Nyie kubalini kawatosa, acheni mambo meeengi, mlijiaminisha wenyewe kw wenyewe humu kua eti mchezaji anaipenda Arse888 tangu lini mchezaji akaipenda timu isiokua na mafanikio.Hili dili la Mudrky lina siasa ndani yake ,
Mudrky aliambiwa akubali kwenda chelsea kwa maslahi ya Ukraine , Chelsea wametoa pesa ya kusaidia wahanga ,pia Watacheza mechi ya Hisani na Shaktah ,
Kumbuka Arsenal tulifika hadi dau la €95m lakini wakagoma kujibu ,
Ukiangalia zile picha alizotambulishwa nazo Mudrky pale chelsea ni kama hana furaha .
Hii taarifa The Athletic ,The Telegraph wameiongelea kwa kirefu.View attachment 2483592
Huyo mudryk kw uspesho gani aliokua nao mpk nchi ihusike. eti wapewe donation kisa mudryk!! Amekua messi. Muachage kudanganyana nyie misukule ya Arteta.
Ndio hivyo hivyo mlidanganyana humu mudryk anaipenda Arse888.
Arsenal have made Declan Rice their top summer target and are growing in confidence a deal can be done
️ #AFC
) kama sikosei, 