Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

HILI DILI WAVAMIZI WAMESHAKUWA WENGI,

CHELSEA, NEWCASTLE , MAN U, MADRID ,

Manchester United have joined Newcastle and Arsenal in the race to sign Real Valladolid right-back Ivan Fresneda. United are now pushing to get Fresneda this month, he has a release clause of £8.8m. #MUFC [@SportPeteO, @footyinsider247]
 
Shakhtar chief executive Sergei Palkin has told The Athletic that Chelsea MATCHED Arsenal's offer for Mykhailo Mudryk, but just offered better structure in payments.

Arsenal's final offer was €70M plus €30M in add-ons but Shakhtar did not believe they were achievable, as per Sergei Palkin.

Chelsea offered the same and the Ukrainian side liked the structure and clauses more.
 
Shakhtar chief executive Sergei Palkin has told The Athletic that Chelsea MATCHED Arsenal's offer for Mykhailo Mudryk, but just offered better structure in payments.

Arsenal's final offer was €70M plus €30M in add-ons but Shakhtar did not believe they were achievable, as per Sergei Palkin.

Chelsea offered the same and the Ukrainian side liked the structure and clauses more.
Maabari ya mudryk nishayachoka hata huko Twitter sitaki kuyaona. Alafu Fabrizio anajitahidi kuwatuliza mashabiki wa Arsenal make walimtukana sana ndio maana anajaribu kuleta na habari za tetesi kuhusu Arsenal
 
ETG kuna kitu anakileta Utd, ile ya zamani si mishahara mikubwa. Suala la discipline ETG ana falsafa kama za Pep & Arteta. Discipline ikiwepo mafanikio yanakuja mbona mlijitoa kwenye deal la Joao Felix wakati huwa mnamwaga noti?
Dirisha kubwa tulitumia pesa mingi aiseee kuja kushtuka dirisha dogo tumejikuta mfukoni tumebaki na eftatu
Tumesajili wachezaji wawili (Butland & Wout) kwa buku jero, kama tutapata mwingine basi isizidi buku jero au tumchukue kwa mkopo.
 
NAWAKUMBUSHA
man United pass 3 goal, Sisi hizo pass tunawaachia nyie lkn magoal ni yetu
Pass inaanzia kwa casemiro via bruno to rashford goal...NASHUKURU
Tena wakumbushe ukiachana na MR10 pamoja na The Ghost (Wout Weghorst) kuna fundi huyu hapa mtaalamu wa kuvunja kufuli anawasubiria kwa hamu sana.
Screenshot_20230117_155817.jpg
 
Tena wakumbushe ukiachana na MR10 pamoja na The Ghost (Wout Weghorst) kuna fundi huyu hapa mtaalamu wa kuvunja kufuli anawasubiria kwa hamu sana. View attachment 2484733
Huyu Hana maajabu kazi kuzunguka tu na mpira eti sijui ndo 360' spinning na kupoteza muda.

Najua huko mliko mnajutia pesa yenu nyingi mliyotumia kumnunua huyu boko 😂
 
Hizo ni nongwa zako tu, ila sisi mashabiki wa Man Utd tunajivunia mchango wa Anthony kwenye mafanikio ya timu yetu. View attachment 2484861
Kwa hiyo tangu mumununue amewapa mafanikio gani haswa?

Ana magoli mangapi Kwenye ligi tangu ameanza kucheza hapo Man Utd?

Ana goal assists ngapi?

Mtu alinunuliwa kwa pesa yote ile afu tayari ameshaanza kukalishwa bench😂😂

Huyo ni boko kuliko hata Aubameyang wa Chelsea
 
Ukitaka kujua kama bongo hakuna wachambuzi basi wazungumzie game ambayo inaenda kuchezwa, au timu imesajili, inajiandaa kwenye ligi.. Ndio utajua hatuna wachambuzi wa mpira bali wachambua mchele.
Game ikishachezwa, utasikia, transition, sijui low block, triangles.. Hapo wanazungumzia kilichotokea tena kwa ubabaishaji ubabaishaji tu.
Kiasi ambacho hata sisi tukipata nafasi tunaweza kuwa wachambuzi wazuri.
Kumbe kuna wakati akili huwa zinarudi hata mm huwa napitia page ya george ambagile nasema kweli Tanzania vichwa maji tupo wengi ...hivi mtu anachambua wali au mchele kbl haujapikwa na muda unapikwa??iweje mtu aelezee yaliyotokea uwanjani alafu tuseme amechambua ni mchambuzi mzur kwann asiwe anafanya analysis kbl ya hizi game ili atupe prove ya kile anachokifanya ???
 
declan rice ni mchezaji mzuri.. namkubali na anafundishika.. pia akipata makocha wazuri
zaidi anaweza kuwa the best.

tupende na tuwe na mazoea ya kutizama mechi nyingi na za timu tofauti tofauti na si mpk arsenal acheze na timu flani tu.. tusiwe watu wa highlights kwa sana ama ku tegmea sna izi football statistics katka kuwa judge wachezaji.

wenzetu wana scouting teams.. znatumia gharama kubwa ;watu wanaenda vwanjani na wana safiri umbali mrefu tu kutizama wachezaji kbsa na si kutgmea sna statistics.

arsenal ya invicibles ilikuwa na kiungo anaitwa gilberto silva.. uyu jmaa kama ingekuwa ni too much statistics kama dunia yetu ya sasa ya kimpira ilivo asingepata timu ata moja kubwa kuichezea.. kongole sna kwa mze wenger..
alikuwa na jicho la kimpira na aliona kitu kwa gilberto silva.
Hata wenger alihojiwa na ian wright kwenye sport bibble ipo youtube ukipata muda icheki anaeleza usajili muhimu kwenye kikosi cha invincible ni GILBERTO SILVA..na alijibu bila kupepesa mdomo
 
Back
Top Bottom