Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hopes Trossard will manage LW better than the Brazilian
Coach afanye maamuzi ya kumtoa martinnel na ben white aingie tomiyasu kumsaidia saka kuongeza ubunifu upande wa kulia na trossard ni mzuri kwenye touch za kufungua timu inayocheza kwa kupaki bus muda mwingi pia xhaka game imemshinda...super sub ndio mkombozi wetu kwa mech ya leo
 
Coach afanye maamuzi ya kumtoa martinnel na ben white aingie tomiyasu kumsaidia saka kuongeza ubunifu upande wa kulia na trossard ni mzuri kwenye touch za kufungua timu inayocheza kwa kupaki bus muda mwingi pia xhaka game imemshinda...super sub ndio mkombozi wetu kwa mech ya leo
Ninavyomjua Arteta atafanya sub dakika ya 80 huko badala ya kufanya sub mapema.
 
Kimbinu jamaa wamejiandaa vizuri plus wana morale na hali ya kuwa na kocha mpya basi balaa tupu

Wameweza kumzuia Odegard asipate Uhuru wa kuamua game na pia wameziba mianya ya Saka na Martinel alafu Edie wamemuacha huru kwa sababu hapati huduma

Hapo ndio tunaona umuhimu wa Jesus, jamaa angekuwa anahama na beki za kati muda wote kutokana na movement zake anazofanyaga na sio kama Edie ambae ye anastick tu kati anasubiri kulishwa

Labda aingie Trossard maana yeye anacheza tofauti na Martinel, jamaa waga akipata mpira lazima alazimishe kuingia ndani kwa kuwafata mabeki tofauti na Gabi yeye mara nyingi anaangalia second runner wa kumpa mpira

Anyway, tunajua mechi zote ni ngumu ila hatuna namna zaidi ya kupambana mwanzo mwisho #COYG
 
Masikini aseno
Screenshot_20230204_165242_All%20Goals.jpg
 
Back
Top Bottom