Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,249
- 2,156
Kweli Arsenal hatupendwi jamani,yaani sasa hivi Man Utd hawatupendi,Chelsea hamtupendi,Liver hawatupend n.k.........Tumewakosea nini?...
Anyways......Dua zenu mbaya kwendo ndo ushindi kwetu......Mtaomba sana tufungwe hiyo wednesday but mpira ni dakika 90 Muraa....Nani alijua kwamba leo tunashinda?
Tatizo mnaongea sana lakini mpira hamjui....shukuruni leo mmewakuta hao liverpool na vipasi mmepiga,hiyo jumatano sijui kama hata mtacheza na dakika 90 mtaziona ni dakika 200......