Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Nimempenda Bebatov, his analytical skilll of the game is superb
Aaron Arsenal mimi naona ni sera,falsafa,utamaduni wa Arsenal kwenye kusajili na wamesima kwenye mpango mkakati wao. Sidhani kama mashabiki na wadau wa Arsenal wanapaswa kuwa kama "baby crying crumper". Timu kuwa kileleni si lazima kusajili pasi na kuwa na "the right player at the right moment " na "reasonable price".Fabrizio romano :
"Kile Arsenal walifanya leo walipojua kuhusu Chelsea kusafiri kukutana na Shakhtar ili kulipa na kufikia na kukubaliana na kujaribu kumshawishi Mudryk, Arsenal hawakuwa na hofu. Arsenal wamebadili mtazamo wao kwenye soko la usajili. Arsenal hawajajibu chochote. ; Arsenal hailipi kupita kiasi.
"Arsenal wako wazi sana: Wanafanya kile wanachofikiri ni kile wanachopaswa kufanya. Kwa hiyo wanafanya wawezavyo. Walitoa Alhamisi alasiri euro milioni 70, pamoja na milioni 25 kama nyongeza kwa Mudryk. Ni pesa nyingi, ni pendekezo kubwa sana. Kisha Shakhtar akaamua kusubiri Chelsea wapate pesa zaidi.
"Kwa Arsenal, sio suala la kulipa kupita kiasi au labda kujibu. Wana maono, wana mkakati, na kwa hivyo waliamua kusema, 'hii ni bora yetu. Ikiwa mchezaji anataka kuja na Shakhtar anataka kukubali ofa, tunafurahi. Vinginevyo, tutafanya kitu kingine.
"Kwa hivyo Arsenal wana mtazamo tofauti, lakini hivi ndivyo ilivyokuwa mwaka mmoja uliopita na Dusan Vlahovic. Arsenal hawakutaka kuingia kwenye pambano lolote. Sawa na Locatelli, Martinez, na Raphinha msimu uliopita wa joto alipoamua kwenda Barcelona na kutokubali Chelsea au Arsenal."
Haitakuwa marudio ya dirisha la Januari mwaka jana. Dau ni kubwa na nina hakika edu anatupikia kitu. Mpango wa Mudryk sio mwisho wa dunia.
Kaka, sisi tunadili na mechi zetu tu hao wengine watajuana wenyewe huko mabonde kuinamaNakubaliana na wewe kwa role anayocheza Zinchenko yupo bora bora bora but weakness yake ni hyo uliyomention but unajua why season hii tupo bora?kwa 11 eleven yetu hakuna eneo lenye upungufu abadani hakuna that's why hata makosa yake hayaonekani na Spurs second half walikuja na mashambulizi upande wake karibia muda wote but wakakuta tumejipanga mpaka kwa Ramsdale boy
Next game Thursday nipo SPURS SPURS hata draw inawatosha COME ON SPURS nipigie Guardiola

Ningekuwa karibu na huyu aliyeandika huu ujinga ningemzaba vibao. "Playmaker ya utopolo haijapishana sana na Messi" Labda messi wa Manzese kwa mfuga mbwa.
Msamehe bure.. Wameshinda furaha ya ushindi mda mwngne unapitiwa na kujisahau unacho ongea.Ari waliyonayo wachezaji wa Arsenal kwa sasa ni kupambania badge hayo masuala ya ubingwa yanakuja baadae kwa kucheza vizuri nakushinda kila mchezo unaofuata si kwa papatu papatu."We don't care about the other teams."
Martin Odegaard says Manchester City's result yesterday means nothing to Arsenal with their focus on the derby![]()
Hawa jamaa na pira lao la butua butua dawa yao iko jikoni, iki kikombe kila mmoja lazima akinywe atake asitakeYani tumekaa tunamuangalia Partey, halafu kuna mbugila mmoja anaongea kuhusu casemiro..
Yani sisi tunakula birihani, yeye anatuletea ugali wa muhogo.
Nasema hivi, Partey mmoja ni sawa na maCasemiro 1000!
sababu kubwa ni ile yake ambayo hata hatujui iliishia wapiHivi kwa nini Partey alikuwa anazomewa kila anapogusa Mpira??
Huna akili tena jipige kifuani zaidi ya mara 3 mfululizo ukijipongeza ulivyo Mpumbavu.Ni mashabiki wa Chelsea tu mnaoamini kuwa Conte & Mourinho bado wana uwezo wa kusumbua dunia, kwenu kusajili wachezaji kila siku ndio solution ya kila kitu, Klopp anasema usajili hauwezi kutatua matatizo yote ya uwanjani, imagine umetumia €300m dirisha moja afu upo nafasi ya kumi. na upo hapa unapreach Conte kakosa wachezaji, like seriously spurs haina wachezaji wakushinda game za Fulham & Brighton? That's ultra nonsense.
Ipi mkuusababu kubwa ni ile yake ambayo hata hatujui iliishia wapi
Wameikataa Arse888 masikini, hivi naomba kama kuna mwenye statement ya Mudryk akisema anaipenda Arse88, au ni hii misukule ilikua inajitekenya yenyewe.Welcome to ArsenalView attachment 2481339
Matokeo ya leo na spurs unayo?Wameikataa Arse888 masikini, hivi naomba kama kuna mwenye statement ya Mudryk akisema anaipenda Arse88, au ni hii misukule ilikua inajitekenya yenyewe.
Mana kama mchezaji angekua anipenda timu angefanya kama Raphina kwenda baca.

City kwa Spurs hachomoi na uhakika Conte hatataka kudhalilishwa tena neverNa Spurs alivyo na bahati na city ,usishangae akampiga kabisa
Bentacur karudi , na city alivyo mtupu akipigiwa kaunta attack