Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilisema hapa leo mkijitahidi ni sare nyie matakataka ni zali tu ndo limewabeba mpaka sasamnaongoza ligi ila uwezo wa kuchukua hamna
Karibu msibani mkuu,ila muda si mrefu tuna taarifa za msiba unaotarajia kutokea
 
Goli la Tarkowski
Doucoure kamfanyia umafia Saliba
Kona kama tatu hivi Saliba amekuwa akiwanyima Everton goli
Doucoure baada ya kugundua hilo akamlia radar Saliba alimbana hata kabla kona haijapigwa na kutengeneza nafasi kwa Tarkowski
Yaani hata kama ningekuwa mimi ningefunga hilo goli
BIG UP kwa Doucoure
 
Tayari
Screenshot_20230204_180921_All%20Goals.jpg
 
Back
Top Bottom