Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

declan rice ni mchezaji mzuri.. namkubali na anafundishika.. pia akipata makocha wazuri
zaidi anaweza kuwa the best.

tupende na tuwe na mazoea ya kutizama mechi nyingi na za timu tofauti tofauti na si mpk arsenal acheze na timu flani tu.. tusiwe watu wa highlights kwa sana ama ku tegmea sna izi football statistics katka kuwa judge wachezaji.

wenzetu wana scouting teams.. znatumia gharama kubwa ;watu wanaenda vwanjani na wana safiri umbali mrefu tu kutizama wachezaji kbsa na si kutgmea sna statistics.

arsenal ya invicibles ilikuwa na kiungo anaitwa gilberto silva.. uyu jmaa kama ingekuwa ni too much statistics kama dunia yetu ya sasa ya kimpira ilivo asingepata timu ata moja kubwa kuichezea.. kongole sna kwa mze wenger..
alikuwa na jicho la kimpira na aliona kitu kwa gilberto silva.

Mpira kwanza tuupende na ushabiki upo hatukatai, lakini tuujue mpira nakuangalia mechi za timu nyingine. Declan Rice kwenye mechi yetu alicheza vizuri huwezi kumuona ni kwa sababu tulivyokuwa tunacheza. Gilberto toka mashindano yanaanza WC pata muda uangalie namna alivyokuwa anacheza.

Mpira ni mchezo wa furaha hata team yako pendwa ikifungwa uangalie udhaifu ulikuwa wapi mlizidiwa wapi na makosa yalianzia wapi.
 
Sasa hivi wachezaji wanaangalia mafanikio(makombe) na mishahara minono, hayo mambo ya kufit kwenye mfumo halafu mwisho wa msimu mnaishia kua wasindikizaji tu bila ya kombe lolote hakuna mchezaji anataka zaidi ya Harry Kane peke yake.
Huyu mwamba mwenyewe hapa chini kama mtamaliza huu msimu bila ya kombe lolote anaweza kwenda zake Madrid. View attachment 2484350
😂😂😂 ETG kuna kitu anakileta Utd, ile ya zamani si mishahara mikubwa. Suala la discipline ETG ana falsafa kama za Pep & Arteta. Discipline ikiwepo mafanikio yanakuja mbona mlijitoa kwenye deal la Joao Felix wakati huwa mnamwaga noti?
 
Naona mjadala wa rice,,,

Huyu Ni muingereza, untouchable ! Ni mid nzuri lakini westaham wako na project nzuri sidhani Kama watamuachia, na ikitokea Ni over 100m, mko tayari ? Nadhan last summer Chelsea walimuulizia wakaambiwa 150m, na mchezaji Yuko willing kuchezea the blues timu yake ya utotoni akakutane na washkaji zake kina mount, James n k !

Angalia hata uwekezaji wa westham hapa karibuni unaonyesha Kuna kitu wanakitaka , japo on field hawajadeliver, moyes ana kazi ya ziada !

Angalia addition za kina scamacca, pacueta, last summer walimuhitaji pia lingard lakini ofa yao haikuwa nene Kama N.forest,,,
Amegoma kuongeza mkataba , Mkataba wake unaelekea mwishon ,hivo westham watamuachia kwa £70m tu
 
Msiposajili dirisha hili kwa hicho kikosi finyu mlichonacho hata hio top4 kuingia itakua ni bahati nasibu.
Wewe jamaa kwa kutupigia ramli tu hujambo

Mlisema baada ya world cup tutapoteana ,mkasema kuumia kwa Jesus tutapoteana ,mkasema tuna ratiba ngumu


Sasa mnasema tuna kikos kidogo ,

Arsenal wanajua wanachokifanya sio wajinga , ile ni project ,wana plan A-D

Kwenye backline kuna option kila namba ,

Ni eneo la mbele ndio bado tupo Active dirisha hili

Hapo tayari Smith Rowe karejea , Jesus yupo njian kurejea
 
goalglobal-20230117-0001.jpg
 
Nyie vilaza mnapenda kudanganyana, mchezaji akishamtaka Arteta basi mtampamba mwishowe akiwatosa mnaanza kulalamika hana thaman ya price tag aliyowekewa. Kama huyo Rice ni mchezaji wa hovyo kbs, ila misukule mnavyodanganyana sasa dah!
 
Wewe jamaa kwa kutupigia ramli tu hujambo

Mlisema baada ya world cup tutapoteana ,mkasema kuumia kwa Jesus tutapoteana ,mkasema tuna ratiba ngumu


Sasa mnasema tuna kikos kidogo ,

Arsenal wanajua wanachokifanya sio wajinga , ile ni project ,wana plan A-D

Kwenye backline kuna option kila namba ,

Ni eneo la mbele ndio bado tupo Active dirisha hili

Hapo tayari Smith Rowe karejea , Jesus yupo njian kurejea

Gary Neville na Flano kila siku wana sababu mpya
 
Halafu huyu jamaa anafungaga magoli ya maana Sana,Yaani goli zake huwa zinatuokoa Sana.

Kuna muda huwa namfananisha na Chicharito wa Man Utd ama Edin Dzeko wa Man City....Hawa jamaa walikuwa wanazifungia timu zao mabao muhimu Sana( waokoa jahazi).
UJIO WA HUYU JAMAA EMILE SMITH ROWE NDANI YA KIKOSI NI NYONGEZA YA NGUVU KUBWA SANA KWENYE TIMU


Emile Smith rowe kumuuona akirejea kikosini au hata akiwa benchi ni furaha tosha ya kuwa tuna mashine nje
Muda wowote anaweza kuingia na kubadilisha matokeoView attachment 2484461
 
Back
Top Bottom