Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwisho Ni maamuzi ya mchezaji ,Alisema Arteta wiki iliyopita

Mbona dili la Jesus mliingia mkafeli,kwa Raphina ,kounde wakaenda Barca regards mliwaofa big salaries

Usajili una drama zake na ndio hizi,

Shakhtar Ni dhahiri walifanya Siri ,ndio maana walitukazia, toka Jana asubuhi wanatu joke kwenye page Yao ,

Sio Fabrizio, sio David Ornstein au Matt D law walijua kinachoendelea Hadi jion.

Pole sana Aaron Arsenal nina hakika humu ndani hakuna shabiki yoyote aliyeumia zaidi yako kwenye kufeli kwenu kumsajili Mudricky.
January hii tukiachana na Haji Manara Aaron Arsenal nae pia anapitia maumivu yaleyale anayoyapitia semaji la ya yanga.
 

Pole sana Aaron Arsenal nina hakika humu ndani hakuna shabiki yoyote aliyeumia zaidi yako kwenye kufeli kwenu kumsajili Mudricky.
January hii tukiachana na Haji Manara Aaron Arsenal nae pia anapitia maumivu yaleyale anayoyapitia semaji la ya yanga.
nimeumia kwakweli, Ni mchezaji mzuri ,nilimfatilia Sana ,ukiona Hadi mchezaji tumefika €95m kwa upare wa bosi wa Arsenal Basi ujue alikuwa mtu haswa anayekuja kuingia moja kwa moja
 
Ila niwatahadharishe, Raphina hakuna mchezaji pale
Yeye yuko vizuri kwenye kushoot na kutoa krosi basi. Hawezi kudrible kabisa. kwa hiyo kama mnamtaka mtu wa kufunga nje ya 18, kupiga free kicks na kona na krosi zingine huyo anawafaa
Je mfumo wa Arteta unamuhitaji mtu kama huyo?
Barca mfumo umemtema chini, nilisema hiki kitu wakati Barca wanahijack hili dilikuwa mchezaji kama Raphina hafai uchezaji wa Barca na City

Anyway anaweza kufaa Arteta style kwa sababu Arteta anafundhsha "TOTAL FOOTBAL" ambayo Raphina ndiko anafit zaidi

Huu mfumo Leeds ndio walikuwa wanatumia na ndio maana Raphina akavuma. Arsenal na ninyi mnacheza kama Leeds ya wakati ule wa Marcelo Biesla
Raphina ana end product mbovu Sana

Hizi Tetes zenyewe sidhani Kama Zina ukweli

Ndio maana ana namba ndogo Sana za magoli Barca , timu ya Taifa pia end product ZERO .
 
Thuram msiende huko msije mkaongeza maumivu juu ya jeraha. Hatuko tayari kukuzika bana, hata kama tunabishana kwenye football, tunakujali Aaron Arsenal
si mpo kwa Nodi mukiele ?

Nyie jamaa mnazingua Sasa,nasikia Kuna beki ipo Sporting ,Spurs anajiandaa kumbeba , mnataka ku hijack

Ila Toddy hizi hela anatoa wapi?

Pep miaka Saba katumia €1B

Toddy miez 6 €500m na anasema hapo Bado
 
Option zilizopo sokoni za haraka

Trossard 27yrs

Thuram

Raphina barca wamemuweka sokoni

Kolo Muani
Thuram na Noni Madueke tuko kwenye hatua za mwishoni kabisa
Na hawa wachezaji tunawataka January hii kwa udi na uvumba ili watuwezesha hata kucheza Europa
 
si mpo kwa Nodi mukiele ?

Nyie jamaa mnazingua Sasa,nasikia Kuna beki ipo Sporting ,Spurs anajiandaa kumbeba , mnataka ku hijack

Ila Toddy hizi hela anatoa wapi?

Pep miaka Saba katumia €1B

Toddy miez 6 €500m na anasema hapo Bado
Hata Abramovich alikuwa anafanya hivyo
Tajiri wa timu anaweza kuikopesha timu halafu inalipa kwa installment kidogo kidogo ili isikiuke taratibu za FFP

Anaitwa Noni Madueke huyo pamoaja na Marcus Thuram majadilinao yako kwenye hatua za mwishoni kabisa
 
Mtampata mchezaji bora kuliko Mudryk, dunia ni kubwa, wachezaji wako wengi tu. poleni sana
Ila tukija hapo Emirate msitupige mawe tu
Kwa navyofahamu ni kwamba Mudryk alifikia hatua hii baada ya offer ya Chelsea kukubaliwa na ile ya Arsenal kutokukubaliwa.

Baada ya Arsenal kusema hawataongeza kuvuka €95M ili hali Chelsea wameweka €100M, Shakhtar walikubali offer ya Chelsea.
Changamoto ilibaki upande wa mchezaji maana alikuwa anaitaka Arsenal.

Kuna taarifa niliona inasema Shakhtar walimwambia kama hatakubali kwenda kwa hao walioweka pesa waliyokuwa wanataka (€100M) basi hawatakubali aondoke.

Nadhani hii ongeza na mshahara waliokuja nao Chelsea pamoja na uhakika wa kuanza first XI ndio vilimfanya dogo abadili mtazamo na aamue kwenda Chelsea.

Kumbuka hii ndio ilikuwa chance yake ya kuweza kuondoka Shakhtar
 
Hata Abramovich alikuwa anafanya hivyo
Tajiri wa timu anaweza kuikopesha timu halafu inalipa kwa installment kidogo kidogo ili isikiuke taratibu za FFP

Anaitwa Noni Madueke huyo pamoaja na Marcus Thuram majadilinao yako kwenye hatua za mwishoni kabisa
Huyu Toddy kazidi, na amevunja Rekodi za dunia ,Kwanza hafanyi negotiation


Abromovich ,hata Perez hawakuwahi kuwa na fujo Hivi kwenye transfer, Roman hajawahi kutumia dirisha moja €250m Kama nipo sawa, Ni msimu ule aliompa Lampard ndio alifika €230m .

Hata Pep hajawahi kufika €250m + dirisha moja ,

Huyu Toddy summer kaweka rekod €300m , hii January anakimbilia €200m+

FFP kazi yake nini
 
Mwamba huyu hapa
JamiiForums-880068826.jpg
 
Huyu Toddy kazidi, na amevunja Rekodi za dunia ,Kwanza hafanyi negotiation


Abromovich ,hata Perez hawakuwahi kuwa na fujo Hivi kwenye transfer, Roman hajawahi kutumia dirisha moja €250m Kama nipo sawa, Ni msimu ule aliompa Lampard ndio alifika €230m .

Hata Pep hajawahi kufika €250m + dirisha moja ,

Huyu Toddy summer kaweka rekod €300m , hii January anakimbilia €200m+

FFP kazi yake nini
Huyo jamaa ni wa kupiga spana mapema sana. Otherwise tutasafa..
 
Back
Top Bottom