Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani we kwa akili yako unawaza kabisa Sane aache kucheza na Mane aje Arsenyani kukimbizana na kina Nketia?

Watu wenye akili zao walishashtukiaga mapema kua Arsenal ni timu ya kwenda kupatia uzoefu ili waweze kucheza kwenye timu kubwa. View attachment 2436606
Man u hii miaka Sita bila taji lolote?
IMG_20221204_101612.jpg
 
️Gabriel Martinelli gives @geglobo a list of the best players he's played with

You gotta love this guy
IMG_20221205_142633.jpg
 
The club is looking to add 1-2 players in January: A wide player and a DM on the agenda.
The board won't panic and won't be affected by Jesus's injury.

Hizi kauli za kiburi ndio zinatukwamisha, eti won't be affected!!! As if haikujulikana kwamba Hana sub ya kueleweka. hapa napo watasubiri mpaka Saka au Gabriel aumie ndio watafute LCB na RW!!

Hii timu ipo kwenye trajectory nzuri ila wakijichanganya hili dirisha sio tu tutapoteza top 4 ila tusahau kuingia UCL milele maana Newcastle will be serious contenders next season and ahead.
 
Hizi unazopiga hapa Ni ramli, Saka ameanza lini kucheza? Kaanza 2019 Kama Beki LB, kila Siku anazidi kukua ,Hana Rekodi za Injury Kama hao unaodai Saka atakuwa hivo, hizo unazofanya Ni ramli.

Ramsey hakuwa injury prone unamsingizia, Ramsey alivunjika dhidi ya Stoke city akaa nje miezi 9 , hakuumia sababu ya kucheza mechi nyingi .

Yaani kuumia kwa mchezaji hata Mazoezini wanaumia Tena injury mbaya ,kaangalie injury ya Nkuku aliyoipata mazoezin France NT dhidi ya camavinga .


Arteta alisema wachezaji Bora wote wanacheza mechi Hadi 70 .

Ndio maana anasema hataki kuleta mchezaji wa Benchi, Bali atakayekuja na kufanyiwa rotation ,


Angetaka wa Benchi ,Pepe anafaa Sana kuwa Benchi .
Mkuu Tafiti kibao zinaonyesha injuries ukubwani zinahusika na game management kwenye youth set up.

Kingine hakuna mchezaji anazaliwa injury prone ila mazoezi, mechi anazocheza na fatigue zinaweza affect miguu au misuli yake in the long run.

So unaweza sema Saka sio injury prone ila hata Wilshere hakua injury prone ila baada ya kucheza mechi kibao below 20 ikaja ku catch up naye ukubwani.

Ukiona Ansi Fati hachezi Kila mechi sio sababu Hana umuhimu ila Wanaenda naye taratibu otherwise yatamkuta ya umtiti, Allen Halilovic au Nabil Fekir!!
 
Arteta kashathibitisha kuwamanage hao watoto ,

Wewe endelea kupinga , ila Usitegemee Saka awe anakupumzishwa ,alishakataa Hilo Jambo

Hata Raphina alitakiwa kuja sio kukaa bench Ni kufanya rotation tu ,

Kucheza mechi nyingi hakumfanyi mchezaji aumie , kuumia alisema Arteta wanaumia hata Mazoezini
Sawa nitarudi hapa in a few years time tuki assess what went wrong with Saka!!
 
Atletico Ni timu ya kupaki Basi ,sio possession team ,usitudanganye

Halafu Arsenal ya Arteta haisajili kwa Mihemko au kwasababu mchezaji fulani Ni mzuri, wanasajiri kwa kuangalia anafaa kwenye mfumo .

Bado hujifunzi tu ,ndio nyie mliponda Sajiri za Kina Tomiyasu, White, Ramsdale,Jesus ,n.k

Wewe sema humtaki Murdky na humjui, ila tambua Arsenal ina maskauti wanaofanya hiyo kazi

Summer ,Arsenal ilifanya skauti ya LB alikuwepo Martinez ,Gomez ,na Zinchenko

Nani alikuwa anamjua Martinez Lisandro? Hata man u wamekuja kuingilia baadae Baada ya ETH kuwa kocha wa man u .

Gomez ulikuwa unamjua? Yupo City ,Baada ya Arteta kumbeba Zinny,

Unachanganya usajiri wa Pepe na Arteta'e Era?upo seriously?

Pepe alisajiriwa kipind Cha Raul sanheil kipind ambacho Model ya Arsenal haimruhusu kocha kuwa na Say yoyote ,kumbuka Emery alimtaka Zaha ,
Mkuu fuatilia vizuri, lisandro Martinez mbona anafahamika tokea ananunuliwa akiwa na Alvarez wa mexico kureplace de light na de jong Wala sio sababu ya scouting ya arsenal.

2. Atletico ipaki basi ikicheza na Getafe au Almeria? Kuwa serious kupaki basi ni UCL pekee ila La Liga haijawahi kupaki basi maana inacheza na vitimu vidogo so vinakaba tu na kutegea counter. Formation ya Atleti La Liga ni 3-1-4-2 Sasa hapo inapaki vipi basi? Unajua msimu 2020/21 wa ubingwa Atletico walifunga magoli mengi kuliko Real Madrid!!!

3. Gomez wa Anderlecht anafahamika sana tu alikua potential replacement ya Tagliafico Ajax. We kutokujua wachezaji kusikupe upofu hata huyo Danilo mnamjadili humu ni level ya Lokonga lakini Kuna watu mna matumaini eti ndio mrithi wa Partey?? Are we serious??

4. Pepe alikua a good player ila sio level ya EPL whether kocha ana say au lah unadhani Murdyk ndio solution?? Yule ni level za timu kama Brighton zinazo tegea counter sio Arsenal more over kwa 70M!!! Mtakula.

5. Mnadai hamsajili kwa mihemko Sasa mlipata Nini last season kwa kiburi hiko? Mlitucost tu UCL position na msimu huu pia jeuri hii hii itatunyonga Tena. Why don't we learn from mistakes??
 
Hizi kauli za kiburi ndio zinatukwamisha, eti won't be affected!!! As if haikujulikana kwamba Hana sub ya kueleweka. hapa napo watasubiri mpaka Saka au Gabriel aumie ndio watafute LCB na RW!!

Hii timu ipo kwenye trajectory nzuri ila wakijichanganya hili dirisha sio tu tutapoteza top 4 ila tusahau kuingia UCL milele maana Newcastle will be serious contenders next season and ahead.
Mimi nakushauri Tena kawekeze majukwaa ya siasa ,

Arsenal walishasema na. Wamekuwa wakirudia kupitia Arteta hawawezi kusajiri Tena mchezaji ilimradi tu , walipomkosa Raphina na Neto ,option ilikuwa Ni kwenda January kuangalia option nyingine ambayo Ni Winger anayecheza both flanks ,kumbuka hapo pia Kuna Smith Rowe anacheza LW na no.10 ,Kuna Fabio Vieira anacheza No.10 na kwa Xhaka .

Jesus anacheza both flanks ,

Kwenye backline Bado utaratibu Ni ule ule ,Hakuna Mapungufu Kama unavyodai

Kwanza tambua model ya Arsenal Sasa Ni kusajiri Versatile Players ,

Arsenal Ina mabeki wakati WHITE , GABRIEL, HOLDING,SALIBA ,

katika hao White anacheza RCB na RB , SALIBA pia anacheza RB apart from RCB .


Kuna Tomiyasu Huyu anacheza LCB,RB,LB,RCB,

Kuna Kieran Tierney na Zinchenko Hawa wanacheza LB ,lakini ukitaka au Ukibanwa kabisa kwenye kiungo ,Zinny anacheza CM, NA AM. ,


Nakushangaa unaposema Aletwe beki mwingine Wakati kipaumbele Ni WIDE FORWARD ambaye utaratibu Ni ule ule awe anacheza flanks zote mbili, rejea Kwanini alitakiwa Raphina ,Neto .


Murdky anacheza LW na RW na Ni goalscoring player,

Unapomleta Huyu unauhakika wakumtumia LW au RW , Kumbuka hapo Kuna Smith Rowe ambaye Ni hatari akicheza LW (inverted winger) .

Martinelli anaweza pia kucheza Kama False 9 .Hata Tite amesema Kuumia kwa Jesus ,Martinell atamtumia pia Kama False 9.


Depth ya Timu Sio kujaza wachezaji wengi wasio na msaada ,ndio maana HUWA nauliza Kama kuwa na wachezaji ,Basi Pepe angebaki Kama backup ,kwa kiwango Cha Pepe Ni backup kabisa nzuri, ila mwalimu kashasema Anataka mchezaji wakuingia na kutoa A performance.
 
Mkuu Tafiti kibao zinaonyesha injuries ukubwani zinahusika na game management kwenye youth set up.

Kingine hakuna mchezaji anazaliwa injury prone ila mazoezi, mechi anazocheza na fatigue zinaweza affect miguu au misuli yake in the long run.

So unaweza sema Saka sio injury prone ila hata Wilshere hakua injury prone ila baada ya kucheza mechi kibao below 20 ikaja ku catch up naye ukubwani.

Ukiona Ansi Fati hachezi Kila mechi sio sababu Hana umuhimu ila Wanaenda naye taratibu otherwise yatamkuta ya umtiti, Allen Halilovic au Nabil Fekir!!
mwambie hamis77 hizi kinda za Academy bado hazijakaza vizuri mifupa, hivi zinavyopelekewa moto kila siku lazima zitapata matege.
 
Toka lini Simeone awekeze kwenye possession game?
emoji1787.png
emoji1787.png
Mimi nakushauri kakomae na siasa ,habari nyingi za Mpira Hasa Arsenal zimekupita

Unafananisha usajiri wa Pepe na Sajiri za Arteta?

Unajua walimsajiri Pepe walifukuzwa kazi Arsenal na Tim Lewis ,yupo kwenye picha hapo.,Ni Lawyer na memba wa Bodi ya Arsenal .

Unajua Usajiri wa Pepe na Sajiri kibao kipind Cha Emery zilikuwa Sajiri za Viongozi sio Emery, sababu alikuwa HEAD COACH tu.

Arsenal, Juventus, Mancity ,Madrid wanamuhitaji Murdky ,watu wamefanya skauti ,wewe unabeza kirahisi Sana

Usajiri Ni kamari lakini unavyo mu underrate Huyo dogo duh!

Nowdays mpira umehamia kwenye majukumu zaidi ya vipaji binafsi,

Nilipingana Sana na mashabiki humu baadhi ,walimkataa Ramsdale wakisema ameshusha timu 3 daraja , lakini Arteta alikomaa akatoa £30m , wakabeza wakasema anashindwa kutoa £10m kwa Onana,

View attachment 2436492
Tatizo uko emotional Sasa niambie Formation ya Atletico La Liga ni ipi? Na Hilo basi wanapaki kwenye mechi zipi? EPL fanboys you know nothing outside EPL no wonder mtu humu kadai eti Lisandro Martinez alikua hajulikani before arsenal scouts kumuona!!!

The formation is 3-1-4-2 with Koke ambaye sio DM ndio deepest player na hiki ndio kilimtoa Partey Atletico maana midfield walikuepo Torreira, Partey, Saul, Herrera, Koke ila anacheza Koke peke yake!! Wengine wote ni attacking players say Felix,Lemar, Llorente, Suarez, Correa etc Sasa basi Gani hapo utapaki!!!

2. Unasifia sana sajili ila zinchenko mljua ni injury prone huku sub yake Tierney naye Yuko kitandani but u still bought him madhara yake umeona? Hapo Bado Midfield mkamsifia Lokonga weee Yako wapi Sasa? Mbona mmekiri kuwa DM kuna udhaifu? Vipi Vieira ana lolote la maana Toka amesajiliwa kwa 40M? Au Bado Bado hamjakubali ni average?

Arsenal in potential nzuri ila tushukuru hatuna majeruhi otherwise we'll be exposed badly na kama hawatasijili depth eti kisa panic buys sijui future-oriented tutarudi hapa mkilialia kumaliza nafasi ya 8.
 
Mkuu fuatilia vizuri, lisandro Martinez mbona anafahamika tokea ananunuliwa akiwa na Alvarez wa mexico kureplace de light na de jong Wala sio sababu ya scouting ya arsenal.

2. Atletico ipaki basi ikicheza na Getafe au Almeria? Kuwa serious kupaki basi ni UCL pekee ila La Liga haijawahi kupaki basi maana inacheza na vitimu vidogo so vinakaba tu na kutegea counter. Formation ya Atleti La Liga ni 3-1-4-2 Sasa hapo inapaki vipi basi? Unajua msimu 2020/21 wa ubingwa Atletico walifunga magoli mengi kuliko Real Madrid!!!

3. Gomez wa Anderlecht anafahamika sana tu alikua potential replacement ya Tagliafico Ajax. We kutokujua wachezaji kusikupe upofu hata huyo Danilo mnamjadili humu ni level ya Lokonga lakini Kuna watu mna matumaini eti ndio mrithi wa Partey?? Are we serious??

4. Pepe alikua a good player ila sio level ya EPL whether kocha ana say au lah unadhani Murdyk ndio solution?? Yule ni level za timu kama Brighton zinazo tegea counter sio Arsenal more over kwa 70M!!! Mtakula.

5. Mnadai hamsajili kwa mihemko Sasa mlipata Nini last season kwa kiburi hiko? Mlitucost tu UCL position na msimu huu pia jeuri hii hii itatunyonga Tena. Why don't we learn from mistakes??
Lisandro ulimfahamu Kama Ni mchezaji mzuri ? Kwenda Ajax ,Ni timu gan kubwa zilipigana vikumbo?

Unajua hata Arsenal walikuwa wanamfatilia wao pekee kabla Man u hawajaingia mwishoni?

Unasema Arsenal ilikukost kwenda UCL

Kwanza Nan alikuambia Arsenal mwaka Jana malengo ilikuwa kurudi UCL ?nyie sindio mlisema inashuka daraja?

Mpira Ni project na process Sio zima Moto


Malengo ya Arsenal mwaka Jana ilikuwa kuingia Top 6 ,Arteta aka achieve more akawa namba 5,

Akaitwa ofisini akapewa mkataba mpya


Unasema Danilo Ni sawa na lokonga , kwa skauti gani umefanya ?Arsenal wameanza kumfatilia Danilo na kutuma Skauti toka mwaka Jana .


Wewe upo bongo unasema Wa kawaida


Watu wanalipwa wamekuwa wakienda kumfatilia Murdky Ukraine kila mechi , wewe umemuangalia YouTube unasema mbovu kisa unamtaka Joao Felix

Kocha hawez kusajiri kwa matakwa ya mashabiki , klabu zinazojielewa zimeshatoka huko
 
mwambie hamis77 hizi kinda za Academy bado hazijakaza vizuri mifupa, hivi zinavyopelekewa moto kila siku lazima zitapata matege.
Shida ya mashabiki maandazi Wana wachezaji wao wa mfukoni ,wanataka waje kwenye timu ,hawajui hata timu inachezaje ,Sio kila mchezaji mzuri anacheza popote ,Hasa kwahawa morden coaches


World class wangapi wamekuja man u kwa matakwa ya mabosi na Sio makocha ,wameishia wapi?
 
Tatizo uko emotional Sasa niambie Formation ya Atletico La Liga ni ipi? Na Hilo basi wanapaki kwenye mechi zipi? EPL fanboys you know nothing outside EPL no wonder mtu humu kadai eti Lisandro Martinez alikua hajulikani before arsenal scouts kumuona!!!

The formation is 3-1-4-2 with Koke ambaye sio DM ndio deepest player na hiki ndio kilimtoa Partey Atletico maana midfield walikuepo Torreira, Partey, Saul, Herrera, Koke ila anacheza Koke peke yake!! Wengine wote ni attacking players say Felix,Lemar, Llorente, Suarez, Correa etc Sasa basi Gani hapo utapaki!!!

2. Unasifia sana sajili ila zinchenko mljua ni injury prone huku sub yake Tierney naye Yuko kitandani but u still bought him madhara yake umeona? Hapo Bado Midfield mkamsifia Lokonga weee Yako wapi Sasa? Mbona mmekiri kuwa DM kuna udhaifu? Vipi Vieira ana lolote la maana Toka amesajiliwa kwa 40M? Au Bado Bado hamjakubali ni average?

Arsenal in potential nzuri ila tushukuru hatuna majeruhi otherwise we'll be exposed badly na kama hawatasijili depth eti kisa panic buys sijui future-oriented tutarudi hapa mkilialia kumaliza nafasi ya 8.

Bado narudia kawekeze kwenye siasa ,Mliponda project ya Arteta ,akianza na Hawa watoto ,leo mnaleta ujuaji kutaka alete wachezaji wenu wa mfukoni Kitu ambacho hawezi kumskiliza mtu,

Alifanikiwa kufukuza kina Auba ,Ozil n.k makelele yakawa Mengi ,mkatulia


Huyo Atletico unayetaka kutudanganya ana possess Mpira sijui Ni wa wap

Atletico Ni timu ya 7 laliga kwa umiliki wa mpira


Partey Aliondoka Atletico sababu kuu Kwanza Ni Arsenal fans ,pili maslahi , Atletico walikuwa wanamlipa 65k pound ,Arsenal analipwa 200k pound .

Hiyo unayosema wewe Ni UZUSHI tu.


Zinchenko Ni injury prone ,mwenye uwezo mzuri tu, na Sio mara zote chance ya yeye na KT wanakuwa majeruhi

Habari njema Sasa LB Ni Zinny anakuja Tomiyasu ndipo nafata KT,


Unaponda Sajiri ya Fabio Vieira ,ambaye hakuwa na pre season , alikuwa injury, bado mechi alizocheza kafunga na ku assist ,na ana miaka 21 tu ,anacheza nafasi karibu 3, RW,LW na AM .

Kama hujui mechi ya mwisho alicheza role ya XHAKA akapika Goli .
Au mwenzetu tayari Unataka useme Ni mchezaji mbaya ?


Hii inaonesha jinsi gani humfatilii Arsenal ,

Uliikimbia ,now inatembea unadhan Ni Fluke , it's project and process
 
Mimi nakushauri Tena kawekeze majukwaa ya siasa ,

Arsenal walishasema na. Wamekuwa wakirudia kupitia Arteta hawawezi kusajiri Tena mchezaji ilimradi tu , walipomkosa Raphina na Neto ,option ilikuwa Ni kwenda January kuangalia option nyingine ambayo Ni Winger anayecheza both flanks ,kumbuka hapo pia Kuna Smith Rowe anacheza LW na no.10 ,Kuna Fabio Vieira anacheza No.10 na kwa Xhaka .

Jesus anacheza both flanks ,

Kwenye backline Bado utaratibu Ni ule ule ,Hakuna Mapungufu Kama unavyodai

Kwanza tambua model ya Arsenal Sasa Ni kusajiri Versatile Players ,

Arsenal Ina mabeki wakati WHITE , GABRIEL, HOLDING,SALIBA ,

katika hao White anacheza RCB na RB , SALIBA pia anacheza RB apart from RCB .


Kuna Tomiyasu Huyu anacheza LCB,RB,LB,RCB,

Kuna Kieran Tierney na Zinchenko Hawa wanacheza LB ,lakini ukitaka au Ukibanwa kabisa kwenye kiungo ,Zinny anacheza CM, NA AM. ,


Nakushangaa unaposema Aletwe beki mwingine Wakati kipaumbele Ni WIDE FORWARD ambaye utaratibu Ni ule ule awe anacheza flanks zote mbili, rejea Kwanini alitakiwa Raphina ,Neto .


Murdky anacheza LW na RW na Ni goalscoring player,

Unapomleta Huyu unauhakika wakumtumia LW au RW , Kumbuka hapo Kuna Smith Rowe ambaye Ni hatari akicheza LW (inverted winger) .

Martinelli anaweza pia kucheza Kama False 9 .Hata Tite amesema Kuumia kwa Jesus ,Martinell atamtumia pia Kama False 9.


Depth ya Timu Sio kujaza wachezaji wengi wasio na msaada ,ndio maana HUWA nauliza Kama kuwa na wachezaji ,Basi Pepe angebaki Kama backup ,kwa kiwango Cha Pepe Ni backup kabisa nzuri, ila mwalimu kashasema Anataka mchezaji wakuingia na kutoa A performance.
Narudia Tena usiongozwe na hisia, LCB ukimuweka tomiyasu nani acheze RB?? Utasema white ambaye huyo huyo umesema ni RCB. Sasa FA cup, UEL, na ligi zikichanganya huku Gabriel akiwa mgonjwa Ina maana Tomiyasu atacheza Kila siku (Either RB or LCB as you suggest)??

Pepe aliondolewa sababu Marquinhos na Nelson walikuwepo otherwise wasingemtoa mkopo bila "depth" in RW.

Funny enough January ulisema maneno haya haya kipindi tunalilia replacement ya Auba. Yakwapi mbona ukarudi kulalamika Tena msimu ulipoisha!!! Punguza hisia kwenye ukweli ushaambiwa Jesus kaumia eti Martinelli!!! Wakati huo LW acheze nani ESR ambaye Hana mechi Toka msimu umeanza??

Kwa fanbase ya aina hii no wonder hatujafika UCL mwaka wa 7 Sasa
 
Shida ya mashabiki maandazi Wana wachezaji wao wa mfukoni ,wanataka waje kwenye timu ,hawajui hata timu inachezaje ,Sio kila mchezaji mzuri anacheza popote ,Hasa kwahawa morden coaches


World class wangapi wamekuja man u kwa matakwa ya mabosi na Sio makocha ,wameishia wapi?
anamtaka Joao Felix, aliambiwa anafiti kwenye mipango ya kocha?

Huo upuuzi wa kusajiri ilimradi mchezaji mzuri hata man u wameanza kuuacha ,

Chelsea wametumia £300m lakin kikos dhaifu ,sababu Kuna wachezaji mule walikuwa wanasajiri bila kujua wanacheza style gani .
 
Lisandro ulimfahamu Kama Ni mchezaji mzuri ? Kwenda Ajax ,Ni timu gan kubwa zilipigana vikumbo?

Unajua hata Arsenal walikuwa wanamfatilia wao pekee kabla Man u hawajaingia mwishoni?

Unasema Arsenal ilikukost kwenda UCL

Kwanza Nan alikuambia Arsenal mwaka Jana malengo ilikuwa kurudi UCL ?nyie sindio mlisema inashuka daraja?

Mpira Ni project na process Sio zima Moto


Malengo ya Arsenal mwaka Jana ilikuwa kuingia Top 6 ,Arteta aka achieve more akawa namba 5,

Akaitwa ofisini akapewa mkataba mpya


Unasema Danilo Ni sawa na lokonga , kwa skauti gani umefanya ?Arsenal wameanza kumfatilia Danilo na kutuma Skauti toka mwaka Jana .


Wewe upo bongo unasema Wa kawaida


Watu wanalipwa wamekuwa wakienda kumfatilia Murdky Ukraine kila mechi , wewe umemuangalia YouTube unasema mbovu kisa unamtaka Joao Felix

Kocha hawez kusajiri kwa matakwa ya mashabiki , klabu zinazojielewa zimeshatoka huko
Mkuu nisiseme sana ila tutarudi hapa February ukikiri kuwa Lokonga is better than Danilo. Hao scouts unaowasifia si ndio walimleta Vieira ana lipi la ajabu? Walimleta Lokonga ana msaada Gani? Hao scouts mnawasifia sababu ya matokeo mazuri ila kuanzia March timu ilianza kupigwa sababu ya kikosi kidogo na obvious injuries kwa Partey, zinchenko na Tierney mtarudi hapa kulia Lia Tena kama msimu uliopita.

2. Kocha hasajili kwa matakwa ya mashabiki yes but depth sio takwa la washabiki ila takwa la kikosi. Ni mjinga pekee angekubali kuanza msimu bila DM wa kueleweka. Kesi ya Partey ikitolewa hukumu mtaanza Tena panic kutafuta replacement na dirisha limefungwa tutajikuta msimu wote tunacheza na Midfield pair ya Danilo/Lokonga alafu ndio unadhani inatosha kubeba ubingwa??
 
anamtaka Joao Felix, aliambiwa anafiti kwenye mipango ya kocha?

Huo upuuzi wa kusajiri ilimradi mchezaji mzuri hata man u wameanza kuuacha ,

Chelsea wametumia £300m lakin kikos dhaifu ,sababu Kuna wachezaji mule walikuwa wanasajiri bila kujua wanacheza style gani .
Mfumo Gani? Kwani Felix utamlinganisha na nani hapo Arsenal? He's better than Martinelli and Saka akija arsenal anaweza cheza nafasi ya Jesus, Odegaard au Saka or Martinelli Sasa mfumo Gani huo unique wa arsenal asicheze??

Mnasema washabiki uchwara, Sasa wwe hapo Murdyk au Danilo unamjua au ndio akitajwa tu na tabloids za arsenal unaunga mkono hoja? Kila mtu anajua Danilo is average ila ni humu JF tu mnamkuza sana kuliko uhalisia.

I remember ulidai Lokonga eti ni understudy wa Partey na sifa kibao Leo utasemaje?? You should be the last person kutoa maoni kwenye technical aspects za wachezaji
 
Narudia Tena usiongozwe na hisia, LCB ukimuweka tomiyasu nani acheze RB?? Utasema white ambaye huyo huyo umesema ni RCB. Sasa FA cup, UEL, na ligi zikichanganya huku Gabriel akiwa mgonjwa Ina maana Tomiyasu atacheza Kila siku (Either RB or LCB as you suggest)??

Pepe aliondolewa sababu Marquinhos na Nelson walikuwepo otherwise wasingemtoa mkopo bila "depth" in RW.

Funny enough January ulisema maneno haya haya kipindi tunalilia replacement ya Auba. Yakwapi mbona ukarudi kulalamika Tena msimu ulipoisha!!! Punguza hisia kwenye ukweli ushaambiwa Jesus kaumia eti Martinelli!!! Wakati huo LW acheze nani ESR ambaye Hana mechi Toka msimu umeanza??

Kwa fanbase ya aina hii no wonder hatujafika UCL mwaka wa 7 Sasa

Wewe kajikite kwenye Siasa

White Maga wamecheza Kama RcB na LCB , Bado Kuna option ya kuwatumia Saliba na white

Unapiga ramli Nan acheze RB?

HUJUI Arsenal msimu huu RB anacheza white , na alhamis Anacheza Tomiyasu as RB ,

Kabla hata LCB hujamfikilia Kuna Partnership ya Saliba White ,White magalhaes, White Holding , Saliba Magalhaes


Nani alimlilia Auba ? Baada ya Auba kufurumushwa Kwanza ndio Arsenal ilishinda mechi nyingi na Kufunga Sana ,

Kawekeze kwenye Siasa huku kwenye Soka unatia Aibu, Kwanza most of Arsenal fans walitaka Auba aondolewe , Huyo aliyemlilia utakuwa wewe.

ESR kukosa mechi ndio hawez kucheza? Kwanza ESR amecheza msimu huu mechi za awali, na ameshaanza full training

Wewe hao wachezaji wako wa mfukoni ,Hawawez kuja Arsenal

Kuna wenzako humu walimtaka Onana over Ramsdale, Emerson Royal over Tomiyasu, Buendia over Øde,

Mwisho walitulia ,na wewe utatulia
 
Bado narudia kawekeze kwenye siasa ,Mliponda project ya Arteta ,akianza na Hawa watoto ,leo mnaleta ujuaji kutaka alete wachezaji wenu wa mfukoni Kitu ambacho hawezi kumskiliza mtu,

Alifanikiwa kufukuza kina Auba ,Ozil n.k makelele yakawa Mengi ,mkatulia


Huyo Atletico unayetaka kutudanganya ana possess Mpira sijui Ni wa wap

Atletico Ni timu ya 7 laliga kwa umiliki wa mpira


Partey Aliondoka Atletico sababu kuu Kwanza Ni Arsenal fans ,pili maslahi , Atletico walikuwa wanamlipa 65k pound ,Arsenal analipwa 200k pound .

Hiyo unayosema wewe Ni UZUSHI tu.


Zinchenko Ni injury prone ,mwenye uwezo mzuri tu, na Sio mara zote chance ya yeye na KT wanakuwa majeruhi

Habari njema Sasa LB Ni Zinny anakuja Tomiyasu ndipo nafata KT,


Unaponda Sajiri ya Fabio Vieira ,ambaye hakuwa na pre season , alikuwa injury, bado mechi alizocheza kafunga na ku assist ,na ana miaka 21 tu ,anacheza nafasi karibu 3, RW,LW na AM .

Kama hujui mechi ya mwisho alicheza role ya XHAKA akapika Goli .
Au mwenzetu tayari Unataka useme Ni mchezaji mbaya ?


Hii inaonesha jinsi gani humfatilii Arsenal ,

Uliikimbia ,now inatembea unadhan Ni Fluke , it's project and process
Hoja hapa ilikua msimu ambao Atletico imebeba La Liga Sasa hizo current stats za Nini? Nani asiyejua Felix msimu huu hachezi? Ndio maana nikakwambia season 202/21 ambako formation ilibadilika from 4-4-2 kuwa 3-1-4-2 Walifunga magoli mengi as much as Real Madrid Sasa unachobisha ni Nini? Huyo Murdyk Yuko proven kwenye lipi so far kiasi he's better than Felix?!

2. Hayo ya maslahi akikwambia wapi? Angalia dakika alizokua anacheza Tomas Atletico linganisha na za Rodri na Saul na Koke!!! Alikua Hana namba Atletico sijui unaleta ujuaji wa Nini hapa. Nimeshakuambia hata Torreira alipokuja hakucheza kabisa same to Kondogbia sababu formation ilihitaji CM mmoja tu wengine wote ni Attackers kwenye flanks.

Ngoja nifukue hapa post zako za January alafu ujitafakari kama unaongozwaga na hisia au objectivity.
 
Back
Top Bottom