Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Poa.
Ngoja niangalie MOTD 2 nione Lee Dixon anasema nini kuhusu Arsenal.

Mpira wenyewe wa kusimuliwa na ulikuwa na mineno mingi kama kunguru khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Harston katoa analysis nzuri... Mowbry naona alikuwa so excited hehehe..

Sasa mpira hukuuona na ulikuwa unapiga tarumbeta kwa sababu Baloteli aliwakonyeza, janja yenu inajulikana mpira unakwisha mkirudisha goli khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. hakuna hata siku moja refa EPL imeongeza muda baada ya Bodi kwenda juu kwa dakika nne hii ni ya kwanza na mara nyingine ni wakati Manure wanacheza hata dakika 20 zinaweza kufika i-hali wafunge khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
rafiki zangu wote amabo wapo arsenal wanajifanya kuwa hawataki kufuatilia tena mambo ya mpira ahahahhahhahhahhah
presha zimewapanda
 
Kweli wacha1 unapenda ubishi kha!!
Hii drama ya leo nilitaka kuiangalia kwa mara ya pili, maana moments kama zile ndio zinatufanya tuipende EPL.
 
Mpira wenyewe wa kusimuliwa na ulikuwa na mineno mingi kama kunguru khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Sasa mpira hukuuona na ulikuwa unapiga tarumbeta kwa sababu Baloteli aliwakonyeza, janja yenu inajulikana mpira unakwisha mkirudisha goli khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. hakuna hata siku moja refa EPL imeongeza muda baada ya Bodi kwenda juu kwa dakika nne hii ni ya kwanza na mara nyingine ni wakati Manure wanacheza hata dakika 20 zinaweza kufika i-hali wafunge khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee



Wewe kweli kiazi. Kwani MOTD ni kwa ambao hawajaona mechi live peke yao?! Mimi naangalia kuona analysis na comments za watu tofauti waliopata kucheza mpira.
 
Kweli wacha1 unapenda ubishi kha!!
Hii drama ya leo nilitaka kuiangalia kwa mara ya pili, maana moments kama zile ndio zinatufanya tuipende EPL.

Mkuu wewe unaona ya kusimuliwa ndio na-question your intergrity ya kusema kwamba Loserfools hawakubebwa kwanza dakika zilizotangazwa zilikuwa zimekwisha hata nikakwambia walishehereka for 4 minutes, nyie tatizo lenu linaeleweka mkikonyezwa tu mnaacha magoli sasa subirini zamu yenu. Next time uwe unakuja hapa baada ya kuona mpira sio kupiga alinacha kama za Pwagu na pwaguzi. Hao Chelsick wako mahututi kwenye ICU chacha wanatafuta kikombe cha babu sisi angalau bado tupo kwenye championship sasa huu ukelele wenu unatia mashaka kama kweli ni unazi tu hata bila kuona game khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Usijali EPL huwa inajirudia usije kulia tu siko yako ikifika. Wengine hapa wana hasara ya 50 million shauri yako.
 
Hehehee wenger mbabe sana ndio maana alilimwa red card... Hivi Dalglish alimwambia F$&@ off baada ya final whistle?


Hahahahahaha....Dalglish baada ya kuona jamaa anakuja huku analalamikia penalty akaona isiwe shida, akampa F$&@ off maana hakutaka kusikia vilio vya Whinger.
 
Wewe kweli kiazi. Kwani MOTD ni kwa ambao hawajaona mechi live peke yao?! Mimi naangalia kuona analysis na comments za watu tofauti waliopata kucheza mpira.


Wacha uongo wewe nenda kanunue Sky Sport na ESPN uwe unaweka vitu vya uhakika hapa kama huwezi kwenda uwanjani, zaidi ya kujishaua kama bibi kwa sababu unavyoandika vilikuwepo tangu mwanzo si ungeviweka khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mkuu wewe unaona ya kusimuliwa ndio na-question your intergrity ya kusema kwamba Loserfools hawakubebwa kwanza dakika zilizotangazwa zilikuwa zimekwisha hata nikakwambia walishehereka for 4 minutes, nyie tatizo lenu linaeleweka mkikonyezwa tu mnaacha magoli sasa subirini zamu yenu. Next time uwe unakuja hapa baada ya kuona mpira sio kupiga alinacha kama za Pwagu na pwaguzi. Hao Chelsick wako mahututi kwenye ICU chacha wanatafuta kikombe cha babu sisi angalau bado tupo kwenye championship sasa huu ukelele wenu unatia mashaka kama kweli ni unazi tu hata bila kuona game khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Usijali EPL huwa inajirudia usije kulia tu siko yako ikifika. Wengine hapa wana hasara ya 50 million shauri yako.
Rudi nyuma kaanagalie post yangu ya kwanza kuhusiana na hii mechi nimeiweka saa ngapi, mechi nimeiangalia kuanzia dakika ya 55 mpaka mwisho. Na nilitaka kuangalia MOTD 2 kwa sababu nilimiss kipindi cha kwanza na vile vile kutaka kuona dakika za mwisho maana kwangu mimi zile dakika 5 za mwisho zilikuwa tamu kuliko hizo dakika 35 nilizoangalia.

Kama unataka kuquestion integrity yangu kwa sababu nimeangalia MOTD 2 be my guest. Na sasa hivi nataka tena kuangalia Sky Sports 1.
 
Napiga mluzi tu sasa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee siri imefichuke khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee janja ya nyau tikisa makia aaaa a .. ... ..
 
Wacha uongo wewe nenda kanunue Sky Sport na ESPN uwe unaweka vitu vya uhakika hapa kama huwezi kwenda uwanjani, zaidi ya kujishaua kama bibi kwa sababu unavyoandika vilikuwepo tangu mwanzo si ungeviweka khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


karibu home, Sports is my addiction and I'm well equipped to enjoy myself.
 
Wilshere wins PFA Young Player award


Jack Wilshere has been named the 2011 PFA Young Player of the Year.

The 19-year-old is enjoying a wonderful season for both club and county and has become one of the brightest talents in the English game.

Jack has established himself as a first-team regular at Emirates Stadium, making 42 appearances and producing performances beyond his years as a virtual ever-present in the Arsenal midfield.

For England, Jack made his senior debut in August last year during a friendly against Hungary at Wembley, becoming the Three Lions' tenth youngest ever player.
 
Back
Top Bottom