Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,826
- 11,647
Ni suala la muda tu
Arsenal mko vzr sana na improvement ni kubwa sana ya kiuchezaj inaonekana napingana na wale mashabik wa Arsenal wanao hata jarb kuwaza ubingwa lbd kama wanaongea ayo kishabik lkn kiuhalisia ubingwa sio hata level yenu bd ya kuwaza kbs.Ila tukijilinganisha na misimu iliyo pita tuko pazuri tunakila sababu za kujipongeza. Kufikiria ubingwa sasa hivi ni kujipa stress safar bado ndefu Sanaa,
Mashabiki wa Arsenal wanao jua mpira wanashangilia maandeleo ya timu maana bado timu inajengwa, Ubingwa n ziada, top four ndo muhimu na uhakika
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Mkuu acha wajifariji wamepitia sana shida lkn kama kwl kuja shabik wa Arsenal aliwaza au hata anawaza atabeba ubingwa bas aamke kumekucha.Shabiki za arsenyani bana...
Mara utawasikia oooh MTU unapigwa na unachezewa pira biriani
Vyuma vilipoanza kukaza Mara ooh cha muhimu point tatu
Mambo yamezidi kuwa magumu Mara ooh cha muhimu tuko kileleni....
Mtu unabaki kucheka tu

Hao wanaume wako unaowasifia wameshinda game gani? Spurs kakojolewa kamoja Leo, man u na Chelsea walipata point Moja Moja jana. Liverpool kapigwa mkwaju wa maana Jana Sasa anaishi kwa matumaini!.. Kwa hiyo kwa ajili zako ulifikiri mechi ya Leo ingekuwa rahisi?.. Tulicheza na Leeds ambao walimbanjua chelmatako bakora 3 kavu, sisi tukapambana tukatoka na goli Moja. Jana Nottingham forest kamuua liver ila Kuna watu humu wanadhani hiyo timu ukienda unajichotea point tu!.. Kimsingi tunamshukuru hatujapoteza game ya leo!.. mechi zinazofuata tutashinda Hata kama ni kwa mbinde!.. Tunamshukuru Mungu timu unazoita za wanaume nazo zinapigwa na kupoteza points tena kirabisi kabisa!.. Kwa hiyo tulia wewe Mzee, usijipe matumaini hewa!mdogomdogo mpaka inaingia March mko mnapambania kuingia kwenye top4.
Hii ni ligi ya wanaume sio ligi ya watoto wa kiume.
Arsenal ikimaliza 3 bora EPL na kubeba Europa league (kupata medali)itakuwa ni Big achievement kwa squad yetu kupambania league itakuwa ngumu ni heri kwenye Europa unampiga mtu home then away unaenda kuzuia na results unapataHao wanaume wako unaowasifia wameshinda game gani? Spurs kakojolewa kamoja Leo, man u na Chelsea walipata point Moja Moja jana. Liverpool kapigwa mkwaju wa maana Jana Sasa anaishi kwa matumaini!.. Kwa hiyo kwa ajili zako ulifikiri mechi ya Leo ingekuwa rahisi?.. Tulicheza na Leeds ambao walimbanjua chelmatako bakora 3 kavu, sisi tukapambana tukatoka na goli Moja. Jana Nottingham forest kamuua liver ila Kuna watu humu wanadhani hiyo timu ukienda unajichotea point tu!.. Kimsingi tunamshukuru hatujapoteza game ya leo!.. mechi zinazofuata tutashinda Hata kama ni kwa mbinde!.. Tunamshukuru Mungu timu unazoita za wanaume nazo zinapigwa na kupoteza points tena kirabisi kabisa!.. Kwa hiyo tulia wewe Mzee, usijipe matumaini hewa!
Kweli kabisa!.. Kwangu Hata tukiingia top four Bado ni achievement!.... Kikosi kimeimprove sana lakini Bado ukiangalia Moira vizuri unaona Kuna mapungifu!... Ndio maana tunapocheza na baadhi ya timu ambazo Kwa macho ya kawaida zinaonekana ndogo Mimi nakuwa na mashaka sana.. Mechi ya Leeds nilijua tutashinda Kwa mbinde na ikawa hivyo, mechi ijayo na psv tutashinda ila mechi na Nottingham forest hiyo itakuwa ngumu sana!. Tuombe Mungu twende world cup tukiwa kileleni au nafasi ya pili... Kimsingi tusiwe na matazamio makubwa sana, ligi Bado ni mbichi.Arsenal ikimaliza 3 bora EPL na kubeba Europa league (kupata medali)itakuwa ni Big achievement kwa squad yetu kupambania league itakuwa ngumu ni heri kwenye Europa unampiga mtu home then away unaenda kuzuia na results unapata
FACTKweli kabisa!.. Kwangu Hata tukiingia top four Bado ni achievement!.... Kikosi kimeimprove sana lakini Bado ukiangalia Moira vizuri unaona Kuna mapungifu!... Ndio maana tunapocheza na baadhi ya timu ambazo Kwa macho ya kawaida zinaonekana ndogo Mimi nakuwa na mashaka sana.. Mechi ya Leeds nilijua tutashinda Kwa mbinde na ikawa hivyo, mechi ijayo na psv tutashinda ila mechi na Nottingham forest hiyo itakuwa ngumu sana!. Tuombe Mungu twende world cup tukiwa kileleni au nafasi ya pili... Kimsingi tusiwe na matazamio makubwa sana, ligi Bado ni mbichi.
Akili zishaanza kuwarudia, na hata hatujafika mwez wenu wa 12.Kweli kabisa!.. Kwangu Hata tukiingia top four Bado ni achievement!.... Kikosi kimeimprove sana lakini Bado ukiangalia Moira vizuri unaona Kuna mapungifu!... Ndio maana tunapocheza na baadhi ya timu ambazo Kwa macho ya kawaida zinaonekana ndogo Mimi nakuwa na mashaka sana.. Mechi ya Leeds nilijua tutashinda Kwa mbinde na ikawa hivyo, mechi ijayo na psv tutashinda ila mechi na Nottingham forest hiyo itakuwa ngumu sana!. Tuombe Mungu twende world cup tukiwa kileleni au nafasi ya pili... Kimsingi tusiwe na matazamio makubwa sana, ligi Bado ni mbichi.
Plastic fan, cry moreShabiki za arsenyani bana...
Mara utawasikia oooh MTU unapigwa na unachezewa pira biriani
Vyuma vilipoanza kukaza Mara ooh cha muhimu point tatu
Mambo yamezidi kuwa magumu Mara ooh cha muhimu tuko kileleni....
Mtu unabaki kucheka tu
Nyie ndio mnaojinyongaga.Mimi ninavyojua msimu huu Arsenal anabeba NDOO
SIJALEWA
Kwa Arsenal ya jana tungetanguliwa sisi tusingetoboa.
Hakuna intensity, back passes zisizo na maana, Partey kawa hovyo anapiga pasi kama anatumia padi.
Sasa kilichotokea jana ndicho nilisema baada ya game dhidi ya leeds. Halafu kuna mtu anakuquote kukuandikia utumbo
Kushinda 1-0 siyo ishu, ishu mnashindaje hiyo 1-0? Goli linakataliwa na Bamford anakosa penati huku sisi hatuonyeshi uhai wowote.
Mwanzoni nilifikiri world cup itatutoa mchezoni ila kwa sasa naona inaweza kuturudisha mchezoni. Wanahitajika mawinga na viungo wengine ili kuhakikisha hii display ya sasa imepata dawa.
Naunga mkono hoja, nimekaa paleeeAkili zishaanza kuwarudia, na hata hatujafika mwez wenu wa 12.
Arse88 mkimaliza top4 niitwe mbwa.


Desemba tutaongea mengineKinyonge sana
1 point
Let's go the gunners
#COYG