Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Auba kama auba
20230203_192953.jpg
 
Wachezaji wa bara la america hasa brazil,chile,paraguay,uruguay,mexco nk ukiwaangalia physical appearance yao unaona jambo moja kubwa "utukutu na ununda" hata wakijishepu bado unaona ile nature ikiwaandama.
Naona arteta amejitahidi saana kumshepu martinell na nadhani atazidi kuimarica ethically.
Wachezaji wa ki "english" kwenye facial interview unaona yafuatayo
1-Nguvu(hawa jamaaa ukoloni kuna mahali uliwaathiri katika matumizi ya nguvu.they believe with power everything is attainable )

2-Deko (the feeling of deserving ) wanahisi dunia ya mpira inatakiwa izunguke huku wao wakiwa ni muhimili.jamaa wanachekesha saaana.they believe without england and english clubs mpira hauna thamani uliyonayo.(pengine ni kweli)

My take; Perez moja ya sababu ambayo haizungumzi hadharani kuhusu kupigania super league nikutaka kutengeneza platform yenye atmosphere na pleasure ya fancy,fantasy na maslahi inayokaribiana na EPL.

Waarabu,wachina na wamarekani wamejaribu saana kutengeneza league na vilabu vyenye ushawishi lakini tactically na technically jamaa wako dunia yao.
Kuondoka kwa MESS na RONALDO katika la liga kumeifanya ligi yao kuonekana ya kawaida na nikama imepoteza ushawishi.
Watu kama lewandosky,hazard,aubameyang nk,waliletwa si tu kwa ajili ya vilabu vyao bali kuona kama wanaweza offer nusu ya mvuto waliokuwa nao MESS na RONALDO
 
Sawa ila Pep Kipara ni jitu baguzi la rangi nyeusi toka Africa la kazi gani nijipendekeze kwake kulikubali?
Cancelo angekuwa anarangi nyeusi sipati picha nyie mbwa mngeoongea nin....

Pep hana ubaguzi ila mchezaji yeyote akileta ujuaji mwingi na kujiona special kwenye kikosi ,anaondolewa haraka Sana ,haijalishi Nani ni nani ....
 
Back
Top Bottom