Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sijui ni phobia,ila nna feelingis kati ya saliba au saka kuna mmoja tayari ana new destination. Their delay in contract renewal zinanikumbusha ya ramsey,nasri,clitchy na Alexander hleb
May iataamua wabaki au waondoke
 
Sijui ni phobia,ila nna feelingis kati ya saliba au saka kuna mmoja tayari ana new destination. Their delay in contract renewal zinanikumbusha ya ramsey,nasri,clitchy na Alexander hleb
Saka atabaki labda Saliba ndio 50/50
 
Kuna wakati nilikuwa simuelewi kabisa huyu jamaa. Nilisema humu simuoni kama ni mzuri kama wanavyosema watu kimbinu na man management. Nilivyosikia tetesi kuwa issue ya Ozil ilikuwa Ina siasa ndani yake nikatangaza kutoangalia game zetu mpaka Ozil aondoke na nikafanya hivyo (pia nilijua sitamiss chochote mpira ulikuwa mbovu anyway). Niliona kama alishindwa kummanage auba. Baadae nikampokea tu maana nikakubali ndiyo manager wetu hivyo ni kumuombea Dua njema tu. Akaniudhi Kwa kukosa top 4 kizembe kabisa ila by then sikuwa na mategemeo mengi juu yake .
Kaka na wewe ulikua upande wa Arteta out?
 
Back
Top Bottom