Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wanaume rasmi wa arsenal ni man utd na everton ya sean dyche
Muda si mrefu city atawapiga nje ndani title contender wa nioko
Umeshasahau kwamba wanaume rasmi wa Man City Ni Brentford
 
Amina tuko pamoja wazee wenzetu wa London, tatizo mna Mashabiki wenzenu mapimbi wanakuja kututukana kwenye nyuzi zetu bila sababu zozote za misingi.

Wana Chelsea tunawatakia kila la heri kuhakikisha mnabeba ubingwa wa EPL 2022/2023.
Hawa mbanga siyo wa kuwatakia mema kabisa..awa wacha waliwe tu kiboya boya maana kushindwa kwao tumechi tuwili tutatu kumewapa kiburi chakujiona wanna timu bora kumbe wanna kikosi kimoja tu
 
Matokeo ya mpira..[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20230204_195918_All%20Goals.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom