Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji279]Mudryk amezungumza na Oleksandr Zinchenko kuhusu klabu na ni shabiki mkubwa wa aina ya uchezaji wa Arsenal.

Mikel Arteta anaamini kuwa Mudryk anaweza kubadilishwa kuwa winga hodari zaidi,.


@JacobsBen
 
KROENKE want to back Arsenal’s title push in the January transfer window.
That's why you see them leading the race for Mudryk, Joao Felix and Matheus Cunha

David ORNSTEIN
IMG_20221212_181624.jpg
 
"Atleti watamruhusu aende kwa kile wanachohisi ni ofa nzuri"

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbele ya PSG na Man United je Arsenal mnaweza kutoa offer nzuri?

Hapo Atletico Madrid na wakala wa Joao Felix wanawatumia nyie Arsenyani kuongeza thamani ya mchezaji wao.

AsaniWali nyie wachezaji wenu ni wale wa mafungu, mnanunua fungu la wachezaji 5 halafu mnapewa Lukonga kama nyongeza.
Arsenal is the right project for Joao Felix,

, he shouldn’t make the same mistake twice by sending Felix to another club that plays negative football like Manchester United
 
Hii jezi aliyovaa, ni arsenal ya kina andrey arshavin... Kajamaa kalikuwa kanaujuwa saaana, ila ndio arsenal ile ilikuwa na matatizo mengi, quality players wachache, average wamejazana.
Pia hiyo Jezi inakumbukumbu ya kula goli 8 dhidi ya Man U..
 
[emoji599] Some who work in top-level recruitment, however, think Felix may be better suited to Arsenal, given the stylistic fit and their potential need for attacking reinforcements after Gabriel Jesus underwent knee surgery.

(@David_Ornstein )[emoji281]- TIER 1
I said it kuwa Felix ndio perfect fit ila "experts" mkanishambulia eti Felix hawezi lolote na kwamba Hana namba kwenye mfumo wa Arsenal!!

Next time mpunguze emotions na ujuaji.
 
[emoji1787][emoji1787]anamtaka Joao Felix, aliambiwa anafiti kwenye mipango ya kocha?

Huo upuuzi wa kusajiri ilimradi mchezaji mzuri hata man u wameanza kuuacha ,

Chelsea wametumia £300m lakin kikos dhaifu ,sababu Kuna wachezaji mule walikuwa wanasajiri bila kujua wanacheza style gani .
Una maoni Gani baada ya experts wa kweli kwenye recruitment ya Arsenal kusema he's the perfect fit?
 
Tukichua ligi pesa za usajili wa Mudryk zitarudi, kwa hiyo naona jamaa waweke mzigo.
Afadhali Will Jr umerudi, jukwaa lilikua limepoa sana hili, bora kuanzia sasa hivi litaanza kuchangamka.
Vipi nikushtulie computerarsenal muanze kulichangamsha jukwaa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
I said it kuwa Felix ndio perfect fit ila "experts" mkanishambulia eti Felix hawezi lolote na kwamba Hana namba kwenye mfumo wa Arsenal!!

Next time mpunguze emotions na ujuaji.
Tena walikushambulia kama vile fisi wameona mzoga, tatizo humu kumejaa misukule ya Arteta, ukianza kumtaja mchezaji unaetamani aje Arsenal kabla Arteta hajamtaja unaonekana ni msaliti/mamluki unaempangia Arteta kazi.
Wacha leo wale matapishi yao wenyewe.
 
Tena walikushambulia kama vile fisi wameona mzoga, tatizo humu kumejaa misukule ya Arteta, ukianza kumtaja mchezaji unaetamani aje Arsenal kabla Arteta hajamtaja unaonekana ni msaliti/mamluki unaempangia Arteta kazi.
Wacha leo wale matapishi yao wenyewe.
Kuna kitu hamjajifunza kwenye usajili.felix anaweza kutumika kuwarubuni wapinzani ili biashara ya mudrick ifanyike kwa utulivu.kwa nionavyo mimi usajili ni kama vita na kuna mbinu nyingi za kumuhadaaa adui
 
Kuna kitu hamjajifunza kwenye usajili.felix anaweza kutumika kuwarubuni wapinzani ili biashara ya mudrick ifanyike kwa utulivu.kwa nionavyo mimi usajili ni kama vita na kuna mbinu nyingi za kumuhadaaa adui
Na dau likashuka pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom