Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukijaribu kuingia katika fikra za arteta utakutana na haya swali ambayo muda mwingi anajiuliza
HOW AM GONNA FINISH THIS RACE?
What if partey ......

Why jorginho?
Jorginho akiwa kama backup ya partey, its a big deal
Hatuwezi kumtegemea Lokonga just in case partey...

Jorginho alikua bora, yupo bora na habari njema zaidi atakua bora zaidi katika mikono ya mike arteta. Swali ni HOW?

kwanza kabisa jorginho ni profile za arteta, ndio maana nilipata kusema hatuwezi kuwa na Onana mvunja kuni

Tactically copy anazopiga arteta na jinsi alivyokua muumini wa total football, jorginho ni mtu sahihi
Domination of midfielder, killer pass, pressure resistance

Tunamuhitaji jorginho kama amana hospital inavyohitaji ambulance ya dharula, for emergency

Kama unaikumbuka barca ile ya messi, iniesta, xavi.
Basi Kuna mtu alikua anaitwa busquet ndio alikua anawafanyia kazi zote chafu technically. Lazima uwe na jicho la mpira ndio utaliona hili
Saka, martinel, Trossad, Nketiah, Xhaka, Jesus kule mbele wanamuhitaji sana mtu dizain hii ili kuweza kufanikisha mikimbio yao

Tunamuhitaji jorginho kama Ally mpemba anavyomuhitaji master UMUGHAKA katika kumfanyia kazi chafu za kafara

Ukiachana na jorginho kuwa backup ya partey, pia tunaweza kumuona game nyingi tu ambazo hazitakua na pressure kubwa
Kama hizi za astonvila, Nottingham forest, Wolverhampton...
Au baada ya kupata matokeo dakika ya 65+ partey anampisha jorginho

Jorginho kwa mara ya kwanza anaenda kunyanyua EPL

For short term plan, its a big deal

Arsenal NDOO
Haaland kiatu

IMG-20230203-WA0015.jpg
 

Attachments

  • IMG-20230203-WA0015.jpg
    IMG-20230203-WA0015.jpg
    80.7 KB · Views: 11
This Chelsea side walianza kama vile they know what they are doing.

Fulham were so confident with the match mpaka Chelsea akaogopa nilikua sahihi kusema Mudryk siyo finisher lakini pia ana weakness zingine ambazo asipojirekebisha atakua kichekesho EPL as timu nyingi EPL zinacheza kiFulham.
 
Nilichofurahi zaidi ni Arteta kununua wachezaji ndani ya EPL, they don't need time to adjust, we've got no time for adjustments especially in January. Naamini Trossard na Joginho will shine, we need them to deliver now.
 
Moyo wake haupo pale bro, kila mtu anajua ilo View attachment 2505463
"It's like you buy a Ferrari expecting to enjoy comfortability and high performance of the car, but you forget to consider the roughness of the road you will drive on."

Kwa kuitazama mechi ya jana sidhani kama Potter ana idea yeyote ya jinsi ya kumtumia Mudryk au alikuwa anajua atamtumia vipi huyu player kwenye mfumo wake.
 
"It's like you buy a Ferrari expecting to enjoy comfortability and high performance of the car, but you forget to consider the roughness of the road you will drive on."

Kwa kuitazama mechi ya jana sidhani kama Potter ana idea yeyote ya jinsi ya kumtumia Mudryk au alikuwa anajua atamtumia vipi huyu player kwenye mfumo wake.
Huyu wachezaji ameletewa tu na hajui afanye nini ili wampe matokeo
 
Nasikia chelsea wamevutwa huko

wahuni wamekwapua simu yangu wakitumia bodaboda, hivi Kama Nina IMEI no. Naweza kutract nikaipata?

Nimetumia email inanionesha sehemu ya mwisho ilipozimiwa nikwenye kituo Cha bodaboda
Kama aliyeiba hajui of coz unaweza ipata ila itabidi uwape hongo askari, hawako vizuri kwenye kutimiza majukumu.
 
"It's like you buy a Ferrari expecting to enjoy comfortability and high performance of the car, but you forget to consider the roughness of the road you will drive on."

Kwa kuitazama mechi ya jana sidhani kama Potter ana idea yeyote ya jinsi ya kumtumia Mudryk au alikuwa anajua atamtumia vipi huyu player kwenye mfumo wake.
Shida ya Chelsea ni striker, game ya jana imezidi kuconfirm.

Havertz, Mount, Nkunku, Sterling, Mudryk, Ziyech hawa wote ni wazuri kuwatengenezea ST nafasi. Sasa Chelsea St wao ni Havertz nafikiri mpaka wacheze free role ndiyo matunda yatakuja kwa sasa
 
This Chelsea side walianza kama vile they know what they are doing.

Fulham were so confident with the match mpaka Chelsea akaogopa nilikua sahihi kusema Mudryk siyo finisher lakini pia ana weakness zingine ambazo asipojirekebisha atakua kichekesho EPL as timu nyingi EPL zinacheza kiFulham.
Nadhan kwa game ya jana siwez mlaum mudryk, coz ule upande wake nikama ulitelekezwa yani mpira mara nyingi ukawa uko kwa ziyech+james.
 
Back
Top Bottom