Kiukweli kwa sasa timu yetu ni nzuri sana ila tunahitaji kikosi kiwe kipana chenye wachezaji wenye same quality Kama city hivi.
Hofu yangu bado ni kubwa sana endapo pale mashindano ya FA na Carabao yatapoanza.
Nahisi tutapoteza direction kutokana na injured players kua wengi na fatigue
Maana Carabao,FA,Uropa na league sio poa at a same time kwa timu kama yetu.
Naogopa sana story ya 2016 ya kupoteza ubingwa mbele ya Leicester isije jirudia

.
By the way I believe Arteta's strategies and processes.
Arsenal anasumbuliwa nafas hasa moja ya partey nayo sababu Elneny aliumia ,pia nafas ya Saka, nafas nyingine Kuna watu humu humo wanazicheza
Mfano LW Jesus anaweza kutokea pemben ,tukibanwa Sana upande wa saka ,Jesus anacheza pia
Nafas nyingine hasa backline zimejaa ,LB Kuna watatu , Arteta anachagua kutokana na mech husika Kuna Zinny, Tomiyasu, Tierney, RB Kuna Tomiyasu,White ,Cedric, na Saliba , Ndio Saliba anacheza pia RB, beki za Kati Kuna white ,holding, Tomiyasu,Saliba , Magalhaes,
Nafas ya Ode Kuna Vieira , na hapo Smith Rowe Ni injury Kama angekuwepo anapiga LW Kama inverted forward vzr Sana , I miss this guy aisee
Nafasi ya XHAKA Kuna Vieira pia anaicheza ,Arteta amekuwa akisema anaicheza vzr TU, pia Zinny Zinchenko anacheza hapo pia anaweza kucheza no.10 Kama anavyotumika Ukraine
Arteta alisema anahitaji wachezaji 22-25 tu , hao maana yake wanakuwa Kwanza quality pili wanacheza nafas Zaidi ya 1, hapo ndipo unapata upana wa kikosi,
Baada ya madirisha mawili tutakuwa na option Zaidi ya 2 kila nafasi
Anatafutwa DM anayeweza kucheza pia no.8 anatajwa Locatell ,Danilo kutoka kule Brazil , anatafutwa winger au inverted winger anayeweza kucheza LW,RW na ST , utaona kwanini tulimtaka Raphina he play both wings ,
Kwasasa tuombe Twende had January tukiwa pale juu ,then tuongeze winger na DM Basi kwa ajiri ya kusaidia round ya 2.