makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,866
- 104,058
Kiukweli hatuko serious...
Kama tunahitaji ubingwa, ilibidi tuongeze watu. Partey anahitaji msaada, pale juu inahitajika nyongeza.
Yaani viongozi wa arsenal wasijitele kusema eti malengo yetu ni top 4😂
Huu ndio msimu wwa kuchukua ubingwa, Liverpool hoi, Chelsea huyo, man u alianza kwa kuchechemea naona gari inashika kasi, man city si yule(hatabiriki)
Msimu ujao hao wote wakiwa fiti, Newcastle akiongeza nguvu, Tottenham akiwa byee.. Itahitajika nguvu kubwa kuchukua ubingwa, kuliko nguvu ya msimu huu, ni km msiimu wa ubingwa kwa Leicester City,tulijilegeza sehemu ya kujikaza.
Kama tunahitaji ubingwa, ilibidi tuongeze watu. Partey anahitaji msaada, pale juu inahitajika nyongeza.
Yaani viongozi wa arsenal wasijitele kusema eti malengo yetu ni top 4😂
Huu ndio msimu wwa kuchukua ubingwa, Liverpool hoi, Chelsea huyo, man u alianza kwa kuchechemea naona gari inashika kasi, man city si yule(hatabiriki)
Msimu ujao hao wote wakiwa fiti, Newcastle akiongeza nguvu, Tottenham akiwa byee.. Itahitajika nguvu kubwa kuchukua ubingwa, kuliko nguvu ya msimu huu, ni km msiimu wa ubingwa kwa Leicester City,tulijilegeza sehemu ya kujikaza.
