Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arse8 nawapongeza sana kwa kupata draw. Ila bado muda kidogo mutaanza kumulaumu arteta. Kosi lenu finyu sana
 
Nyie wahuni mpo?
IMG-20201206-WA0062.jpg
 
M nalia na mfumo tunapo shambulia,

jesus anapiga chenga akitaka kushoot adui kashafika, anatumia nguvu nyingi kwenye dribble ukifika mda wa kushoot nguvu zime isha anapiga kishoot kiduchuu akina ata afya,
As striker haache mambo mengi, a master zaid kwenye kujiposition kwenye free space(kwenye hili nketia anajitahid ila tatizo lake akipata mpira n kubutua ata bila kutazama goal liko wapi shabaha zero)
Martinel siku hizi kaacha ku cut in na kushoot n muhimu zile ata kama hajafunga kipa anaweza tema mtu akamalizia

Waongeze mbinu katika kutafuta magoal na shabaha
 
Mbona hatujafungwa hizi kelele zanini,
Mtu alikula 3 na leeds, mwingine alikula 4 na Brentford. Ujasiri mnautoa wapi kuja kutukana viongozi wenu humu kisa sare,

Yaani mnatukana dereva na nyie n abiria, tutapindua gari mfe kenge nyie
Wakati mnapindua mnakua mko wapi?
 
Back
Top Bottom