Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huu ni wakati vijana wa Arsenal kuonyesha uwanjani kwamba Edu na Arteta kwanini umlikua mnahangaika na huyo wakati sisi tupo?! Mashabiki tulieni. Kambini mambo ni shwari, leo spurs anakaa hamna namna.
Tuna miaka 10 hatujawahi kumfunga spurs away na katika game Kama 10 tumetoa draw only 2 times ,so anything can happen najua tutawazidi kwa kumiliki mpira but defenders wetu na wasiwasi nao sana kwenye counter attacks za spurs inabidi leo watulie mambo ya kukabia juu yanaweza yakatuumiza but tusubiri game muhimu ambayo itatoa direction season hii ukiachana na next game vs Manchester United lazima tupate 3 points leo ili next week tunaenda kumaliza mchezo tunakuwa juu zaidi ila leo ikitokea negative results tutaenda game ijayo vs Manchester United pressure ikiwa juu na watu wazima tukaanguka so game ya leo sio rahisi hata kidogo in my opinion
 
nadhani tunapaswa kumpata mtu kama hazard wa kipindi kile. siyo huyu wa sasa. siipendi chelsea ila nilikuwa naanalia game zenu kwa sababu ya hazard tu. full entertainment jamaa alikuwa anajua aisee
Nisahihishe kama nimekosea

Hazard hajawahi kufunga magoli zaidi ya 15 kwenye ligi akiwa Chelsea.

Alipofunga magoli zaidi ya 15 ndiyo Madrid wakamfuata.

Au haiko hivi?
 
Tuna miaka 10 hatujawahi kumfunga spurs away na katika game Kama 10 tumetoa draw only 2 times ,so anything can happen najua tutawazidi kwa kumiliki mpira but defenders wetu na wasiwasi nao sana kwenye counter attacks za spurs inabidi leo watulie mambo ya kukabia juu yanaweza yakatuumiza but tusubiri game muhimu ambayo itatoa direction season hii ukiachana na next game vs Manchester United lazima tupate 3 points leo ili next week tunaenda kumaliza mchezo tunakuwa juu zaidi ila leo ikitokea negative results tutaenda game ijayo vs Manchester United pressure ikiwa juu na watu wazima tukaanguka so game ya leo sio rahisi hata kidogo in my opinion
Winning when it matters most is the character of the Champion. Ushindi wa game ya leo na ya next week utaguarantee ubingwa by almost 80%.

Baada ya game hizi mbili ndo nitaconclude kuhusu maturity ya wachezaji wetu kwenye big stages na kuanzia hapo ndio either ntamuunga mkono mkorea au nitabaki na ninachokiamini toka mwanzo wa msimu ambacho ni "best achievement we are capable of, is top four qualification."

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kwamba usajili wa Mudryk kwenda Chelsea unaweza kuaffect mbio za ubingwa kwa Arsenal msimu huu cuz naamini wachezaji pekee wa kusajiliwa Arsenal km rotation ya Saka/ Martinelli ni Mudryk ambaye kaenda Chelsea, waliyobaki ni Raphinha & Rafa leao.

Raphinha / Leoa ni vigumu kuwasajili kwa dirisha hili, hivyo binafsi nadhani kwa budget yetu ni bora tusubiri nxt window tupate winger mzuri zaidi but we should pay the price, tuwe tayari kuukosa ubingwa ikiwa long term injury itawapata wachezaji km Saka / Martinelli. Kumkosa Mudryk kunaweza kuaffect progress yetu msimu huu tu km injury itatokea kwa our natural wide players ila hakuwezi kuaffect project ya Arsenal kubang, kamwe.
Hii drama tuliifanya msimu uliopita. Chukua Guimaraes tukaona 40M nyingi Partey akaumia na leo tupo hapa.

Shida ni kwamba bado hatuna kiungo na hatuonyeshi kama tuna mpango wa kusajili ila tunatarajia miujiza.

At this point tukiwekeza vizuri we have a chance in title race. Huo ndiyo ukweli
 
Winning when it matters most is the character of the Champion. Ushindi wa game ya leo na ya next week utaguarantee ubingwa by almost 80%.

Baada ya game hizi mbili ndo nitaconclude kuhusu maturity ya wachezaji wetu kwenye big stages na kuanzia hapo ndio either ntamuunga mkono mkorea au nitabaki na ninachokiamini toka mwanzo wa msimu ambacho ni "best achievement we are capable of, is top four qualification."

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
80% umeweka kubwa sana.

Kabla ya game dhidi ya Newcastle tulikua na 51% za ubingwa. Baada ya ile game tukashuka mpaka 46% matokeo ya jana ya City na yetu leo dhidi ya Spurs yanaweza leta namba tofauti ila siyo 80%
 
Tuna miaka 10 hatujawahi kumfunga spurs away na katika game Kama 10 tumetoa draw only 2 times ,so anything can happen najua tutawazidi kwa kumiliki mpira but defenders wetu na wasiwasi nao sana kwenye counter attacks za spurs inabidi leo watulie mambo ya kukabia juu yanaweza yakatuumiza but tusubiri game muhimu ambayo itatoa direction season hii ukiachana na next game vs Manchester United lazima tupate 3 points leo ili next week tunaenda kumaliza mchezo tunakuwa juu zaidi ila leo ikitokea negative results tutaenda game ijayo vs Manchester United pressure ikiwa juu na watu wazima tukaanguka so game ya leo sio rahisi hata kidogo in my opinion
Miaka 10 haijatimia bado.

2014 na 2015 tulimfunga akiwa nyumbani
 
Kwa kweli sikufuatilia hizo stats zake. Atakuwa mingoni mwa wafungaji bora wao hadi sasa nadhani. Alikuwa mchezaji muhimu mwenye kasi na ubunifu. ALicombine viuri na wengine na alitoa burudani. Alikuwa mgumu kumkaba na aliwapa Chelsea fouls, nadhani na penalties pia. Pale ilipobidi liweza kuwa mbeba team 'game changer/protagonist' hali ikiwa ngumu. Nakumbuka kuna game alitufunga baada ya kukokota mpira mbele ya halfway line, Coquelin akajaribu kumkaba akajikwaa kwake na kuanguka, akauburuza mpaka kumkuta na kumtoka Koscielny na kupiga bonge la bao.
Nisahihishe kama nimekosea

Hazard hajawahi kufunga magoli zaidi ya 15 kwenye ligi akiwa Chelsea.

Alipofunga magoli zaidi ya 15 ndiyo Madrid wakamfuata.

Au haiko hivi?
 
Kwa kweli sikufuatilia hizo stats zake. Atakuwa mingoni mwa wafungaji bora wao hadi sasa nadhani. Alikuwa mchezaji muhimu mwenye kasi na ubunifu. ALicombine viuri na wengine na alitoa burudani. Alikuwa mgumu kumkaba na aliwapa Chelsea fouls, nadhani na penalties pia. Pale ilipobidi liweza kuwa mbeba team 'game changer/protagonist' hali ikiwa ngumu. Nakumbuka kuna game alitufunga baada ya kukokota mpira mbele ya halfway line, Coquelin akajaribu kumkaba akajikwaa kwake na kuanguka, akauburuza mpaka kumkuta na kumtoka Koscielny na kupiga bonge la bao.
Assists zaidi kuliko yeye mwenyewe kuscore
 
80% umeweka kubwa sana.

Kabla ya game dhidi ya Newcastle tulikua na 51% za ubingwa. Baada ya ile game tukashuka mpaka 46% matokeo ya jana ya City na yetu leo dhidi ya Spurs yanaweza leta namba tofauti ila siyo 80%
Kwangu mimi kama tukishinda hizi game 2 basi tutawiden the gape na UTD na City, pia confidence level itakuwa juu hivyo kutengeneza possibility kubwa ya kupata pts vs City kwenye game zote. Kwa average teams nadhani kwa sasa wanatuhofia that's why tunawadefeat in their own fear (take example of West Ham also Brentford)

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Saka ana Nelson

Naona fans wengi wanalalamika depth ya team, ila kwa mtazamo wangu naona tunalack sufficient confidence level in our sub players. Hii inapatikana via winning na kuwaintegrate slowly into winning teams.

Kama tukiendelea kuwa na muendelezo wa matokeo ya kushinda hawa kina Lokonga, Vieira na Nelson watabadilika sana, na kubadili mawazo ya wengi.

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Hao akina nelson, lokonga achana nao

Tunza hiyo text
 
Hii drama tuliifanya msimu uliopita. Chukua Guimaraes tukaona 40M nyingi Partey akaumia na leo tupo hapa.

Shida ni kwamba bado hatuna kiungo na hatuonyeshi kama tuna mpango wa kusajili ila tunatarajia miujiza.

At this point tukiwekeza vizuri we have a chance in title race. Huo ndiyo ukweli
Guimares sio holding midfielder, umekuwa off humu ushalose streak.
 
Ffp haiwezi tumika hapa kwakua Roman wakati anaiuza timu madeni yote yalifutwa. Hivyo kwenye ffp Chelsea ilionekana iko 0.

Ffp inaangalia mapato yako na matumizi kila baada ya miaka 3. Na kwakua deni lilifutwa hii inamaanisha ffp inaona Chelsea katumia 500M na hana negative.

Ujanja mwingine ni amortization mfano dili la Mudryk ni 105M na mkataba ni miaka 7 ukiigawa hii 105 kwa miaka 7 utaona actually hii inamaanisha kila mwaka inalipwa 10.4M so bado wanakua hawajaiingilia FFP.

Swali hili liliwafaa Barca ambao tunajua wana deni la 1B ila walikua wanasajili non stop

Either umeshondwa kujieleza au uliowasikia wanaoongelea amortisation na disclosure hukuwaelewa vizuri.
Ulichokiandika hakikubsliki kiuhasibu
 
Ila anaweza kukuchukulia mpira kukupelekea mbele, kukupa pasi za rula, ananyumbulika vizuri tofauti na Lokonga na Elneny
That doesn't make him a holding mid, he's a second phase merchant. Perfect suit to Xhaka's LCM.
 
Winning when it matters most is the character of the Champion. Ushindi wa game ya leo na ya next week utaguarantee ubingwa by almost 80%.

Baada ya game hizi mbili ndo nitaconclude kuhusu maturity ya wachezaji wetu kwenye big stages na kuanzia hapo ndio either ntamuunga mkono mkorea au nitabaki na ninachokiamini toka mwanzo wa msimu ambacho ni "best achievement we are capable of, is top four qualification."

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app

Ushindi wa leo na next weekend hautoi 80% guarantee ya kuwa bingwa, Bali unajenga morale towards securing the title. Maybe 60%
 
Piers Morgan anasema «If Arsenal want to win the League this season, we can’t faff around for weeks on key targets and then get outflanked/outbid at the last minute. Looks weak.

"We must buy another top class striker asap."

Earlier, Piers had also tweeted: "How can this be happening? Ridiculous that Arsenal let this transfer saga drag on so long we’ve apparently ended up losing him."

The TV personality was far from the only Gunners fan who was left fuming by yesterday's developments.

"Can’t blame the player, blame Edu for not getting this done ages ago."

Another said: "Edu just got his pants pulled down and got taught a lesson on what happens when you take the p*** with transfers lol nothing more to add."
 
Nilisema huyu ametumika au amefanya kazi yake.
Uzembe ni wa Edu na sio Fabrizio management ikubali imeteleza tuangalie what next siku zinaenda za deadline huku tuna two big competitions (EPL and Europa league)ambazo zote this season tunazitaka huku tukiwa na strong 11 starting squad na weak bench kwa kipindi hiki ikifika March muda wa kukimbizana kumaliza EPL na Knock out ya Europa ndio tutakuja kuona umuhimu tena wa usajili kama last season tulivyoikosa top 4
 
Back
Top Bottom