Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kumbe kuna wakati akili huwa zinarudi hata mm huwa napitia page ya george ambagile nasema kweli Tanzania vichwa maji tupo wengi ...hivi mtu anachambua wali au mchele kbl haujapikwa na muda unapikwa??iweje mtu aelezee yaliyotokea uwanjani alafu tuseme amechambua ni mchambuzi mzur kwann asiwe anafanya analysis kbl ya hizi game ili atupe prove ya kile anachokifanya ???
Sasa mechi haijachezwa unataka uchambuliewe Nini, Ambangile watu wanampenda kwasababu anawachambulia mbinu zilizotumika kwenye mechi husika, kwasababu asilimia kubwa tunaangalia kimazoea tu.

Basi na sky sports watoe mascreen yale kwenye vyumba vyao vya habari, na kusiwe na uchambuzi baada ya half time, tuwe tunawasikiliza kabla ya mechi tu
 
computerarsenal msikilize alichosema Ian Wright


Love Ian Wright’s analysis on the Mudryk saga.

Says Arsenal have a set plan & so far the plan is working so well that there was no need deviating from it by paying over the odds. Also thinks paying so much in fees and wages for the player has the potential of disrupting the group
"Sizitaki mbichi hizi"
 
Heshima kwa Arteta master class and genius coach hivi Ndio wachambuzi wana takiwa kuwa sio kuja maneno ya taarabu kwenye kuchambua mchezaji au mpira
IMG-20230117-WA0036.jpg
 
Nitapost baada ya kuchukua point 3 Jumatano kwa Palace, na baada ya kuchukua Point 3 kwako weekend. Gape litabaki point 3!!!!!!!! Mnaona hatari mliyonayo???. Mnajiona kama mko mbali sana, Siku tano hizi zinabadilisha kila kitu.
Ile maneno "...... out" itaanza kurindima pande hizi.
Amka usingizini

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Nitapost baada ya kuchukua point 3 Jumatano kwa Palace, na baada ya kuchukua Point 3 kwako weekend. Gape litabaki point 3!!!!!!!! Mnaona hatari mliyonayo???. Mnajiona kama mko mbali sana, Siku tano hizi zinabadilisha kila kitu.
Ile maneno "...... out" itaanza kurindima pande hizi.
nyie kenge mkiifunga Arsenal nipo tayari jinsia yangu ibadilishwe,hamna uwezo huo
 
Arsenal priority for this window is a winger and Striker. Still retain interest in Tielemans but player wants a summer move. Rice will also probably move in the summer but next club not known

(@wettfreunde)
 
Offer from England will arrive for Fresneda today which is 10+5 m. The player does not want to rush into the choice of destination and club will consider offer only when player feels it's ok to move to the club.

(@chusrodriguez)

As per @PucelaNews_1928 - Bid will be rejected
 
With regards to West Ham's Declan Rice,Arsenal have made it clear they are interested in the England midfielder in a deal worth around £70 million.

(@mcgrathmike )
 
Did anyone notice (in the background) the poster Arteta put up in the Arsenal dressing room for Sunday's NLD?

It says ‘identity’ with each alphabet of the word signifying a trait he has instilled in his players. I stands for Intensity, D for discipline and so on #arsenal #afc
IMG_20230117_223956.jpg
 
Did anyone notice (in the background) the poster Arteta put up in the Arsenal dressing room for Sunday's NLD?

It says ‘identity’ with each alphabet of the word signifying a trait he has instilled in his players. I stands for Intensity, D for discipline and so on #arsenal #afcView attachment 2485224
Nasikia hivi vitoto ndio vinataka kwenda kujaribu kuifunga Man U.
 
With regards to West Ham's Declan Rice,Arsenal have made it clear they are interested in the England midfielder in a deal worth around £70 million.

(@mcgrathmike )
Hii pesa itaharibika kama ilivyoharibika kwa Nicolas Pepe!

£90 million tunapata Mitoma na McAllister au Mitoma na Tielemans.
 
One of the most intelligent footballers I have ever seen. So lucky to have him at Arsenal.View attachment 2485227
Hivi wale wenye kina deBruine, Messi, Mbape, Casemiro, Neymar sijui watasema nini kama kuna mtu anasifia katoto hakajawahi kushinda kitu CHOCHOTE HAPA DUNIANI. Sijui kwa nini ukiwa shabiki wa aseno unakuwa mjinga mjinga.
 
Back
Top Bottom