Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Mwisho Ni maamuzi ya mchezaji ,Alisema Arteta wiki iliyopita
Mbona dili la Jesus mliingia mkafeli,kwa Raphina ,kounde wakaenda Barca regards mliwaofa big salaries
Usajili una drama zake na ndio hizi,
Shakhtar Ni dhahiri walifanya Siri ,ndio maana walitukazia, toka Jana asubuhi wanatu joke kwenye page Yao ,
Sio Fabrizio, sio David Ornstein au Matt D law walijua kinachoendelea Hadi jion.




Pole sana Aaron Arsenal nina hakika humu ndani hakuna shabiki yoyote aliyeumia zaidi yako kwenye kufeli kwenu kumsajili Mudricky.
January hii tukiachana na Haji Manara Aaron Arsenal nae pia anapitia maumivu yaleyale anayoyapitia semaji la ya yanga.

