Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Fabrizio romano :


"Kile Arsenal walifanya leo walipojua kuhusu Chelsea kusafiri kukutana na Shakhtar ili kulipa na kufikia na kukubaliana na kujaribu kumshawishi Mudryk, Arsenal hawakuwa na hofu. Arsenal wamebadili mtazamo wao kwenye soko la usajili. Arsenal hawajajibu chochote. ; Arsenal hailipi kupita kiasi.

"Arsenal wako wazi sana: Wanafanya kile wanachofikiri ni kile wanachopaswa kufanya. Kwa hiyo wanafanya wawezavyo. Walitoa Alhamisi alasiri euro milioni 70, pamoja na milioni 25 kama nyongeza kwa Mudryk. Ni pesa nyingi, ni pendekezo kubwa sana. Kisha Shakhtar akaamua kusubiri Chelsea wapate pesa zaidi.

"Kwa Arsenal, sio suala la kulipa kupita kiasi au labda kujibu. Wana maono, wana mkakati, na kwa hivyo waliamua kusema, 'hii ni bora yetu. Ikiwa mchezaji anataka kuja na Shakhtar anataka kukubali ofa, tunafurahi. Vinginevyo, tutafanya kitu kingine.

"Kwa hivyo Arsenal wana mtazamo tofauti, lakini hivi ndivyo ilivyokuwa mwaka mmoja uliopita na Dusan Vlahovic. Arsenal hawakutaka kuingia kwenye pambano lolote. Sawa na Locatelli, Martinez, na Raphinha msimu uliopita wa joto alipoamua kwenda Barcelona na kutokubali Chelsea au Arsenal."

Haitakuwa marudio ya dirisha la Januari mwaka jana. Dau ni kubwa na nina hakika edu anatupikia kitu. Mpango wa Mudryk sio mwisho wa dunia.
Aaron Arsenal mimi naona ni sera,falsafa,utamaduni wa Arsenal kwenye kusajili na wamesima kwenye mpango mkakati wao. Sidhani kama mashabiki na wadau wa Arsenal wanapaswa kuwa kama "baby crying crumper". Timu kuwa kileleni si lazima kusajili pasi na kuwa na "the right player at the right moment " na "reasonable price".

Binafsi sijajua project ya Chelsea ikoje na haiwezi kuwa kama ya Arsenal.
 
Nakubaliana na wewe kwa role anayocheza Zinchenko yupo bora bora bora but weakness yake ni hyo uliyomention but unajua why season hii tupo bora?kwa 11 eleven yetu hakuna eneo lenye upungufu abadani hakuna that's why hata makosa yake hayaonekani na Spurs second half walikuja na mashambulizi upande wake karibia muda wote but wakakuta tumejipanga mpaka kwa Ramsdale boy

Next game Thursday nipo SPURS SPURS hata draw inawatosha COME ON SPURS nipigie Guardiola
Kaka, sisi tunadili na mechi zetu tu hao wengine watajuana wenyewe huko mabonde kuinama
 
Ningekuwa karibu na huyu aliyeandika huu ujinga ningemzaba vibao. "Playmaker ya utopolo haijapishana sana na Messi" Labda messi wa Manzese kwa mfuga mbwa.
Msamehe bure.. Wameshinda furaha ya ushindi mda mwngne unapitiwa na kujisahau unacho ongea.
 
"We don't care about the other teams."

Martin Odegaard says Manchester City's result yesterday means nothing to Arsenal with their focus on the derby
Ari waliyonayo wachezaji wa Arsenal kwa sasa ni kupambania badge hayo masuala ya ubingwa yanakuja baadae kwa kucheza vizuri nakushinda kila mchezo unaofuata si kwa papatu papatu.
 
Yani tumekaa tunamuangalia Partey, halafu kuna mbugila mmoja anaongea kuhusu casemiro..

Yani sisi tunakula birihani, yeye anatuletea ugali wa muhogo.

Nasema hivi, Partey mmoja ni sawa na maCasemiro 1000!
Hawa jamaa na pira lao la butua butua dawa yao iko jikoni, iki kikombe kila mmoja lazima akinywe atake asitake
 
Ni mashabiki wa Chelsea tu mnaoamini kuwa Conte & Mourinho bado wana uwezo wa kusumbua dunia, kwenu kusajili wachezaji kila siku ndio solution ya kila kitu, Klopp anasema usajili hauwezi kutatua matatizo yote ya uwanjani, imagine umetumia €300m dirisha moja afu upo nafasi ya kumi. na upo hapa unapreach Conte kakosa wachezaji, like seriously spurs haina wachezaji wakushinda game za Fulham & Brighton? That's ultra nonsense.
Huna akili tena jipige kifuani zaidi ya mara 3 mfululizo ukijipongeza ulivyo Mpumbavu.

Lini Man City ilizidiwa pesa za usajili kwa timu yoyote pale EPL tangu Pep Kipara aje?

Inamaana Man City walikuwa ni wabovu kuliko Man Utd, Liverpool, Chelsea na Tottenham ndiyomaana ilikuwa ikitumia kitita kirefu kwa usajili kila mwaka hadi ilifikia hatua FIFA walitaka kuishtaki Man City kwa kutumia pesa za usajili kuliko kipato chao?

HP kaikuta Chelsea ikiwa nafasi ipi na ina Wachezaji wapi wa kuleta matokeo chanya?

Kipi kilichonfukuzisha TT ikiwa Chelsea ilikuwa na Wachezaji bora kimatokeo?

Timu ipi 2022/2023 iliyopatwa na Majeruhi wengi zaidi ya Chelsea FC?

Unawaaibisha washabiki wenzio wa Arsenal kuonekana hawana maana sababu tu ya akili zako kukosa afya za akili.
 
Arteta (Missing out on Mudryk) “Am very happy with the players I have. The window is open, we will try and improve the team and the club is willing”
 
Arsenal players this season:

Odegaard 8 goals 5 assists
Martinelli 7 goals 3 assists
Saka 7 goals 7 assists
Nketiah 7 goals 1 assist
Jesus 5 goals 6 assists
Xhaka 4 goals 4 assists
Vieira 2 goals 4 assists
Nelson 2 goals 1 assist
Saliba 2 goals 1 assist
Gabriel 2 goals
IMG_20230115_085758.jpg
 
Kulikuwa na tukio la Golikipa wa Arsenal, Aaron Ramsdale ambapo alionekana akigombana na Richarlson wa Tottenham na baadae akapigwa teke mgongoni na Shabiki wa Spurs.

Kwenye interview anasema Mashabiki wa Spurs walianza kumsema mbovu wakati mchezo unaendelea, hivyo nae alilipa baada ya dakika 90 kwa kwenda kubusu beji ya Arsenal mbele yao, anashangaa wakageuka wakali na kusahau walichomfanyia awali.
 
computerarsenal msikilize alichosema Ian Wright


Love Ian Wright’s analysis on the Mudryk saga.

Says Arsenal have a set plan & so far the plan is working so well that there was no need deviating from it by paying over the odds. Also thinks paying so much in fees and wages for the player has the potential of disrupting the group
 
Back
Top Bottom