..ha ha!! ila sijui tuone mbele, usije kukata tamaa mapema!!
Hayo maombi ya draw kwa mechi za Chelksi na Manure hazitowezekana kabisa, halafu nyie mshinde mechi zilizobaki??!!! kweli itakuwa historical🙂)
Kweli leo Mei Mosi, naona AW kajituma kikazi zaidi!!!

Leo tumewapooza mdomo pundits wa UK , manake wanachuki na Arsenal kinomaa kwa vile hatutumii hela nyingi kama Club zao wanazozipenda na bado tunawatoa jasho mpaka dakika ya mwisho lool.
 
Imagine next week Torres afunge goli la ushindi, I will go crazy kudadeki... Ila to be honest I am having a sense of Deja Vu.
 
Lakini mmejitahidi mechi ya leo na points zenu 3 ni za halali kabisa...so hongereni sana wakuu......sasa na sisi tuangalie mecho na Chelsea
 
Kumbe ki-button cha Thanks kimerudi ? Kweli Chelsea wanashika usukani soon. Mzee invisible anataka wagongeane thanks kwa ubingwa nini mpaka karudisha?
 
Leo tumewapooza mdomo pundits wa UK , manake wanachuki na Arsenal kinomaa kwa vile hatutumii hela nyingi kama Club zao wanazozipenda na bado tunawatoa jasho mpaka dakika ya mwisho lool.
Pundits gani hao unao wazungumzia mkuu? Maana English media siku zote ina soft spot na timu za London.
 
Leo tumewapooza mdomo pundits wa UK , manake wanachuki na Arsenal kinomaa kwa vile hatutumii hela nyingi kama Club zao wanazozipenda na bado tunawatoa jasho mpaka dakika ya mwisho lool.

Hahahaha ni leo tu mkuu inabidi mfurahi mecho bado zipo kidogo.....
 
Samahani Mkuu ni magoli ya kufungwa MANU wamefungwa 32 na Chelsea wamefungwa 28, hivyo kama Chelsea watashinda kwa idadi yoyote ile ya magoli Jumapili ijayo watachukua usukani wa EPL.

Ok powa kabisa mkuu hapo sasa nimekuelewa vizuri.....alafu hivi huwa wanaangalia kweli magoli ya kufungwa???na sio ya kufunga???
 
AW punguza yengele bana...

BBK na Michelle nendeni mkalale na nyie...
Wacha1 ukirud frm Emiratani PM...achana na stor za bahasha, naona leo na nyie mmetoa....

Mi Arsenal mna keleleeeeee! agrrrrrrrrrr!

All in all Hongereni sanaa...leo kipofu kaona mwezi...pamoja sana....apa nawaza kwata kuingia hm..familia yte Arsenal damdam...
 
Back
Top Bottom