Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Repost George Ambagile Tottenham v Arsenal
.Arsenal wanacheza kibingwa sana , wanakupa picha zote mbili pale wanapohitajika kufanya hivyo ... wakiamua kushambulia wanakuwa hatari , wakiamua kuzuia wanakuwa na shape nzuri sana ya uzuiaji ... they are so good
.Kipindi cha kwanza utasema Wanaume Vs Wavulana , jinsi Arsenal walivyowaonea Spurs . Arsenal walifanya vitu vingi kwa usahihi
1: Kushinda mpira wa kwanza hasa ya juu
2: Kushinda mpira wa pili
3: Passing
4: Kuweka presha kwenye mpira haraka sana pale wanapopoteza ( Counter pressing )
5: Shape yao ya uzuiaji pale waapokuwa na mpira ( rest defense )
6: Mpambano wa kimwili walikuwa wanawatoa njiani kirahisi sana Spurs
7: Kumiliki mchezo kwa utulivu ( Control )
.Wazuie Arsenal kwenye chanzo cha ujenzi wao wa mashambulizi ( stop them at source ) na hiko chanzo ni Zinchenko na Partey lakini sio rahisi sana bali inawezekana kama Spurs walivyofanya kipindi cha pili , ukiruhusu Arsenal watulie ( Settled possession ) na kufika phase ya tatu ya mchezo ( kwa Saka Odegaard Martinelli Nketiah na Xhaka ) utakuwa na kazi ngumu sana ya kuwazuia , they are dangerous
.Spurs kipindi cha pili walifanya kile ambacho hawakufanya kipindi cha kwanza :
1: Weka presha kwenye mpira
2: Pasia mpira vizuri
3: Shinda mpira wa pili
4: Runners kwenda mbele
Lakini shida kwao ni kwamba kila swali walilouliza kwa Arsenal lilipatiwa majibu sahihi
NOTE
1: Saka akiwa na mpira mguuni , kumpokonya kazi sana na leo movement zake ni kuomba mpira mbele ya Sessegnon na kuingia ndani
2: Odegaard " THE TECHNICIAN " huyu nimesema sana

3: Partey after Partey
shilingi sita inayopora mpira na kupiga pasi mithili ya namba 10
4: Kilichomtuma Pep kuwauzia Arsenal Zinchenko atajuta , yule Bro kama ana sumaku
5: Aaron Ramsdale
top saves
6: Kwanini Conte alimuacha Bissouma kwenye benchi ?
7: ENDELEENI KUKARIRI , WENYEWE SHIDA YAO SIO UBINGWA BALI KUSHINDA MECHI INAYOFUATA TU HALAFU TUKUTANE MEI 2023
FT : Spurs 0-2 Arsenal
.Arsenal wanacheza kibingwa sana , wanakupa picha zote mbili pale wanapohitajika kufanya hivyo ... wakiamua kushambulia wanakuwa hatari , wakiamua kuzuia wanakuwa na shape nzuri sana ya uzuiaji ... they are so good
.Kipindi cha kwanza utasema Wanaume Vs Wavulana , jinsi Arsenal walivyowaonea Spurs . Arsenal walifanya vitu vingi kwa usahihi
1: Kushinda mpira wa kwanza hasa ya juu
2: Kushinda mpira wa pili
3: Passing
4: Kuweka presha kwenye mpira haraka sana pale wanapopoteza ( Counter pressing )
5: Shape yao ya uzuiaji pale waapokuwa na mpira ( rest defense )
6: Mpambano wa kimwili walikuwa wanawatoa njiani kirahisi sana Spurs
7: Kumiliki mchezo kwa utulivu ( Control )
.Wazuie Arsenal kwenye chanzo cha ujenzi wao wa mashambulizi ( stop them at source ) na hiko chanzo ni Zinchenko na Partey lakini sio rahisi sana bali inawezekana kama Spurs walivyofanya kipindi cha pili , ukiruhusu Arsenal watulie ( Settled possession ) na kufika phase ya tatu ya mchezo ( kwa Saka Odegaard Martinelli Nketiah na Xhaka ) utakuwa na kazi ngumu sana ya kuwazuia , they are dangerous
.Spurs kipindi cha pili walifanya kile ambacho hawakufanya kipindi cha kwanza :
1: Weka presha kwenye mpira
2: Pasia mpira vizuri
3: Shinda mpira wa pili
4: Runners kwenda mbele
Lakini shida kwao ni kwamba kila swali walilouliza kwa Arsenal lilipatiwa majibu sahihi
NOTE
1: Saka akiwa na mpira mguuni , kumpokonya kazi sana na leo movement zake ni kuomba mpira mbele ya Sessegnon na kuingia ndani

2: Odegaard " THE TECHNICIAN " huyu nimesema sana


3: Partey after Partey
shilingi sita inayopora mpira na kupiga pasi mithili ya namba 104: Kilichomtuma Pep kuwauzia Arsenal Zinchenko atajuta , yule Bro kama ana sumaku

5: Aaron Ramsdale
top saves 6: Kwanini Conte alimuacha Bissouma kwenye benchi ?

7: ENDELEENI KUKARIRI , WENYEWE SHIDA YAO SIO UBINGWA BALI KUSHINDA MECHI INAYOFUATA TU HALAFU TUKUTANE MEI 2023
FT : Spurs 0-2 Arsenal
, Jesus kambadilisha sana nketiah
) The word from Arsenal is that the numbers for Mudryk were getting crazy and they weren’t prepared to get involved in a bidding war. They’ll only sign players if it makes sense financially and improves the squad.” (@David_Ornstein)