Ukijaribu kuingia katika fikra za arteta utakutana na haya swali ambayo muda mwingi anajiuliza
HOW AM GONNA FINISH THIS RACE?
What if partey ......
Why jorginho?
Jorginho akiwa kama backup ya partey, its a big deal
Hatuwezi kumtegemea Lokonga just in case partey...
Jorginho alikua bora, yupo bora na habari njema zaidi atakua bora zaidi katika mikono ya mike arteta. Swali ni HOW?

kwanza kabisa jorginho ni profile za arteta, ndio maana nilipata kusema hatuwezi kuwa na Onana mvunja kuni

Tactically copy anazopiga arteta na jinsi alivyokua muumini wa total football, jorginho ni mtu sahihi
Domination of midfielder, killer pass, pressure resistance
Tunamuhitaji jorginho kama amana hospital inavyohitaji ambulance ya dharula, for emergency
Kama unaikumbuka barca ile ya messi, iniesta, xavi.
Basi Kuna mtu alikua anaitwa busquet ndio alikua anawafanyia kazi zote chafu technically. Lazima uwe na jicho la mpira ndio utaliona hili
Saka, martinel, Trossad, Nketiah, Xhaka, Jesus kule mbele wanamuhitaji sana mtu dizain hii ili kuweza kufanikisha mikimbio yao
Tunamuhitaji jorginho kama Ally mpemba anavyomuhitaji master
UMUGHAKA katika kumfanyia kazi chafu za kafara
Ukiachana na jorginho kuwa backup ya partey, pia tunaweza kumuona game nyingi tu ambazo hazitakua na pressure kubwa
Kama hizi za astonvila, Nottingham forest, Wolverhampton...
Au baada ya kupata matokeo dakika ya 65+ partey anampisha jorginho
Jorginho kwa mara ya kwanza anaenda kunyanyua EPL

For short term plan, its a big deal
Arsenal NDOO
Haaland kiatu
View attachment 2505317