computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Hakuna cha mchakato wala nini that's is stupid excuse tuna squad yenye nguvu ila benchi la kifala na tuseme kuwa hao 11 players watacheza bila injuries up to June haiwezekani last year top 4 ilikosekanika sababu ya haya hayaKabisa aisee, tuna delay sana kwenye deal moja, alf ndo kama hiki kilichotokea mpaka sasa tungekua tumekamilisha sajili mbili fasta kuongeza nguvu kikosini, au hadi tufungwe ndo watakumbushwa,..
Alf ukisema watu watakuja kudai usajili ni mchakato, mbona timu zingine siku tatu ama nne deal done. Sie wiki 3

