Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dah ila BBC ni wanafiki kweli.
Screenshot_20230204-192758.jpg
 
Nikimuona shabiki wa Arsenal analalamika na mshangaa na hajui tuliyo yapitia.Huu mpira na hii ndio ligi ya Uingereza, kwangu tupo vizuri cha msingi kujipanga kwa mechi ijayo.
 
Kwani Conte Ana Nini mpaka asiwepo kesho ama kashapigwa kalamu?
Hapa ndiyo tunahitaji great xcter than ever.

City will stop at nothing. Spurs kesho haitakua na kocha wake.

You can guess
 
Back
Top Bottom