lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,665
- 25,840
Mtampata mchezaji bora kuliko Mudryk, dunia ni kubwa, wachezaji wako wengi tu. poleni sanaKile kikao alichoenda London ,kilimaliza kila Kitu, ndio maana Shakhtar wakawa hawatusikilizi,
Ila poa acha maisha yaendelee
Ila tukija hapo Emirate msitupige mawe tu