allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
Aaron Arsenal anakwambia madogo tunewapigia mpira mkubwa kweli sema madogo wamefanya ujanja ujanja.
Karibu msibani mkuu,ila muda si mrefu tuna taarifa za msiba unaotarajia kutokeaNilisema hapa leo mkijitahidi ni sare nyie matakataka ni zali tu ndo limewabeba mpaka sasamnaongoza ligi ila uwezo wa kuchukua hamna
Ben White recently kiwango chake kimepungua, ni muda sasa wa Yomiyasu kuanza RB
Panda kama unawezawatajisalimisha keaho.
Yaani walikuwa wanasubir hii sikuNaona haters
Naona mshawasili kutusagia kunguni![]()
Hamna ataemaliza above arsenal this season bruvUkiona ambangire anasema atakayemaliza juu ya arsenal ni bingwa situka mapema![]()
Mmmh hapana ni game tuJorginho ana kimando ...Hope tutakuwa fresh Gunners fainal zetu ni game mbili za man city.
Kila mtu ashinde mechi zakeKesho tuiombee Man City njaa
Naam positivelyAnyway, maandalizi kwa game inayofuata
Endelea kuota na jojino wakoHili goli linarudi dakika za mwisho
Woyoooo
Kwa zaidi ya miaka 40, Everton hawajawahi kufungwa nyumbani kwao chini ya kocha mpyaHili goli linarudi dakika za mwisho