Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
La kumuuza naliona si jema, atatufaa hapo mbeleni, akae to loan hata 2 seasons. Saliba case.Balogun kaweka goli
Mtoto ana balaa huyu
Arteta ataanza kufikiria kumrudisha au kumuuza kwa Bei nzuri

