Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hili dili la Mudrky lina siasa ndani yake ,

Mudrky aliambiwa akubali kwenda chelsea kwa maslahi ya Ukraine , Chelsea wametoa pesa ya kusaidia wahanga ,pia Watacheza mechi ya Hisani na Shaktah ,

Kumbuka Arsenal tulifika hadi dau la €95m lakini wakagoma kujibu ,

Ukiangalia zile picha alizotambulishwa nazo Mudrky pale chelsea ni kama hana furaha .

Hii taarifa The Athletic ,The Telegraph wameiongelea kwa kirefu.View attachment 2483592
Nyie kubalini kawatosa, acheni mambo meeengi, mlijiaminisha wenyewe kw wenyewe humu kua eti mchezaji anaipenda Arse888 tangu lini mchezaji akaipenda timu isiokua na mafanikio.

Huyo mudryk kw uspesho gani aliokua nao mpk nchi ihusike. eti wapewe donation kisa mudryk!! Amekua messi. Muachage kudanganyana nyie misukule ya Arteta.

Ndio hivyo hivyo mlidanganyana humu mudryk anaipenda Arse888.
 
O

Ona hizi bhangi, tulibebwa wapi sasa nyie arsenyonyo fans, baadhi yenu kama wew huwa mnamatatizo.

Aliyekua offside ni nany! Na aliyefunga goli ni nany! hivi uliangalia hiyo gemu au unamanisha kubebwa kiaje.
Rashford alikuwa offside kitambo Sana.Achilia mbali yeye kutougusa mpira, yeye tayari alikuwa offside na mpira ulimkuta huko.

Howard Web aliwasaidiaga Sana kipindi chake Leo mmeanza kusaidiwa na mirefa mingine.
Pamoja na hayo yote, nakuhakikishia tu kwamba Jumapili kipigo chenu Kiko pale pale.
 
Nyie kubalini kawatosa, acheni mambo meeengi, mlijiaminisha wenyewe kw wenyewe humu kua eti mchezaji anaipenda Arse888 tangu lini mchezaji akaipenda timu isiokua na mafanikio.

Huyo mudryk kw uspesho gani aliokua nao mpk nchi ihusike. eti wapewe donation kisa mudryk!! Amekua messi. Muachage kudanganyana nyie misukule ya Arteta.

Ndio hivyo hivyo mlidanganyana humu mudryk anaipenda Arse888.
Sisi tumekuwa tukishinda mechi zetu bills huyo Mudryk na tutaendelea kushinda bila yeye.
Hivi Sasa tunajiandaa kuchukua points zingine 3 kutoka kwa Manyumbu siku ya Jumapili.
 
ANGALIZO: mcheze karata zenu Vizuri, maana mkiukosa huu ubingwa msimu huu, basi ndio msahau kabisa labda muwe mnapigania top 4 na kushiriki UEFA na kushinda maybe kombe lenu la FA.

Na mjue baada ya kumnyoosha
crystal palace, keshokutwa. Basi hiyo jay pili hapo Emirates msidhanie mtanizuia kuendelea kubeba point zangu 3, maana kazi ya rashford mambio mnaijua na ana goli zake hapo emirates.
Mwaka nne hujawahi kupata hata droo Emirates,wewe jiandae kupasuka.
 
Sisi tumekuwa tukishinda mechi zetu bills huyo Mudryk na tutaendelea kushinda bila yeye.
Hivi Sasa tunajiandaa kuchukua points zingine 3 kutoka kwa Manyumbu siku ya Jumapili.
Basi achen kuteseka kw kumkosa. Mana wengine wanakwambia huko alipoenda ataflopp, eti Arse888 ndio angeshine.
 
Basi achen kuteseka kw kumkosa. Mana wengine wanakwambia huko alipoenda ataflopp, eti Arse888 ndio angeshine.
Kwnini tuteseke na mtu ambaye hata hatujaona mchezo wake kwenye EPL? Ndio kwanza amesajiliwa tu juzi hajacheza hata mechi ya kirafiki a kuonyesha uwezo wake kwanini tuumie?

We have already moved on and we're focusing on our next matches.We just don't care about him.
 
Sam Dean (Reliable kwa habari za Arsenal) kutoka Telegraph nae kathibitisha

Swali langu tu ,Chelsea hawatatufanyia fujo hapa kweli?

Rice atapatikana kwa £70m tu ,
Screenshot_20230116-205112~2.jpg
 
Arsenal are targeting a summer move for Declan Rice.

#AFC confident they can attract 24-yr-old #ENG midfielder.

Rice's #WHU deal expires 2024. WH insistent he will not be sold in January, but accept he'll leave this summer.

@TheAthleticFC ️ #AFC
 
Basi achen kuteseka kw kumkosa. Mana wengine wanakwambia huko alipoenda ataflopp, eti Arse888 ndio angeshine.
Mudryk was posting loads about Arsenal on Instagram before joining us, yet hasn’t posted a thing since signing for Chelsea. Something not right about how that all went down. Reckon he’s been told where to go and there are some politics involved.
 
Back
Top Bottom