Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watani hongereni kwa Jack Wilshere.
Gareth Bale kachukua PFA player of the year award.
In all honesty Bale kapewa hii tuzo kwa sababu ya performance yake dhidi ya Inter Milan, maana kwenye EPL ana 7 goals 1 assists, na hao Tottenham ata champs league wanaweza wasicheze mwakani ila sijui wachezaji waliompigia kura wametumia vigezo gani kumpa hii zawadi.

Inanikumbusha mwaka ambao David Ginola alishinda, kulikuwa na wachezaji wengi wa Arsenal na Man Utd waliostahili lakini wakampa Ginola.
 
Wacha uongo wewe nenda kanunue Sky Sport na ESPN uwe unaweka vitu vya uhakika hapa kama huwezi kwenda uwanjani, zaidi ya kujishaua kama bibi kwa sababu unavyoandika vilikuwepo tangu mwanzo si ungeviweka khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

batu bakali bakifungwa
 
SPORT-kenny-NEW_1293823a.jpg
 
Lakini refarii katufanyia kitu mbaya sana,Dk 8 za nyongeza,Penalty ya Arsenal 97:36. Free kick ya Liverpool Dk 99,Penalty ya Liverpool 101.Hii sio haki hata kidogo.

Fab was looking for a penalty. He wouldn't have recovered the ball from his flick.
The goal celebration added more time to the stoppage time as did the arguments over the free kick and then the time taken to line the wall up. Lucas had his heels clipped and then got climbed on. He was going nowhere it was just stupidity really.
The stoppage time shown is the min stoppage time so the ref can add what he thinks is suitable. I would be more ****** off with the clumsy challenge then looking to blame the ref.
The person who commented that you couldn't hear what Kenny said is also wrong. I heard him clear as day tell Arsene to **** off. He wont get a ban. .
 
Lakini refarii katufanyia kitu mbaya sana,Dk 8 za nyongeza,Penalty ya Arsenal 97:36. Free kick ya Liverpool Dk 99,Penalty ya Liverpool 101.Hii sio haki hata kidogo.

Sawa Madaso,lkn timu hii ina matatizo mengi sana,no leader,no commitment,no passion,no disire,no discipline,no gut, no drive, no heart,no plan B, no responsibility etc etc,full of dross.MR WENGER...!?
 
Haya naona jezi za msimu ujao zimeanza kuleak, Arsenal kama Man Utd jezi za away zitakuwa za blue (zote zinatengenezwa na Nike lakini design tofauti)
LEAKED-arsenal-1112-away.jpg


Jezi ya nyumbani
LEAKED-arsenal-1112-home.jpg
 
Sawa Madaso,lkn timu hii ina matatizo mengi sana,no leader,no commitment,no passion,no disire,no discipline,no gut, no drive, no heart,no plan B, no responsibility etc etc,full of dross.MR WENGER...!?
Watching Mourinho with Madrid the other night makes this even more painful for Arsenal fans, but Arsene Wenger is very weak tactically when compared to Mourinho

Mourinho used Pepe with brilliance against Barcelona, where the Portuguese fielded his compatriot as a defensive midfielder to block Barcelona's midfield.

Wenger does so little tactically, it's not a surprise he was never able to beat Mourinho before. The Arsenal manager always plays with his own style and rarely ever has a plan B. Once they face a stubborn physical side, the Gunners keep passing the ball aimlessly.
During every press conference after the game, Wenger always mentions the things that didn't go his way, and mentions how bad the referee was at times. While the Frenchman is usually spot-on with his assertions, he rarely confronts his shortcomings.

This is evident during the transfer windows, where Wenger almost always gets an opportunity to buy players which Arsenal would benefit from greatly, but in the end the Frenchman refuses to do so.
 
Hata mimi kanipunguzia majonzi niliyokuwa nayo baada ya kushindwa kuchukua 3 points ambazo tulistahili kabisa kuzipata.

Arsenal fans we are sick and tired of the trophy-less gap. Indeed, Arsenal get cheated in a lot of games, but they fail in many tests because of their inadequacy and their lack of focus.

Wenger will be subject to criticism, and rightfully so. The Arsenal manager is one-dimensional in his style of play, and that has put Arsenal where we are now, in the middle of nowhere.

Chelsea are only two points behind us, and as things stand and with the Arsenal players heartbroken, it's safe to say that Arsenal finishing third wouldn't be a shock. With Arsenal still to face Tottenham and United, that seems very likely.

Arsene Wenger has done many things for Arsenal over the years, and the board backs him for another season at least, if he doesn't change his ways, Arsenal will go nowhere faster.

Wenger should buy better players, and get rid of names like Almunia and Denilson, for they are not considered Arsenal material. Should Wenger fail to address the Arsenal's weaknesses, and his own, the Arsenal fans will only say one word:
"Leave."
 
Hapana mkuu....Arsenal wanatandaza soka hasa(wanaujua mpira) tatizo wanacheza bila malengo,hawana malengo ya ushindi ndio maana wanapiga chenga mpaka golini...........Wanacheza soka la kuvutia tatiizo ni kwamba hawana wamaliziaji pamoja na morali ya ushindi.....

Ya jumatano tuyasubiri jumatano,tusiyabashiri leo...

Huwezi jua lolote laweza tokea katika soka hata Man Utd wanaweza teleza kwa mechi zilizobaki na Chelsea akawa bingwa(japo ni ngumu kutokea).....
There are many times I have felt like ripping my hair out watching Arsenal, but Liverpool match it was worse than the 4-4 draw against Newcastle, worse than the 3-2 loss to Spurs.
 
There are many times I have felt like ripping my hair out watching Arsenal, but Liverpool match it was worse than the 4-4 draw against Newcastle, worse than the 3-2 loss to Spurs.

Mkuu mie ndio nimepata nafasi ya kuangalia kipindi cha pili lisaa limoja lilopita kwa vile weekend nilikuwa busy na niliweza kuangalia first half peke yake..

Huwezi kuamini japo nilikuwa najua matokeo lakini ile penati waliopata liverpool mpaka wamefunga nilipatwa na kizunguzungu ghafla.Haijawahi kutokea na nawapa pole washabiki wenzangu tena waliokuwa wanaangalia mechi live nyumbani na uwanjani kwani hile ilikuwa torturing ya nguvu.
 
Watani hongereni kwa Jack Wilshere.

In all honesty Bale kapewa hii tuzo kwa sababu ya performance yake dhidi ya Inter Milan, maana kwenye EPL ana 7 goals 1 assists, na hao Tottenham ata champs league wanaweza wasicheze mwakani ila sijui wachezaji waliompigia kura wametumia vigezo gani kumpa hii zawadi.

Inanikumbusha mwaka ambao David Ginola alishinda, kulikuwa na wachezaji wengi wa Arsenal na Man Utd waliostahili lakini wakampa Ginola.
Kibaya zaidi game yenyewe walifungwa
 
Mkuu mie ndio nimepata nafasi ya kuangalia kipindi cha pili lisaa limoja lilopita kwa vile weekend nilikuwa busy na niliweza kuangalia first half peke yake..

Huwezi kuamini japo nilikuwa najua matokeo lakini ile penati waliopata liverpool mpaka wamefunga nilipatwa na kizunguzungu ghafla.Haijawahi kutokea na nawapa pole washabiki wenzangu tena waliokuwa wanaangalia mechi live nyumbani na uwanjani kwani hile ilikuwa torturing ya nguvu.


Arse-anal wanahitaji Kikombe cha babu Loliondo!
 
Haya naona jezi za msimu ujao zimeanza kuleak, Arsenal kama Man Utd jezi za away zitakuwa za blue (zote zinatengenezwa na Nike lakini design tofauti)
LEAKED-arsenal-1112-away.jpg


Jezi ya nyumbani
LEAKED-arsenal-1112-home.jpg

There is nothing we can do with a nice kit if we're not WINNERS on the pitch.
 
Mkuu mie ndio nimepata nafasi ya kuangalia kipindi cha pili lisaa limoja lilopita kwa vile weekend nilikuwa busy na niliweza kuangalia first half peke yake..

Huwezi kuamini japo nilikuwa najua matokeo lakini ile penati waliopata liverpool mpaka wamefunga nilipatwa na kizunguzungu ghafla.Haijawahi kutokea na nawapa pole washabiki wenzangu tena waliokuwa wanaangalia mechi live nyumbani na uwanjani kwani hile ilikuwa torturing ya nguvu.
Pole kaka ndio ukubwa, mie mechi yetu ya jumamosi ilinitia kichefuchefu kwa jinsi tulivyocheza.
 
Cesc: We'll win nothing with kids


Arsenal captain Cesc Fabregas has warned the club must make a decision between relying on youngsters and winning trophies.
cescfabregasdejected20110402_275x155.jpg
Fabregas has been left frustrated by Arsenal's failures over recent years



http://soccernet.espn.go.com/news/s...ove-offer-for-arsenal's-cesc-fabregas?cc=5739
In comments that he later defended on Twitter by saying "people try and twist everything to make headlines", Fabregas indicated his belief Arsene Wenger may have to compromise on some of his policies if the club is to go to the next level.
Arsenal look certain to end the season without silverware once more after Sunday's dramatic 1-1 draw against Liverpool left them six points behind Manchester United in the Premier League with six games to play.
It looks set to be another disappointing conclusion to the season for the Gunners, who were defeated in the Carling Cup final before exiting the Champions League and FA Cup in the space of under two weeks in February and March.
Fabregas, 23, is growing frustrated with the perennial failures and believes Wenger may now need to turn to more mature players.
He told Spanish magazine Don Balon: "From 2007, I had already started saying, 'We're not winning, but we're playing well', and then you realise that's no use.
"You enjoy yourself, during a phase of the championship - like this year, for example, when we were still in four different competitions, and you say to yourself, 'Here I have everything!' But then that final point is missing and it's then when you have to make a decision: either go out and win or develop players."
He added: "It's difficult. For me it's more a lack of a winning mentality, also of maturity in key moments. We have plenty of quality but lack this bit of confidence.
"The problem is that the team needs to win something. That's why it was so important to win the Carling Cup. We needed this cup to be able to believe in ourselves as a team. Van Persie has won an FA Cup as I have, but there's no more.
"Nobody in the team has won anything. We are missing that ability to say: 'Now I know what it is to win and I know what it takes to win'.
"That's what made the Arsenal team of 'The Invincibles' so strong - they knew how to win games, when to dig in, when to attack. They had a special intelligence to read games. Now we are very young."
Wenger has managed to ensure Arsenal remain competitive despite limited investment in the squad, but there are those who believe his position should be under scrutiny as the trophy drought looks set to increase to six years.
Asked why he has not come under pressure from the board, Fabregas said: "It's different here. The coach is an intelligent person and the club value other things - that the team is always in the Champions League, that they fight until the end, bring through young players, economic stability.
"I guess that for the board that is important. Although I imagine there will be a moment when you have to take the plunge ... either you win or you don't win."
Fabregas' own future has certainly been under the spotlight after Barcelona made an attempt to take the player back to the Camp Nou next summer.
It remains to be seen whether he will still be at Arsenal next season, although Barca president Sandro Rosell's claim that he believed Fabregas has declined in value over the last year would appear to suggest a move this summer may now be unlikely.
He said: "You have to have patience with things and wait for the right moment. The day that I leave Arsenal I will do it with my head, not just because.
"As well as that, who can be sure that you are going to play in a new team? Here I have the great fortune that at a personal level, despite not having won much, I'm doing very well.
"I spoke with [Carles] Puyol and he told me that at 26 he hadn't won anything. Puyol, who has won everything in the football world! Patience and hard work are the most important things in life."
He added: "If some day I leave Arsenal, it will never be to sign for another English team."
 
avatar275_5.gif

Maskini kijana mdogo anapata shida kwa sababu ya kupenda vitu vibovu(Arsenal). Tazama picha hii anaonyesha jinsi alivyo na mawazo na huzuni kubwa​
 
Back
Top Bottom