Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watu wanaumia mno Arsenal kuongoza ligi, hasa Manyumbu & chelwowo, siku tukianguka utaona matusi yatatolewa humu, kama tulivyokosa nafasi ya UEFA last season! Utaambiwa "tulijua tu", infact wanafki wanajulikana, kujikuta wanatoa sifa kumbe wanabadilika na upepo yaani bendera.

Game zimebaki 19, kila mechi fainali, Jesus yupo mbioni kurudi, hata hatujamkumbuka, so lets pray tuwashut up.
Na jinsi tulivyompata Enzo mbona patachimbika Ombeni tu mchukue tofauti na hapo Hili jukwaa mtaliona chungu
 
La kumuuza naliona si jema, atatufaa hapo mbeleni, akae to loan hata 2 seasons. Saliba case.
Mkataba wake unaisha 2025 , hawez kukubali Tena mikopo na ngumu kwa Arteta kumuhakikishia namba mbele ya Jesus, nketiah na Trossard


Huyu tukitulia hatukosi €50m

Mwaka Jana Hugo eketike alifunga goli 10 ligi hiyo hiyo, akauzwa PSG kwa €35m na vilabu vingi vilimtaka

Believe me huyo dogo angekuwa hatokei Arsenal, timu zingeshaanza kupigana vikumbo kumtaka kwa madau makubwa .
 
Huyu ni kama Jesus.
Anaweza kufanya Zile linkup play ,n.k Kama Jesus

Mbona Kama Ni complete CF zaidi, japo Hata pemben anaweza kutokea kiasi chake
Sikuwahi kuamini ila nilikuja kugundua Jesus kwenye Swala la finishing anazidiwa na nketiah

Kwa unavyomuangalia Balogun unamuona anaweza kutoboa mbele ya Jesus na Nketiah au Trossard?
 
Hii ishakuwa Habari.

Hatuwezi kwenda kutoa 90 Sisi kununua mchezaji Wakati mchezaji wa 90 tunaye Sisi.

Anafika 20+ goals huyu dogo msimu huu
Yupo timu ya kawaida sana, anacheza na watoto wengi sana na anaonekana yeye kama Kaka .....

Jana goli la tatu Ile movement unaweza sema ni Henry yule pale ,even Nketiah can score that way.
IMG_20230201_223531.jpg
 
Hii ishakuwa Habari.

Hatuwezi kwenda kutoa 90 Sisi kununua mchezaji Wakati mchezaji wa 90 tunaye Sisi.

Anafika 20+ goals huyu dogo msimu huu
Yupo timu ya kawaida sana, anacheza na watoto wengi sana na anaonekana yeye kama Kaka .....

Jana goli la tatu Ile movement unaweza sema ni Henry yule pale ,even Nketiah can score that way.View attachment 2503468
Lile goli lilifanana sana na yale magoli ya Van persie
 
Hii ishakuwa Habari.

Hatuwezi kwenda kutoa 90 Sisi kununua mchezaji Wakati mchezaji wa 90 tunaye Sisi.

Anafika 20+ goals huyu dogo msimu huu
Yupo timu ya kawaida sana, anacheza na watoto wengi sana na anaonekana yeye kama Kaka .....

Jana goli la tatu Ile movement unaweza sema ni Henry yule pale ,even Nketiah can score that way.View attachment 2503468
Halafu ana utulivu wa kiwango cha SGR. Kuna moja aliwakosa kuwashona wakaokoa ndani ya 6.
 
Enzo wa kawaida bwana, Bora mngeenda kumchukua savic
Wewe mpira ujui sisi tumesajili kutokana na uhitaji wetu kwenye hiyo nafasi kwa kuangalia je anasifa zakufit hiyo nafasi? Ndio maana tukaona mtu pekee anayetufaa ni Enzo.Tangu aondoke Lampard pale chelsea hatujawahi kupata kiungo mkabaji mwenye uwezo wakupiga long passes na Enzo ana hii sifa yupo vizuri Sana, sifa ya pili ya Enzo anajua kudominate game kupiga pass fupi fupi na ndefu za break up back line ya opponent, ana jua kufunga, press resistance mzuri, ana technical ability nzuri pia ana kasi, ana uwezo wa kukaba kwa eneo kubwa la Uwanja mwisho kabisa ni mpambanaji.


Kiufupi ana baadhi ya sifa ambazo viungo tulionao hawana Enzo ni midfielder ambaye yupo full package ndio maana tumetumia nguvu kubwa kumsajili na hiyo nguvu hatukuitumia kwa jao Caicedo kwasababu ubora wake upo kwenye kukaba Sana pekee lakini hana technical ability ya kudominate mechi na sio mzuri sana kwenye passes.
Aaron Arsenal
Castr
Will Jr
HENRY14
 
Anaweza kufanya Zile linkup play ,n.k Kama Jesus

Mbona Kama Ni complete CF zaidi, japo Hata pemben anaweza kutokea kiasi chake
Sikuwahi kuamini ila nilikuja kugundua Jesus kwenye Swala la finishing anazidiwa na nketiah

Kwa unavyomuangalia Balogun unamuona anaweza kutoboa mbele ya Jesus na Nketiah au Trossard?
Itabidi akomae mno. Ila naona anaweza akamchomoa Nketiah kuliko Jesus, Folarin uchezaji wake kwa 4 3 3 (false 9) ni mtu sahihi wakati Nketiah atastruggle.

Nketiah anawazidi Folarin na Jesus kwenye finishing na positioning. Option nyingine ni kocha kuwaweka wawili mbele.
 
Wewe mpira ujui sisi tumesajili kutokana na uhitaji wetu kwenye hiyo nafasi kwa kuangalia je anasifa zakufit hiyo nafasi? Ndio maana tukaona mtu pekee anayetufaa ni Enzo.Tangu aondoke Lampard pale chelsea hatujawahi kupata kiungo mkabaji mwenye uwezo wakupiga long passes na Enzo ana hii sifa yupo vizuri Sana, sifa ya pili ya Enzo anajua kudominate game kupiga pass fupi fupi na ndefu za break up back line ya opponent, ana jua kufunga, press resistance mzuri, ana technical ability nzuri pia ana kasi, ana uwezo wa kukaba kwa eneo kubwa la Uwanja mwisho kabisa ni mpambanaji.


Kiufupi ana baadhi ya sifa ambazo viungo tulionao hawana Enzo ni midfielder ambaye yupo full package ndio maana tumetumia nguvu kubwa kumsajili na hiyo nguvu hatukuitumia kwa jao Caicedo kwasababu ubora wake upo kwenye kukaba Sana pekee lakini hana technical ability ya kudominate mechi na sio mzuri sana kwenye passes.
Aaron Arsenal
Castr
Will Jr
HENRY14
Caicedo ni Kante.

Ana balance timu ikienda mbele na ikirudi.

Enzo kwa clips nilizoona naona ana akili ya kushambulia zaidi, na kwakua chelsea mlisema hamna kiungo wa kupelekea mipira strikers nafikiri ndiyo maana mmemtaka Enzo kuliko Caicedo.

Sielewi kwanini unasema Enzo ni full package, mi nahisi Enzo bado ana safari ya kuhakikisha anashine.
 
Caicedo ni Kante.

Ana balance timu ikienda mbele na ikirudi.

Enzo kwa clips nilizoona naona ana akili ya kushambulia zaidi, na kwakua chelsea mlisema hamna kiungo wa kupelekea mipira strikers nafikiri ndiyo maana mmemtaka Enzo kuliko Caicedo.

Sielewi kwanini unasema Enzo ni full package, mi nahisi Enzo bado ana safari ya kuhakikisha anashine.
safari ipo ila n mtu sahihi kwa matakwa ya tm tokea fab aondoke tumekosa mtu anaeweza kupasua ukuta wa tm pnzan kwa kupenyeza pass ndefu naona kabx akifanikiwa kwa ilo
 
Wewe mpira ujui sisi tumesajili kutokana na uhitaji wetu kwenye hiyo nafasi kwa kuangalia je anasifa zakufit hiyo nafasi? Ndio maana tukaona mtu pekee anayetufaa ni Enzo.Tangu aondoke Lampard pale chelsea hatujawahi kupata kiungo mkabaji mwenye uwezo wakupiga long passes na Enzo ana hii sifa yupo vizuri Sana, sifa ya pili ya Enzo anajua kudominate game kupiga pass fupi fupi na ndefu za break up back line ya opponent, ana jua kufunga, press resistance mzuri, ana technical ability nzuri pia ana kasi, ana uwezo wa kukaba kwa eneo kubwa la Uwanja mwisho kabisa ni mpambanaji.


Kiufupi ana baadhi ya sifa ambazo viungo tulionao hawana Enzo ni midfielder ambaye yupo full package ndio maana tumetumia nguvu kubwa kumsajili na hiyo nguvu hatukuitumia kwa jao Caicedo kwasababu ubora wake upo kwenye kukaba Sana pekee lakini hana technical ability ya kudominate mechi na sio mzuri sana kwenye passes.
Aaron Arsenal
Castr
Will Jr
HENRY14
Unavyojua kupuyanga mdomoni sasa khaaa,Timu ipo nafasi ya 10
 
Back
Top Bottom