Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mie msimamo wangu ulikua wazi kuwa Mudryk sio kiwango Cha Felix so I'd rather buy Felix than Mudryk ilihali bei zao wote ziko juu!!

Nyie ndio mkasema sijui lolote mara sijui Arteta anona Mudryk anafiti ila Felix Hana namba kwenye mfumo.

Leo wenye timu yao hatimaye wanakiri kuwa Felix anafiti kwenye mfumo!!

So sikuja hapa kubishana ila kuwaeleza tu kuwa next time heshimu maoni ya wengine.

Ndicka umemfurahia rumours zilipokuja ila Mimi niliongelea issue ya kusajili beki kuongeza cover mkasema sijui Mpira mara sijui Kuna combinations!!! Mbona hamjamkataa Ndicka Sasa si mlisema timu ipo covered kwenye defence?
Kweli umeamua mkuu.
 
Punguza ujuaji, hakuna aliyekwambia Felix Ni mbovu, usi twist maneno, tulikwambia Mchezaji atakuja arsenal atakapokubaliwa na bench la ufundi sio matakwa ya mashabiki Kama wewe ,n.k

Ni wewe uliongoza humu kuponda kwanini wanamtaka Danilo na Mudrky

Tena ukamponda Sana Mudrky na Danilo

Sasa mudrky source Tier 1 zinasema Dili litakamilika January
1. Sipindishi maneno Mudryk is not better than Felix na uzuri Arsenal imekubali Hilo ndio maana wameingia kwenye race ya Felix.

2. Danilo ni level ya Lokonga so msitegemee ana impact yoyote msimu huu hili nazidi kurudia rudia na nitarudi hapa kuquote post zenu baada ya reality kuwa wazi. Na NATABIRI hapa Aaron uta suggest apelekwe mkopo maana hayupo tayari!!!

3. Felix Mlimponda sana Hilo liko wazi mlidai hafiti mkasema mchezaji wa mfukoni na kejeli kama hizo. Kama ambavyo nilisema tuongeze beki mkanikejeli ila Leo hii mnashabikia ujio wa Ndicka!!

Ningeshauri mpunguze ujuaji maana ipo wazi Sasa nani hajui Mpira.

I dissaproved you kwa Felix
I dissaproved you kwa issue ya LCB
And still I'll dissaprove you kwa Danilo
 
1. Sipindishi maneno Mudryk is not better than Felix na uzuri Arsenal imekubali Hilo ndio maana wameingia kwenye race ya Felix.

2. Danilo ni level ya Lokonga so msitegemee ana impact yoyote msimu huu hili nazidi kurudia rudia na nitarudi hapa kuquote post zenu baada ya reality kuwa wazi. Na NATABIRI hapa Aaron uta suggest apelekwe mkopo maana hayupo tayari!!!

3. Felix Mlimponda sana Hilo liko wazi mlidai hafiti mkasema mchezaji wa mfukoni na kejeli kama hizo. Kama ambavyo nilisema tuongeze beki mkanikejeli ila Leo hii mnashabikia ujio wa Ndicka!!

Ningeshauri mpunguze ujuaji maana ipo wazi Sasa nani hajui Mpira.

I dissaproved you kwa Felix
I dissaproved you kwa issue ya LCB
And still I'll dissaprove you kwa Danilo
Aisee.......leo umeamkia wapi?
 
Hii hapa post ukimponda Felix kwamba mfumo wa Arsenal atafeli!! Ndio nakuuliza unajiskiaje baada ya experts wa recruitment hapo Arsenal kusema ana fit?
Ndio nilikwambia hivo, maana unadai Mudrky hafai anafaa Felix

Ndio nikakwambia Mudrky Ni target ya Arteta kitambo TU, Huyo Felix ameibuka Sasa ,na hakuna concrete news anaweza sajiriwa ,
 
Hii hapa post ukiniponda nilipo suggest kwamba we need to cover LCB ukadai sijui Mpira.

Cha kushangaza ukawa wa kwanza kusifia rumours za Ndicka kusajiliwa next summer!!

Ndio maana nilikwambia Muda ndio huwa mwalimu mzuri.
Wewe Ni mkurupukaji Sana ,habari za Ndicka zipo humu na nimekuwa nikizileta kitambo ,Ndicka hajaanza kufatiliwa juzi kwa taarifa yako

Nilikwambia kwasasa usitegemee Arsenal watamsajiri LCB sio target sawa na Mbadala wa muda mrefu wa Partey sio target kwasasa had summer


Shida wewe umeibuka humu juzi,
 
I suggested Felix long way kabla rumours hazijaanza ukanishushua weeeee mara sijui mchezaji wa mfukoni.

Hili liwe fundisho, tupunguze ujuaji. Kucomment Kila dakika humu kusikufanye ujione unajua Kila kitu kuhusu Mpira kuzidi wengine.
Sasa mbona unajizima data ,uli suggest Felix ,Lakini hapo hapo unamkandia Arteta na Edu kumtaka Mudrky na Danilo kuwa hawafai

Kwahiyo wewe ndio perfect wa ku suggest wachezaj Arsenall?


Ndio maana ulipokazania aje Felix na sio Mudrky tulikuonya tafuta Timu yako umpeleke

Na Hadi Sasa Habari za Felix sio concrete anaweza kuja kuliko za Mudrky uliyemponda Sana


Je unajisikiaje ?
 
1. Sipindishi maneno Mudryk is not better than Felix na uzuri Arsenal imekubali Hilo ndio maana wameingia kwenye race ya Felix.

2. Danilo ni level ya Lokonga so msitegemee ana impact yoyote msimu huu hili nazidi kurudia rudia na nitarudi hapa kuquote post zenu baada ya reality kuwa wazi. Na NATABIRI hapa Aaron uta suggest apelekwe mkopo maana hayupo tayari!!!

3. Felix Mlimponda sana Hilo liko wazi mlidai hafiti mkasema mchezaji wa mfukoni na kejeli kama hizo. Kama ambavyo nilisema tuongeze beki mkanikejeli ila Leo hii mnashabikia ujio wa Ndicka!!

Ningeshauri mpunguze ujuaji maana ipo wazi Sasa nani hajui Mpira.

I dissaproved you kwa Felix
I dissaproved you kwa issue ya LCB
And still I'll dissaprove you kwa Danilo
Hakuna sehemu tulimponda Felix ,usitafute sympathy humu

Hakuna asiyemkubali Felix , ila tunaheshimu Mahitaji ya mwalimu


Arsenal kuingia race ya Felix haithibitishi uhalali wako kuwa upo sahihi kuponda Sajiri za Arteta

Hakuna mwana Arsenal humu asiyemkubali Felix ,ila hatuwez kulazimisha aje wakati mwalimu hamuhitaji akimuhitaji sawa

Kama mchezaji unamkubali na mwalimu hamtaki tafuta Timu mmepeleke


Unakuja kutamba humu baada ya Arsenal kuhusishwa na Felix , hapo hapo unampinga Arteta na bench la ufundi kuwataka Danilo na Mudrky

Huo Ni ujuaji wakijinga
 
Aisee.......leo umeamkia wapi?
Huyu Ni shabiki anayeibuka kipind Cha raha


Arsenal kitambo inatafuta mbadala wa Gabriel ,Lakini sio kwa Sasa Ni had summer

Huwez Sasa hivi ukawekeza pesa kusaka LCB wakati una option kibao ,hiyo pesa inaelekezwa maeneo Kama LW na CM
 
1. .

I dissaproved you kwa Felix
I dissaproved you kwa issue ya LCB
And still I'll dissaprove you kwa Danilo


Acha ujuaji hujani prove chochote

Habari za Arteta kutaka LCB zipo toka summer ,habari za kutaka mbadala wa Partey zipo toka summer


Habar za Evan Ndicka nimezileta humu sio juzi ,

Unachodai Arsenal isajiri LCB dirisha hili nilikwambia hakuna Kitu Kama hicho sababu Kuna option nyingi

Kinachofanyika Ni mipango ya kusajiri LCB dirisha lijalo , Sasa hapo Nani muongo au mjuaji Kama sio wewe?

Kwa akili yako unadhan Arsenal hii iwekeze pesa kusajiri LCB dirisha hili ,wakati Ina upungufu maeneo ya ushambuliaji LW & CF?

Kuhusu Felix umeniprove kipi? Nilikwambia narudia Arteta akimtaka mchezaji heshimu, asipomtaka heshimu pia ,
 
Aisee.......leo umeamkia wapi?
Muache tukamkaange ,kusikia Arsenal imepewa ofa ya kumsajiri Felix anadai yeye yupo sahihi sawa na Arteta , ila Arteta Huyo Huyo kumtaka Mudrky na Danilo Ni mjinga

Kaibukia juzi ,Lakini anayesoma humu anajua trend ya Usajiri Arsenal ikoje

Mfano had Jana inasemekana Arsenal wamesitisha usajiri wa DM na LCB na hata CM kwasasa had summer ,hivo dili la Danilo, Ndicka na Tielemans asilimia kubwa yatashughulikiwa summer


Maana wanaangalia maeneo yenye shida zaidi ambayo Ni LW na CF Baada ya Jesus kuumia

Hivo nguvu kubwa imewekezwa kwa Mudrky na Felix au Matheus Cunha


Sasa kwa mkurupukaji Kama Huyo ukimuambia kwasasa hakuna umuhimu wa LCB sababu tuna mabeki wa Kati wakutosha , DM Kuna elneny , CM Kuna Vieira anasaidiana na Xhaka, atakuja atakwambia muongo ,mjuaji ,n.k
 
Felix Mlimponda sana Hilo liko wazi mlidai hafiti mkasema mchezaji wa mfukoni na kejeli kama hizo. Kama ambavyo nilisema tuongeze beki mkanikejeli ila Leo hii mnashabikia ujio wa Ndicka!!

Hakuna narudia Tena hakuna shabiki wa Arsenal humu mwenye akili timamu atamkataa mchezaji ambaye kocha amemtaka kwa nguvu zote, Mashabiki walishamtaka Buendia over Øde, onana over Ramsdale, n.k mwisho walikubaliana na kocha na anaungwa mkono,



Na Ni Nani kakudanganya Arsenal inasajiri LCB hii January ? Tupe hizo habari
 
Hakuna narudia Tena hakuna shabiki wa Arsenal humu mwenye akili timamu atamkataa mchezaji ambaye kocha amemtaka kwa nguvu zote, Mashabiki walishamtaka Buendia over Øde, onana over Ramsdale, n.k mwisho walikubaliana na kocha na anaungwa mkono,



Na Ni Nani kakudanganya Arsenal inasajiri LCB hii January ? Tupe hizo habari
Pre contract agreement ya Ndicka imejadiliwa na Sky Sports ambao ni Tier 2 at worse!! Na husajiliwa January ila mchezaji anakuja Summer.

Nyie mlisema hakuna haja ya centre Back kuwa sub ya Gabriel maana Kuna "combinations" kadhaa ukasema mpaka Tomiyasu na Tierney wanacheza hapo.

Mie nikahoji depth in terms of numbers nyie mkanisema kuwa hakuna haja ya kujaza wachezaji mara sijui quality over quantity.

Sasa Leo unajiskiaje pale arsenal inafukuzia sub ya Gabriel?? Iweje mie niliona haja ya LCB wewe expert hukuona? Sasa Leo arsenal wamefanya Kile kile nilichoongelea humu?

Kibaya zaidi na bila aibu wewe ukawa wa kwanza kufurahia ujio wa Ndicka ilihali ulishasema hatuhitaji LCB maana tuna focus kwa DM na Wide player?? Sasa hapo nani hajui Mpira??
 
Acha ujuaji hujani prove chochote

Habari za Arteta kutaka LCB zipo toka summer ,habari za kutaka mbadala wa Partey zipo toka summer


Habar za Evan Ndicka nimezileta humu sio juzi ,

Unachodai Arsenal isajiri LCB dirisha hili nilikwambia hakuna Kitu Kama hicho sababu Kuna option nyingi

Kinachofanyika Ni mipango ya kusajiri LCB dirisha lijalo , Sasa hapo Nani muongo au mjuaji Kama sio wewe?

Kwa akili yako unadhan Arsenal hii iwekeze pesa kusajiri LCB dirisha hili ,wakati Ina upungufu maeneo ya ushambuliaji LW & CF?

Kuhusu Felix umeniprove kipi? Nilikwambia narudia Arteta akimtaka mchezaji heshimu, asipomtaka heshimu pia ,
Ulisema Felix hafai why Tena ukawa wa kwanza kushabikia rumours zilipokuja?? Huo unafiki na ujuaji ndio naopinga humu.

2. Eti shabiki hawezi mpinga kocha? Mbona watu walikosoa Tavares kusajiliwa ila it took time Arteta akaona Hafit kwenye mfumo ikabidi ampeleke loan? Meaning hata wao wanakosea na hawajui Kila kitu, so sio kosa mashabiki kutoa maoni based na mwenendo wa timu.

3. Acha kubadili gia niliweka hapo quote Yako ukisema hatuhitaji LCB maana Kuna combination kibao na ukazitaja. Ndio nasema hauoni aibu Leo hii unafurahia ujio wa Ndicka?

Kubali tu kuwa hauna vision nzuri ila unaongozwa na hisia no wonder umeumbuka. Imebakia kwa Danilo tu itakua hat trick of shame!!
 
Hakuna sehemu tulimponda Felix ,usitafute sympathy humu

Hakuna asiyemkubali Felix , ila tunaheshimu Mahitaji ya mwalimu


Arsenal kuingia race ya Felix haithibitishi uhalali wako kuwa upo sahihi kuponda Sajiri za Arteta

Hakuna mwana Arsenal humu asiyemkubali Felix ,ila hatuwez kulazimisha aje wakati mwalimu hamuhitaji akimuhitaji sawa

Kama mchezaji unamkubali na mwalimu hamtaki tafuta Timu mmepeleke


Unakuja kutamba humu baada ya Arsenal kuhusishwa na Felix , hapo hapo unampinga Arteta na bench la ufundi kuwataka Danilo na Mudrky

Huo Ni ujuaji wakijinga
1. Ndio hivo mkuu ulisema Felix mchezaji wa mfukoni na post zako nimekuweka hapo..... mara hafiti kwa mfumo... mara Hana namba.... ila umeumbuliwa na wenye timu.

2. Kama Murdyk was better fit than Felix unadhani wangeingia kwenye contest ya kumsign Felix? Ku consider tu usajili wa Felix means wanamuona ni better option otherwise wange stick kwa Mudryk.

3. Yes Danilo ni level ya Lokonga na Hilo Wala sioni aibu kusema we endelea na ubishi ila hili nalo utakuja kukubali na nitarudi hapa kuquote hizi post zako Tena.
 
Acha ujuaji Flano,huyu tulimkatalia na tutampinga kwa nguvu zote ,kutaka wachezaji wake ndio wasajiriwe huku wale anaowataka mwalimu kuwa Ni wabovu

Hakuna sehemu tulisema Felix mbovu,

Ila tulimwambia Felix anayemtaka kuja anaweza kumtaka na akaja akafeli vile vile


Muulize mbona aliongoza mashambulizi kumpinga Mudrky ambaye anaonekana ndio Top target na Dili lake linaweza kufanikiwa kuliko la Felix
humu shida yenu moja, shabiki wa Arsenyani haruhusiwi kutoa mawazo yake binafsi, yaani wafuasi wa AsaniWali wanatakiwa kuishi kama Marobot.
Humu mtu haruhusiwi kupinga au kukosoa mawazo ya Arteta.
Ingieni basi katika majukwaa ya Liverpool muone jinsi Jürgen Norbert Klopp anavyokosolewa, ingieni kwenye jukwaa la Chelsea muone Harry Potter anavyozodolewa, ingieni kwenye Jukwaa la United muone Mr. Kipara 10 Hag anavyochanwa live.
Huyo Arteta mwenyewe hata hii Jf haijui lakini humu ni marufuku kushauri, kukosoa au kupinga lolote analolitaka Arteta, ndio maana mnaitwa Misukule na kule kwenye hospitali ya Dodoma idadi yenu inaongezeka kila kukicha.
tapatalk_2029434656_512x512.jpg
 
Wewe Ni mkurupukaji Sana ,habari za Ndicka zipo humu na nimekuwa nikizileta kitambo ,Ndicka hajaanza kufatiliwa juzi kwa taarifa yako

Nilikwambia kwasasa usitegemee Arsenal watamsajiri LCB sio target sawa na Mbadala wa muda mrefu wa Partey sio target kwasasa had summer


Shida wewe umeibuka humu juzi,
Nimeweka hapo post Yako ukisema LCB hahitajiki maana tuna combinations za kutosha. Hadi ukasema sijui Mpira kisa tuna players wengi who can play multiple positions!!

Sasa Leo umesikia taarifa za usajili wa LCB ukaja spidi kufurahia humu ilihali ulipinga ukasema sio priority. Sasa Kama sio priority wangeanza mazungumzo Hadi kusainisha kabla hata ya kupata winger na DM??

Najua inaumiza kuumbuka ila it should be a lesson kuwa upunguze ujuaji. Na kwa taarifa tu Nimekuwepo jukwaa la arsenal la Reddit lenye members zaidi ya million 2 miaka na miaka so I guess Nina taarifa nyingi kuliko wewe. Maana kwa akili Yako unadhani jukwaa la arsenal JF ndio platform pekee ya habari za arsenal hapa Tz??

Sitokujibu Tena maana so far you've proved you know nothing about soccer zaidi ya kusubiri anachosema Arteta!! nitarudi hapa kucomment baada ya Danilo kuflop Ili iwe hat trick of shame!!
 
Mimi ngoja nikae kimya maana anataka kushindana aonekane Bora

Anarudia kile kile ambacho nimemueleza huko juu

Mtu Kama huyu nikukaa nae mbali ,Kuna Mambo mengi yakufanya
huo ndio ukomavu ambao shabiki anaejielewa anatakiwa kua nao.
Ndio maana siku hizi nakukubali sana Aaron Arsenal hua siachi kupita bila ya kusoma comments zako, na zaidi hua ninahakikisha kabla ya kusoma chochote ulichokiandika lazima kwanza ni like maana najua comments zako nyingi hua zimejaa madini ukiachana na hizi comments za malumbano.
 
Nimeweka hapo post Yako ukisema LCB hahitajiki maana tuna combinations za kutosha. Hadi ukasema sijui Mpira kisa tuna players wengi who can play multiple positions!!

Sasa Leo umesikia taarifa za usajili wa LCB ukaja spidi kufurahia humu ilihali ulipinga ukasema sio priority. Sasa Kama sio priority wangeanza mazungumzo Hadi kusainisha kabla hata ya kupata winger na DM??

Najua inaumiza kuumbuka ila it should be a lesson kuwa upunguze ujuaji. Na kwa taarifa tu Nimekuwepo jukwaa la arsenal la Reddit lenye members zaidi ya million 2 miaka na miaka so I guess Nina taarifa nyingi kuliko wewe. Maana kwa akili Yako unadhani jukwaa la arsenal JF ndio platform pekee ya habari za arsenal hapa Tz??

Sitokujibu Tena maana so far you've proved you know nothing about soccer zaidi ya kusubiri anachosema Arteta!! nitarudi hapa kucomment baada ya Danilo kuflop Ili iwe hat trick of shame!!
Wewe umetumwa kuja kuvuruga humu

Nenda jukwaa la siasa au Kule mnakobishana mwaka mzima

Kwasasa Arsenal haina mpango wakusajiri LCB ,hiyo inajulikana mipango hiyo Ni summer


Huyo Felix unayemlilia Kwanza anaweza asije

Anayetakiwa zaidi Ni huyo usiyemtaka ambaye Ni myukraine

Arsenal hii haiwezi kurukia kusajiri Beki Tena wakati iache kusajiri eneo la ushambuliaji ,watakuwa wehu

Eneo la beki wa Kati lina option karibu 4 ,

Tunafurahia LCB maana atakuja summer na Ni Baada ya holding Kuondoka ,au wewe tuambie LCB gan anakuja January hii?


Usituzingue na mabishano yako
 
Pre contract agreement ya Ndicka imejadiliwa na Sky Sports ambao ni Tier 2 at worse!! Na husajiliwa January ila mchezaji anakuja Summer.

Nyie mlisema hakuna haja ya centre Back kuwa sub ya Gabriel maana Kuna "combinations" kadhaa ukasema mpaka Tomiyasu na Tierney wanacheza hapo.

Mie nikahoji depth in terms of numbers nyie mkanisema kuwa hakuna haja ya kujaza wachezaji mara sijui quality over quantity.

Sasa Leo unajiskiaje pale arsenal inafukuzia sub ya Gabriel?? Iweje mie niliona haja ya LCB wewe expert hukuona? Sasa Leo arsenal wamefanya Kile kile nilichoongelea humu?

Kibaya zaidi na bila aibu wewe ukawa wa kwanza kufurahia ujio wa Ndicka ilihali ulishasema hatuhitaji LCB maana tuna focus kwa DM na Wide player?? Sasa hapo nani hajui Mpira??
Unatafuta umaarufu humu, tulikwambia humu arsenal haina muda na haitasajiri LCB hii January

Hizo tetesi za Ndicka hata mimi nimezileta Sana humu ,Ni mipango ya summer Tena kwakuwa Kuna beki mmoja atasepa na asilimia kubwa Ni holding .


Tuambie LCB gani anakuja January hii?

Hakuna shabiki wa Arsenal asiyejua anahitajika backup ya Magalhaes ,ila sio Sasa ambapo Kuna option ya kumchezesha hata white na magalhaes au white na Saliba au white na holding


Unajitoa ufahamu uonekane Bora humu

Shame on you
 
Back
Top Bottom