Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie kubalini kawatosa, acheni mambo meeengi, mlijiaminisha wenyewe kw wenyewe humu kua eti mchezaji anaipenda Arse888 tangu lini mchezaji akaipenda timu isiokua na mafanikio.

Huyo mudryk kw uspesho gani aliokua nao mpk nchi ihusike. eti wapewe donation kisa mudryk!! Amekua messi. Muachage kudanganyana nyie misukule ya Arteta.

Ndio hivyo hivyo mlidanganyana humu mudryk anaipenda Arse888.
Sisi tumekuwa tukishinda mechi zetu bills huyo Mudryk na tutaendelea kushinda bila yeye.
Hivi Sasa tunajiandaa kuchukua points zingine 3 kutoka kwa Manyumbu siku ya Jumapili.
 
ANGALIZO: mcheze karata zenu Vizuri, maana mkiukosa huu ubingwa msimu huu, basi ndio msahau kabisa labda muwe mnapigania top 4 na kushiriki UEFA na kushinda maybe kombe lenu la FA.

Na mjue baada ya kumnyoosha
crystal palace, keshokutwa. Basi hiyo jay pili hapo Emirates msidhanie mtanizuia kuendelea kubeba point zangu 3, maana kazi ya rashford mambio mnaijua na ana goli zake hapo emirates.
Mwaka nne hujawahi kupata hata droo Emirates,wewe jiandae kupasuka.
 
Sisi tumekuwa tukishinda mechi zetu bills huyo Mudryk na tutaendelea kushinda bila yeye.
Hivi Sasa tunajiandaa kuchukua points zingine 3 kutoka kwa Manyumbu siku ya Jumapili.
Basi achen kuteseka kw kumkosa. Mana wengine wanakwambia huko alipoenda ataflopp, eti Arse888 ndio angeshine.
 
Basi achen kuteseka kw kumkosa. Mana wengine wanakwambia huko alipoenda ataflopp, eti Arse888 ndio angeshine.
Kwnini tuteseke na mtu ambaye hata hatujaona mchezo wake kwenye EPL? Ndio kwanza amesajiliwa tu juzi hajacheza hata mechi ya kirafiki a kuonyesha uwezo wake kwanini tuumie?

We have already moved on and we're focusing on our next matches.We just don't care about him.
 
Sam Dean (Reliable kwa habari za Arsenal) kutoka Telegraph nae kathibitisha

Swali langu tu ,Chelsea hawatatufanyia fujo hapa kweli?

Rice atapatikana kwa £70m tu ,
Screenshot_20230116-205112~2.jpg
 
[emoji599] Arsenal are targeting a summer move for Declan Rice.

#AFC confident they can attract 24-yr-old #ENG midfielder.

Rice's #WHU deal expires 2024. WH insistent he will not be sold in January, but accept he'll leave this summer.

@TheAthleticFC [emoji837][emoji836]️ #AFC
 
Basi achen kuteseka kw kumkosa. Mana wengine wanakwambia huko alipoenda ataflopp, eti Arse888 ndio angeshine.
Mudryk was posting loads about Arsenal on Instagram before joining us, yet hasn’t posted a thing since signing for Chelsea. Something not right about how that all went down. Reckon he’s been told where to go and there are some politics involved.
 
'According to Sky information, Leverkusen's Moussa Diaby is a topic at Arsenal. The 23-year-old Frenchman is under contract with the Werkself until 2025, so it should be expensive.' [@SkySports Germany @Sky_Marc]View attachment 2483959
Halafu huyu mwamba kuna siku nilikuwa nacheki game, nikataka niwaulize huyu diaby vipi au nyota hana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom