Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Hakuna tatizo, tutaingia top four nxt season kama tutampata Rice & Rafa leaoMsiposajili dirisha hili kwa hicho kikosi finyu mlichonacho hata hio top4 kuingia itakua ni bahati nasibu.
Hakuna tatizo, tutaingia top four nxt season kama tutampata Rice & Rafa leaoMsiposajili dirisha hili kwa hicho kikosi finyu mlichonacho hata hio top4 kuingia itakua ni bahati nasibu.
declan rice ni mchezaji mzuri.. namkubali na anafundishika.. pia akipata makocha wazuri
zaidi anaweza kuwa the best.
tupende na tuwe na mazoea ya kutizama mechi nyingi na za timu tofauti tofauti na si mpk arsenal acheze na timu flani tu.. tusiwe watu wa highlights kwa sana ama ku tegmea sna izi football statistics katka kuwa judge wachezaji.
wenzetu wana scouting teams.. znatumia gharama kubwa ;watu wanaenda vwanjani na wana safiri umbali mrefu tu kutizama wachezaji kbsa na si kutgmea sna statistics.
arsenal ya invicibles ilikuwa na kiungo anaitwa gilberto silva.. uyu jmaa kama ingekuwa ni too much statistics kama dunia yetu ya sasa ya kimpira ilivo asingepata timu ata moja kubwa kuichezea.. kongole sna kwa mze wenger..
alikuwa na jicho la kimpira na aliona kitu kwa gilberto silva.
😂😂😂 ETG kuna kitu anakileta Utd, ile ya zamani si mishahara mikubwa. Suala la discipline ETG ana falsafa kama za Pep & Arteta. Discipline ikiwepo mafanikio yanakuja mbona mlijitoa kwenye deal la Joao Felix wakati huwa mnamwaga noti?Sasa hivi wachezaji wanaangalia mafanikio(makombe) na mishahara minono, hayo mambo ya kufit kwenye mfumo halafu mwisho wa msimu mnaishia kua wasindikizaji tu bila ya kombe lolote hakuna mchezaji anataka zaidi ya Harry Kane peke yake.
Huyu mwamba mwenyewe hapa chini kama mtamaliza huu msimu bila ya kombe lolote anaweza kwenda zake Madrid. View attachment 2484350
Arsenal waliachana nae mapema sanaHuyu Danilo alietoka palmeiras kwenda N.Forest sio huyu mliekuwa mnataka last window ? Imekuaje Tena !
Amegoma kuongeza mkataba , Mkataba wake unaelekea mwishon ,hivo westham watamuachia kwa £70m tuNaona mjadala wa rice,,,
Huyu Ni muingereza, untouchable ! Ni mid nzuri lakini westaham wako na project nzuri sidhani Kama watamuachia, na ikitokea Ni over 100m, mko tayari ? Nadhan last summer Chelsea walimuulizia wakaambiwa 150m, na mchezaji Yuko willing kuchezea the blues timu yake ya utotoni akakutane na washkaji zake kina mount, James n k !
Angalia hata uwekezaji wa westham hapa karibuni unaonyesha Kuna kitu wanakitaka , japo on field hawajadeliver, moyes ana kazi ya ziada !
Angalia addition za kina scamacca, pacueta, last summer walimuhitaji pia lingard lakini ofa yao haikuwa nene Kama N.forest,,,
Aaron ArsenalAmegoma kuongeza mkataba , Mkataba wake unaelekea mwishon ,hivo westham watamuachia kwa £70m tu
Wewe jamaa kwa kutupigia ramli tu hujamboMsiposajili dirisha hili kwa hicho kikosi finyu mlichonacho hata hio top4 kuingia itakua ni bahati nasibu.
Inasemekana kashaongea nae
Hivi man u mnaamini mna kikos kipana ?Msiposajili dirisha hili kwa hicho kikosi finyu mlichonacho hata hio top4 kuingia itakua ni bahati nasibu.
NO.
Wamehijack dealHuyu Danilo alietoka palmeiras kwenda N.Forest sio huyu mliekuwa mnataka last window ? Imekuaje Tena !






Wewe jamaa kwa kutupigia ramli tu hujambo
Mlisema baada ya world cup tutapoteana ,mkasema kuumia kwa Jesus tutapoteana ,mkasema tuna ratiba ngumu
Sasa mnasema tuna kikos kidogo ,
Arsenal wanajua wanachokifanya sio wajinga , ile ni project ,wana plan A-D
Kwenye backline kuna option kila namba ,
Ni eneo la mbele ndio bado tupo Active dirisha hili
Hapo tayari Smith Rowe karejea , Jesus yupo njian kurejea
Sikua namjua huyu Danilo before,,,, kaja EPL ataonekana,,,, pengine ana kitu mguuni !Arsenal waliachana nae mapema sana
Top target DM ni Declan Rice
Kupitia The Athletic -Tier 1 ,walisema dirisha hili wanaachana nae , na ndio maana Nguvu kubwa imewekezwa kwa Rice
UJIO WA HUYU JAMAA EMILE SMITH ROWE NDANI YA KIKOSI NI NYONGEZA YA NGUVU KUBWA SANA KWENYE TIMU
Emile Smith rowe kumuuona akirejea kikosini au hata akiwa benchi ni furaha tosha ya kuwa tuna mashine nje
Muda wowote anaweza kuingia na kubadilisha matokeoView attachment 2484461
Inawezekana wewe ukawa unafaidi sana kuliko sisi. Unakuta matokeo mkuu😂😂Itakuwa bonge la burudani. Shida yangu msimu huu ndiyo sina kabisa muda wa kuangalia games. 😔😔
😆😆😆 Nimekuwa mtumiaji mkubwa wa arsenalist.com ingawa highlights zake chache mno 😆😆😆Inawezekana wewe ukawa unafaidi sana kuliko sisi. Unakuta matokeo mkuu😂😂