Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nasikia chelsea wamevutwa huko

wahuni wamekwapua simu yangu wakitumia bodaboda, hivi Kama Nina IMEI no. Naweza kutract nikaipata?

Nimetumia email inanionesha sehemu ya mwisho ilipozimiwa nikwenye kituo Cha bodaboda
Kama wahuni hawajabadili imei namba unaipata, nenda polisi, watakupa michakato yote.

Taja simu, makorokoro mengine na pesa... Ili pesa ukiipata ulipie gharama za mafuta ya askari.
 
Shida ya Chelsea ni striker, game ya jana imezidi kuconfirm.

Havertz, Mount, Nkunku, Sterling, Mudryk, Ziyech hawa wote ni wazuri kuwatengenezea ST nafasi. Sasa Chelsea St wao ni Havertz nafikiri mpaka wacheze free role ndiyo matunda yatakuja kwa sasa
Nahisi hata Potter nae anashida, tunaweza kuwa na shida na striker, ila potter na yeye anashida, ukiniambia mpk sasa muundo wetu wa kiuchezaj ukoje nitashindwa kukwambia.

Mount n Havertz week in week out wanatoa performance mbov ila bado wataendelea kuwepo.

Jana ukiangalia gap lilokuwepo kati ya Enzo na wale 8s(Mount + Galagher), unabaki unacheka ni kama wanamlimit uwezo wake, na wanampa kazi kubwa.

Mount alikuwa kama 8s ila mda wote yuko kwenye zone ya Mudryk utasema henc mipira michache sana ilienda kwa mudryk.

Ziyech ni kama akili ilikuwa Paris vile

Potter ajiangalie kimbinu, Arteta alihataj mda ila hata kwa short term aliweza win(Fa Cup) tena kwa kuwafunga City n Chelsea.
 
Nahisi hata Potter nae anashida, tunaweza kuwa na shida na striker, ila potter na yeye anashida, ukiniambia mpk sasa muundo wetu wa kiuchezaj ukoje nitashindwa kukwambia.

Mount n Havertz week in week out wanatoa performance mbov ila bado wataendelea kuwepo.

Jana ukiangalia gap lilokuwepo kati ya Enzo na wale 8s(Mount + Galagher), unabaki unacheka ni kama wanamlimit uwezo wake, na wanampa kazi kubwa.

Mount alikuwa kama 8s ila mda wote yuko kwenye zone ya Mudryk utasema henc mipira michache sana ilienda kwa mudryk.

Ziyech ni kama akili ilikuwa Paris vile

Potter ajiangalie kimbinu, Arteta alihataj mda ila hata kwa short term aliweza win(Fa Cup) tena kwa kuwafunga City n Chelsea.
Potter hana shida imekuja pale aliporundikiwa tu wachezaji ambao nahisi si mapendekezo yake, ambao wangefit mwenye mfumo wake. Sasa mpaka akae achekeche wale wanaomfaa kwenye mfumo ndo asonge nao.
 
Nasikia chelsea wamevutwa huko

wahuni wamekwapua simu yangu wakitumia bodaboda, hivi Kama Nina IMEI no. Naweza kutract nikaipata?

Nimetumia email inanionesha sehemu ya mwisho ilipozimiwa nikwenye kituo Cha bodaboda
Ukiongea na wale jamaa wa cyber crime unaipata chaap kwa haraka.
 
Wewe mpira ujui sisi tumesajili kutokana na uhitaji wetu kwenye hiyo nafasi kwa kuangalia je anasifa zakufit hiyo nafasi? Ndio maana tukaona mtu pekee anayetufaa ni Enzo.Tangu aondoke Lampard pale chelsea hatujawahi kupata kiungo mkabaji mwenye uwezo wakupiga long passes na Enzo ana hii sifa yupo vizuri Sana, sifa ya pili ya Enzo anajua kudominate game kupiga pass fupi fupi na ndefu za break up back line ya opponent, ana jua kufunga, press resistance mzuri, ana technical ability nzuri pia ana kasi, ana uwezo wa kukaba kwa eneo kubwa la Uwanja mwisho kabisa ni mpambanaji.


Kiufupi ana baadhi ya sifa ambazo viungo tulionao hawana Enzo ni midfielder ambaye yupo full package ndio maana tumetumia nguvu kubwa kumsajili na hiyo nguvu hatukuitumia kwa jao Caicedo kwasababu ubora wake upo kwenye kukaba Sana pekee lakini hana technical ability ya kudominate mechi na sio mzuri sana kwenye passes.
Aaron Arsenal
Castr
Will Jr
HENRY14
Narudia tena. Msimu huu ni vizuri mchapwe kisawasawa ikiwezekana mshuke daraja, hilo balaa lenu pelekeni championship huko
 
Ukiongea na wale jamaa wa cyber crime unaipata chaap kwa haraka.
Sio rahisi hivo kama mnavoaminishana, me niliibiwa simu mwaka juzi July nimekuja kuipata mwaka jana March, tukiweka kwa asilimia basi ni watu 30% tu ndio hufanikiwa kupata simu zao

Endapo mwizi hajui chochote hapo ni kweli itakuwa chaap kama usemavyo, ila kama jamaa anajua anachokifanya itamchukua muda na unaweza kughairi

Kitu ambacho tunatakiwa kujua ni kwamba simu inakuwa tracked endapo tu iko ON, sasa wanachofanya wezi wao wakishatupa laini na kama wamefeli kuchange IMEI basi simu inazimwa na kuwekwa ndani ata miazi 6 au wanauza spare kitu kimoja kimoja

Mwenye simu kuna uwezekano mkubwa sana utakuwa umekata tamaa ya kupata simu yako baada ya kukitafuta bila mafanikio kwa miezi mingi, na hapo ndio inatolewa na kuuzwa na inaweza kuuzwa Mkoa mwingine na ilipoibiwa

Cha kufanya ni kutumia Askari ambae kidogo mnafamiana au umekutanishwa nae na mtu ambae wanajuana, wengi wao ni Njaa kali sana, simu wanaweza kuipata ila we kila siku wanakwambia simu haijapatikana, kumbe simu washaipata na aliekamatwa nayo kambambikiwa kesi zingine na wamepiga mpunga Mrefu na simu wanaitumia

Either utumie polisi au TCRA inabidi uwe na mtu ambae hataona shida kukusaidia kupatikana kwa simu yako bila kukata tamaa na kwa ukweli mkubwa wakati huo hakuumizi na gharama ambazo sio za msingi
 
Sio rahisi hivo kama mnavoaminishana, me niliibiwa simu mwaka juzi July nimekuja kuipata mwaka jana March, tukiweka kwa asilimia basi ni watu 30% tu ndio hufanikiwa kupata simu zao

Endapo mwizi hajui chochote hapo ni kweli itakuwa chaap kama usemavyo, ila kama jamaa anajua anachokifanya itamchukua muda na unaweza kughairi

Kitu ambacho tunatakiwa kujua ni kwamba simu inakuwa tracked endapo tu iko ON, sasa wanachofanya wezi wao wakishatupa laini na kama wamefeli kuchange IMEI basi simu inazimwa na kuwekwa ndani ata miazi 6

Mwenye simu kuna uwezekano mkubwa sana utakuwa umekata tamaa ya kupata simu yako baada ya kukitafuta bila mafanikio kwa miezi mingi, na hapo ndio inatolewa na kuuzwa na inaweza kuuzwa Mkoa mwingine na ilipoibiwa

Cha kufanya ni kutumia Askari ambae kidogo mnafamiana au umekutanishwa nae na mtu ambae wanajuana, wengi wao ni Njaa kali sana, simu wanaweza kuipata ila we kila siku wanakwambia simu haijapatikana, kumbe simu washaipata na aliekamatwa nayo kambambikiwa kesi zingine na wamepiga mpunga Mrefu na simu wanaitumia

Either utumie polisi au TCRA inabidi uwe na mtu ambae hataona shida kukusaidia kupatikana kwa simu yako bila kukata tamaa na kwa ukweli mkubwa wakati huo hakuumizi na gharama ambazo sio za msingi

Ni kweli mkuu👊
 
Nasikia chelsea wamevutwa huko

wahuni wamekwapua simu yangu wakitumia bodaboda, hivi Kama Nina IMEI no. Naweza kutract nikaipata?

Nimetumia email inanionesha sehemu ya mwisho ilipozimiwa nikwenye kituo Cha bodaboda
Achana nayo nunua simu nyingine watu wa aseno kwa kulialia? Aaron Arsenal njoo hapa dukani kwetu kariakoo tukukopeshe kama huna kitu.
 
Sio rahisi hivo kama mnavoaminishana, me niliibiwa simu mwaka juzi July nimekuja kuipata mwaka jana March, tukiweka kwa asilimia basi ni watu 30% tu ndio hufanikiwa kupata simu zao

Endapo mwizi hajui chochote hapo ni kweli itakuwa chaap kama usemavyo, ila kama jamaa anajua anachokifanya itamchukua muda na unaweza kughairi

Kitu ambacho tunatakiwa kujua ni kwamba simu inakuwa tracked endapo tu iko ON, sasa wanachofanya wezi wao wakishatupa laini na kama wamefeli kuchange IMEI basi simu inazimwa na kuwekwa ndani ata miazi 6

Mwenye simu kuna uwezekano mkubwa sana utakuwa umekata tamaa ya kupata simu yako baada ya kukitafuta bila mafanikio kwa miezi mingi, na hapo ndio inatolewa na kuuzwa na inaweza kuuzwa Mkoa mwingine na ilipoibiwa

Cha kufanya ni kutumia Askari ambae kidogo mnafamiana au umekutanishwa nae na mtu ambae wanajuana, wengi wao ni Njaa kali sana, simu wanaweza kuipata ila we kila siku wanakwambia simu haijapatikana, kumbe simu washaipata na aliekamatwa nayo kambambikiwa kesi zingine na wamepiga mpunga Mrefu na simu wanaitumia

Either utumie polisi au TCRA inabidi uwe na mtu ambae hataona shida kukusaidia kupatikana kwa simu yako bila kukata tamaa na kwa ukweli mkubwa wakati huo hakuumizi na gharama ambazo sio za msingi
Dah umenikumbusha niliibiwa simu kama mei april 2021 nilikuja ipata august 2022.huu mchakato ni mgumu na wa gharama sana.simu ilikuwa na thamani ya 230000 wakati wa upya ila mchakato wa kuitafuta na kuipata ulinigharimu 163000
 
Sio rahisi hivo kama mnavoaminishana, me niliibiwa simu mwaka juzi July nimekuja kuipata mwaka jana March, tukiweka kwa asilimia basi ni watu 30% tu ndio hufanikiwa kupata simu zao

Endapo mwizi hajui chochote hapo ni kweli itakuwa chaap kama usemavyo, ila kama jamaa anajua anachokifanya itamchukua muda na unaweza kughairi

Kitu ambacho tunatakiwa kujua ni kwamba simu inakuwa tracked endapo tu iko ON, sasa wanachofanya wezi wao wakishatupa laini na kama wamefeli kuchange IMEI basi simu inazimwa na kuwekwa ndani ata miazi 6

Mwenye simu kuna uwezekano mkubwa sana utakuwa umekata tamaa ya kupata simu yako baada ya kukitafuta bila mafanikio kwa miezi mingi, na hapo ndio inatolewa na kuuzwa na inaweza kuuzwa Mkoa mwingine na ilipoibiwa

Cha kufanya ni kutumia Askari ambae kidogo mnafamiana au umekutanishwa nae na mtu ambae wanajuana, wengi wao ni Njaa kali sana, simu wanaweza kuipata ila we kila siku wanakwambia simu haijapatikana, kumbe simu washaipata na aliekamatwa nayo kambambikiwa kesi zingine na wamepiga mpunga Mrefu na simu wanaitumia

Either utumie polisi au TCRA inabidi uwe na mtu ambae hataona shida kukusaidia kupatikana kwa simu yako bila kukata tamaa na kwa ukweli mkubwa wakati huo hakuumizi na gharama ambazo sio za msingi
Wife alikwapuliwa simu ya milioni moja akatumia cyber ya polisi akaipata. Alitumia gharama ya laki mbili kuipata.
 
Wife alikwapuliwa simu ya milioni moja akatumia cyber ya polisi akaipata. Alitumia gharama ya laki mbili kuipata.
Sawa Mkuu nimekupata, Ila bado haihalalishi kwamba upatikanaji wake ni rahisi, inategemea tu na aliekuibia ameamua kuifanya nini, wengine wanafungua na kuuza spare kama vioo nk
 
Dah umenikumbusha niliibiwa simu kama mei april 2021 nilikuja ipata august 2022.huu mchakato ni mgumu na wa gharama sana.simu ilikuwa na thamani ya 230000 wakati wa upya ila mchakato wa kuitafuta na kuipata ulinigharimu 163000
Ni kazi kweli kweli, wengi wao waga wanaghairi tu maana muda na gharama zinakuwa kubwa

Na sio mara zote utaipata ila ndio teyari ushaingia gharama kibao, kama simu ilikuwa ya gharama ndogo na haina vitu vya muhimu sana bora mtu upige kimya tu
 
Jogha ndani
IMG_20230204_142947.jpg
 
Sijui ni phobia,ila nna feelingis kati ya saliba au saka kuna mmoja tayari ana new destination. Their delay in contract renewal zinanikumbusha ya ramsey,nasri,clitchy na Alexander hleb
 
Back
Top Bottom