Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Maisha Ya Soka

Hao Unaowaona Hapo ni Mashabiki Wa Uingereza Wakitoa Pongezi Kwa Kijana Hatari Zaidi Duniani Bukayo Saka Baada ya Kuonyesha Kiwango Kizur Kwenye Mechi Dhidi ya Senegal .Ambalo aliendeleza Jadi Yake ya Kumtungua Edouador Mendy na Kumgeuza Muembe Wake wa Uani..

Hawa Hawa Mashabiki Baadhi Yao Ndio Waliombagua Kijana Alipokosa Penalti Wakati England Wakicheza Dhidi Ya Italy Kwenye Fainal Ya Euro

Aisee Tuache Masikhara Ukiacha Kiwango Chake Saka Pia Anajua Kuvumilia Mapito magumu Maana Tangu Wakose Penalty Yeye na Sancho Kipindi kile Mpaka Leo Sancho Haeleweki Kabisa Ila Saka Amerud Akiwa Imara zaidi Shukrani Pia Kwa Mikel Arteta na Benchi lake Lote Kwa Kumuimarisha Kijana Kiakili na Kiwango Pia

Fundisho..Mashabiki Watakupenda Ukiwa na Farida Kwao Tuu Tena Haswa Watu Weusi…
FB_IMG_1670483498915.jpg
 
Maisha Ya Soka

Hao Unaowaona Hapo ni Mashabiki Wa Uingereza Wakitoa Pongezi Kwa Kijana Hatari Zaidi Duniani Bukayo Saka Baada ya Kuonyesha Kiwango Kizur Kwenye Mechi Dhidi ya Senegal .Ambalo aliendeleza Jadi Yake ya Kumtungua Edouador Mendy na Kumgeuza Muembe Wake wa Uani..

Hawa Hawa Mashabiki Baadhi Yao Ndio Waliombagua Kijana Alipokosa Penalti Wakati England Wakicheza Dhidi Ya Italy Kwenye Fainal Ya Euro

Aisee Tuache Masikhara Ukiacha Kiwango Chake Saka Pia Anajua Kuvumilia Mapito magumu Maana Tangu Wakose Penalty Yeye na Sancho Kipindi kile Mpaka Leo Sancho Haeleweki Kabisa Ila Saka Amerud Akiwa Imara zaidi Shukrani Pia Kwa Mikel Arteta na Benchi lake Lote Kwa Kumuimarisha Kijana Kiakili na Kiwango Pia

Fundisho..Mashabiki Watakupenda Ukiwa na Farida Kwao Tuu Tena Haswa Watu Weusi…View attachment 2439348
Wazungu ubaguzi hawaachi, wakishinda picha ya mzungu wakifungwa mweusi.
 
️Atletico Madrid would prefer to sell Joao Felix to a PL club. They would ask for a minimum of 100m euros and a loan with mandatory purchase is also an option

(@rubenuria ) -RELIABLE
 
KWENYE HABARI ZA USAJIRI,AU TETESI TUNAZIWEKA KATIKA MADARAJA

Transfer news rating system -

- Very reliable
- Reliable
- Hit and miss
 
Tomiyasu, Xhaka, Thomas Partey and now Turner have all joined the team in Dubai training camp.

Arsenal players are really, really serious this season and you gotta love it. Arteta has really unite this team and instilled a huge mentality in them. Cant wait for the Epl to resume
 
️Atletico Madrid will not let Felix leave for less than 100m euros. Arsenal,PSG,Chelsea,United are all in the mix. Mendes trying hard to find a new suitor. Loan with mandatory purchase also possible.

(@diarioas) to- Difficult to predict
 
️Arsenal inasita kumrejesha Balogun kutoka kwa mkopo kwa kuwa ni wazi ni kiasi gani ananufaika kutokana na kucheza wiki baada ya wiki Ligue 1.

Kipaumbele cha AFC sokoni kabla ya jeraha la Jesus Ni kuleta winga mwingine & CM, na hilo huenda lisibadilike.

Arteta anamwamini Nketiah, ndiyo sababu alijitahidi sana kumpa mkataba wakati wa kiangazi, na yeye(Arteta) au Edu hawataleta mtu n ikiwa hawaamini kuwa ni wa mipango ya muda mrefu. Mudryk yupo kwenye rada kwa muda sasa. Klabu inawatazama pia Danilo na Tielemans

(@charles_watts) -RELIABLE KWA HABARI ZA ARSENAL
 
Arsenal XI vs. Lyon: Hein; Cedric, Holding, Gabriel, Tierney; Elneny, Lokonga; Nelson, Ødegaard, Vieira; Nketiah.

Arsenal subs: Hillson, Foran, Walters, Sousa, Smith, Cirjan, Lewis-Skelly, Cozier-Duberry, Nwaneri, Marquinhos, Sagoe Jr, Butler-Oyedeji. #afc
 
Back
Top Bottom