Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unamkubali sana huyu jamaa

Binafsi naona anahitaji kusukwa zaidi,

Rejea partey aliyefika Arsenal na huyu wa sasa

Au Ode aliyekuja loan na huyu wasasa
Odegaard anajua, anapiga mpira mkubwa mno. Arteta ana uwezo mzuri wa kudevelop wachezaji na pia jicho la kuona wachezaji wanaofit kwenye mfumo wake, Mi naamini Mudryk, Martinez, Vlahovic wangefika mbali zaidi chini ya Mikel Arteta.
 
Martin Ødergaard michezo minne ya mwisho amekuwa Man Of the Match (MOTM) — Katika michezo yote wachezajii waliokuwa man of the match ni Ødergaard, Gabriel Jesus, Saliba, Gabriel Magalhaes, na Saka.

 
Declan Rice situation naamini ni made up, na naomba isitokee. Rice ni one of overrated English players — typically average good for mid table teams.

Sio mchezaji wa kucheza Arsenal — ni typical of Zaha, Ashley Young, Mame Biram Diof, Memphis Depay typically average good for mid table team and farmers leagues — Mark Noble at young age.
 
Raphinha kwa uchezaji wake hawezi kuwa na input kwa Arsenal ya sasa + attitude yake ni the worst similar to 95% of East Southern American players — Brazil, Argentina na Uruguay.

He has no different to Richalson kwa uchezaji na attitude — they are good to be in Leeds, Everton and Fulham + farmers leagues. Kuna uhusiano mkubwa wa perfomance na attitude katika soka na maisha kwa ujumla.
 
Trossard may become a good backup lakini umri na pesa £25 million inayohusishwa nae kutoka Brighton ni matumizi mabaya ya fedha!

Ikiwa Trossard £25 million basi ni vyema kuongeza £15 million na kuchukua Mitoma ambaye ni proven at such young age na mwenye respect (Japanese Manners).
 
Kama wengi hamjanotice ni kwamba Rice hana uwezo kimbinu kuingia moja kwa moja kwenye hii Arsenal akagewa mikoba ya Partey atatakiwa kufundishwa kwanza.

That will take time. Partey will be 30.

Kuna jamaa anasema yupo tayari tusisajili January ikiwa kiangazi tutasajili.

Notice kwamba msimu uliopita ni Arteta mwenyewe alisema January hatusajili tuna kikosi cha kutushikilia mpaka kiangazi ndiyo tutasajili mid.

Hatukusajili tukastruggle against many teams na tukatoka top four kisa mid. Kiangazi ikapita hakusajiliwa mtu na sasa tupo January tunaenda kwenye mechi za Europa, FA na Ligi na hatuna backup ya Partey.

Na mtu anasema yupo tayari tusisajili.

Mpaka sasa tumepoteza mechi moja ya ligi katika hiyo mechi Partey hakuepo. Arsenal mentality imetuharibu wengi sana ile mentality ya 'We will try again next time' imetuharibu yaani hata hatujui ni muda gani advantage iko upande wetu na tunatakiwa kuishikilia.

You have 95M kuna winger yupo Scotland anaitwa Jota, kuna Diaby go for them. Kuna Mid zipo la liga go for them ili ukomalie advantage tuliyonayo sasa hivi.

Hata project inaweza kuwahishwa kama uwezekano wa kuwahi umeonekana. Plan ilikua top four but we can win the league then do it
 
ARTETA : BADO TUPO SOKONI ,


| @FabrizioRomano was on @ChampsHouseCBS and touched on #Arsenal’s vision and strategy in transfer market & more

Noted Arsenal are among many clubs following right-back Ivan Fresneda.

“I expect Arsenal to be busy in the next weeks.” More here #afc
 
Facundo Torres reveals:

"Orlando confirmed to me that there was contact with Arsenal, but then I left for the World Cup... we will see now how it goes", tells 90min #AFC

"I would love to play in Europe. It’s a dream I’ve had since I was a kid", Torres added.
 
The ring of Zinchenko-Partey-White that Arsenal form around the box when they attack. This is how to sustain pressure.
IMG_20230117_081329.jpg
 
declan rice ni mchezaji mzuri.. namkubali na anafundishika.. pia akipata makocha wazuri
zaidi anaweza kuwa the best.

tupende na tuwe na mazoea ya kutizama mechi nyingi na za timu tofauti tofauti na si mpk arsenal acheze na timu flani tu.. tusiwe watu wa highlights kwa sana ama ku tegmea sna izi football statistics katka kuwa judge wachezaji.

wenzetu wana scouting teams.. znatumia gharama kubwa ;watu wanaenda vwanjani na wana safiri umbali mrefu tu kutizama wachezaji kbsa na si kutgmea sna statistics.

arsenal ya invincibles ilikuwa na kiungo anaitwa gilberto silva.. uyu jmaa kama ingekuwa ni too much statistics kama dunia yetu ya sasa ya kimpira ilivo asingepata timu ata moja kubwa kuichezea.. kongole sna kwa mze wenger..
alikuwa na jicho la kimpira na aliona kitu kwa gilberto silva.
 
Odegaard anajua, anapiga mpira mkubwa mno. Arteta ana uwezo mzuri wa kudevelop wachezaji na pia jicho la kuona wachezaji wanaofit kwenye mfumo wake, Mi naamini Mudryk, Martinez, Vlahovic wangefika mbali zaidi chini ya Mikel Arteta.
Sasa hivi wachezaji wanaangalia mafanikio(makombe) na mishahara minono, hayo mambo ya kufit kwenye mfumo halafu mwisho wa msimu mnaishia kua wasindikizaji tu bila ya kombe lolote hakuna mchezaji anataka zaidi ya Harry Kane peke yake.
Huyu mwamba mwenyewe hapa chini kama mtamaliza huu msimu bila ya kombe lolote anaweza kwenda zake Madrid.
Screenshot_20230116_124140.jpg
 
Naona mjadala wa rice,,,

Huyu Ni muingereza, untouchable ! Ni mid nzuri lakini westaham wako na project nzuri sidhani Kama watamuachia, na ikitokea Ni over 100m, mko tayari ? Nadhan last summer Chelsea walimuulizia wakaambiwa 150m, na mchezaji Yuko willing kuchezea the blues timu yake ya utotoni akakutane na washkaji zake kina mount, James n k !

Angalia hata uwekezaji wa westham hapa karibuni unaonyesha Kuna kitu wanakitaka , japo on field hawajadeliver, moyes ana kazi ya ziada !

Angalia addition za kina scamacca, pacueta, last summer walimuhitaji pia lingard lakini ofa yao haikuwa nene Kama N.forest,,,
 
Aaah nacheka kwa dharau, Arsenal wafanye kweli, nipo tayari tusisajili this window ili tumpate Rice & Leao nxt summer.
Msiposajili dirisha hili kwa hicho kikosi finyu mlichonacho hata hio top4 kuingia itakua ni bahati nasibu.
 
Naona mjadala wa rice,,,

Huyu Ni muingereza, untouchable ! Ni mid nzuri lakini westaham wako na project nzuri sidhani Kama watamuachia, na ikitokea Ni over 100m, mko tayari ? Nadhan last summer Chelsea walimuulizia wakaambiwa 150m, na mchezaji Yuko willing kuchezea the blues timu yake ya utotoni akakutane na washkaji zake kina mount, James n k !

Angalia hata uwekezaji wa westham hapa karibuni unaonyesha Kuna kitu wanakitaka , japo on field hawajadeliver, moyes ana kazi ya ziada !

Angalia addition za kina scamacca, pacueta, last summer walimuhitaji pia lingard lakini ofa yao haikuwa nene Kama N.forest,,,
Mkataba wa Rice unaisha mwaka 2024, ana option ya kuurefusha kwa mwaka mmoja, amesema anataka kushinda makombe, amegoma kuongeza mkataba mpya, huwezi kutaka £150m kwa mchezaji aliye mwishoni mwa mkataba wake, huyu atauzwa kwa £80-85m, Arsenal have the pull.
 
Back
Top Bottom