Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nguvu ya arsenal ipo wapi?
1. Pressing
2. One against one
4. Fluidity

1. Pressing
Hii unaweza kuita, kukabia juu
Saka, martinel na Jesus kuna muda wanajivuta nyuma wanawaacha wapinza waanzishe mashambuli na kuna muda wanawakabia huwa wanawakabia juu kabisa
Hao watu wakikabia juu 90% timu pinzanini lazima ibutue mpira
Hiyo inaitwa umewatoa katika mchezo wao
Kwaio ni kazi ya midfielders na backs kuwin mipira na kuanza kupeleka moto

Nyumbu vs chelshit
Wote jana walikua wanafanya pressing lakini hauoni zile hatari za pressing
Unajiuliza hawa wapuuzi sasa wanacheza nini hapa?

Auba, sterling na mount
Wanakabia kwa juu lakini hawaoneshi efects zozote
Anthony, rashfor, Sancho
Hawa nao wapo wapo tu, pressing lakin kepa ndio kwanza anapiga pasi

Broo usiombe upigwe pressing ya Saka, Jesus, Martinel
Pale wakiamua jambo lao
 
One against one
Naona hili lishaelezewa sana na dunia nzima sasa inajua saka akabwi na mchezaji mmoja
Martinel nae ni hivyo hivyo, tena wale mabeki wanaopanda sana kufanya mashambulizu, wakiku na martinel huwa lazima wawe wapole
Kamhluulizeni A. Arnold au ata ngolo kante

Jesus ni bampa to bampa
Jana nilimuangalia Auba then nikaishia kusikitika tu.
Unahitaji mtu kama Jesus kufanya disturbances kwa mabeki, pressing, ku-hold mpira
Mtu ambae anacheza kitimu zaidi na sio kusubiri mipira tu, akikosa goal asishia kushika kichwa

Partey bado ni uti wa mgongo pale arsenal
Coz uwepo wake, pale katika huwa kuna kuwa na utulivu
Anajua muda gani ku-make move, muda gani kupiga tackles na kuwin mipira baada ya pressing inayofanywa na saka, Jesus na martinel

Tomiyasu samurai la kijapan huyu ndio mtu kazi lakini sio mandonga
Kwanza hana ata kujisahau, anakukabia na anakufanyia mashambulizi
Huyu anaweza kukukabia wachezaji wawili alafu ata aringi
Tierney mtu kazi pia
 
Fluidity
Dynamic flow ya uchezaji tukitoka nyuma kwenda mbele
Uanzaji wetu wa one two, one two hadi mashambulizi
Na hapa ndio kuna kitu kinaitwa burudani.
Yani ulevi wa mpira upo hapa
Na ndio sababu wengi kujikuta kunakua washika mitutu

Arsenal akishika mpira akiwa anakuja kwa timu pinzani ni more than SEX
Unaona kabisa hii ni sayansi, mpira unapitishwa kwenye njia zake
Chumba baada ya chumba, kama draft vile

Kuna watu wakishika mpira unajua anaweza kupeleka mbele au kurudisha nyuma
Lakini odegard, martinel, Jesus, Partey, xhaka, odegard hawa watu wakishika 90% huwa ni penetration passes, integrated take one, shooting

Hivi vitu huwezi kuviona kwa Liverpool, Chelsea na nyumbu kwa sasa
Ndio maana sisi tunapigwa na ubaridi wao wanavuta pumzika ya moto huko mabondekuinuka


Arsenal ndoo
Haaland kiatu
 
Fluidity
Dynamic flow ya uchezaji tukitoka nyuma kwenda mbele
Uanzaji wetu wa one two, one two hadi mashambulizi
Na hapa ndio kuna kitu kinaitwa burudani.
Yani ulevi wa mpira upo hapa
Na ndio sababu wengi kujikuta kunakua washika mitutu

Arsenal akishika mpira akiwa anakuja kwa timu pinzani ni more than SEX
Unaona kabisa hii ni sayansi, mpira unapitishwa kwenye njia zake
Chumba baada ya chumba, kama draft vile

Kuna watu wakishika mpira unajua anaweza kupeleka mbele au kurudisha nyuma
Lakini odegard, martinel, Jesus, Partey, xhaka, odegard hawa watu wakishika 90% huwa ni penetration passes, integrated take one, shooting

Hivi vitu huwezi kuviona kwa Liverpool, Chelsea na nyumbu kwa sasa
Ndio maana sisi tunapigwa na ubaridi wao wanavuta pumzika ya moto huko mabondekuinuka


Arsenal ndoo
Haaland kiatu
Dah timu inavyopambwa hii ......
 
Sifurahii kuona Tierney anakula mbao, kipindi hiki ambacho Zinchenko ana majeruhi, alipaswa kuanza

Tomiyasu apambane na White kulia arudishe namba yake, kushoto wawaache mtu bee(Zinchenko na Tierney) wapambane kivyao

Mambo yakiendelea hivi Tierney atapunguza momentum na kiwango kitashuka, natutakua tumedidimiza moja ya kipaji maridhawa kabisa.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom