verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Huyu jamaa ni mtu, apewe nafasi na EPL pia
Sasa kule kocha yuko na loyalty na akina Maguire, Sterling, Shaw, Mount na watu kama hao ufanyeje sasa.Huyu Ben White hajaifanyia England uhuni kweli mbona yupo kambini tayari
Hata kama ingekua mimi ningesepa tu View attachment 2442656
Naona Partey yuko vizuri kabisa, tunaendelea tulipoishiaSasa kule kocha yuko na loyalty na akina Maguire, Sterling, Shaw, Mount na watu kama hao ufanyeje sasa.
Ben White alikuwa Dubai ,arsenal walikuwa wanasubiri england itoke waachie picha zake, aliondoka kambi ya timu ya Taifa Kuna ujuaji mwingi .Huyu Ben White hajaifanyia England uhuni kweli mbona yupo kambini tayari
Hata kama ingekua mimi ningesepa tu View attachment 2442656
Sasa kule kocha yuko na loyalty na akina Maguire, Sterling, Shaw, Mount na watu kama hao ufanyeje sasa.







Za ndaani kabisa inasemekana BW alihitilafiana pakubwa na Assistant HC bw Steve Halland kuhusu timu. Akaona isiwe shida win win situation akasepa.
Nimeipenda hii. Huenda kulikuwa na issue na kocha. Ingekuwa familia mbona Raheem alikwenda akarudi kuruka ruka jana ili aweke record ya kucheza last game vs France?
Kwa kweli Jana steering kaingia kuruka ruka ile sub ya imewacost.
Wakat Saka Yuko ndan Theo alikuwa hapandi baada ya Saka kutoka akaanza kupanda kwa Kasi Sana na pasi ya goli ilitokea upande ule ule
Niliziona hizi, ndio maana walisema hatarudi NTZa ndaani kabisa inasemekana BW alihitilafiana pakubwa na Assistant HC bw Steve Halland kuhusu timu. Akaona isiwe shida win win situation akasepa.
Juma Lokole hilo lilifukuzwa inchi ya kiislam.Huyu Ben White hajaifanyia England uhuni kweli mbona yupo kambini tayari
Hata kama ingekua mimi ningesepa tu View attachment 2442656
Wewe dada yake juma lokole upo?Juma Lokole hilo lilifukuzwa inchi ya kiislam.
Katika siku chache zilizopita , Arsenal imeingia kwenye kinyang'anyiro cha Joao Felix kwa "nguvu".
- Reliable
Hii jezi aliyovaa, ni arsenal ya kina andrey arshavin... Kajamaa kalikuwa kanaujuwa saaana, ila ndio arsenal ile ilikuwa na matatizo mengi, quality players wachache, average wamejazana.DREAM COMES TRUE
Oleksander Zinchenko anasema alipokuwa na umri wa miaka 14 na katika akademi ya Shakhtar walimuuliza kwenye sehemu ya video,
ndoto yake ilikuwa nini na akasema
"kuichezea Arsenal".
(@SkySportsPL)View attachment 2443391View attachment 2443393
Wwakiweza kumwaga mpunga ni mchezaji mzuri, aina ya uchezaji wake na soka la arsenal (arteta) vinarandana, japo si kigezo cha kuja na kufanya vizuri.Katika siku chache zilizopita , Arsenal imeingia kwenye kinyang'anyiro cha Joao Felix kwa "nguvu".
PSG na United walivutiwa sana na Bayern wamejitoa.
Atleti watamruhusu aende kwa kile wanachohisi ni ofa nzuri.
(@PatriciaCazon)- Reliable
"Atleti watamruhusu aende kwa kile wanachohisi ni ofa nzuri"Katika siku chache zilizopita , Arsenal imeingia kwenye kinyang'anyiro cha Joao Felix kwa "nguvu".
PSG na United walivutiwa sana na Bayern wamejitoa.
Atleti watamruhusu aende kwa kile wanachohisi ni ofa nzuri.
(@PatriciaCazon)- Reliable


mbele ya PSG na Man United je Arsenal mnaweza kutoa offer nzuri? 




