Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20221027-212657_All%20Goals.jpg
 
fixture iko tight sna.. wale wa kuingia sub hawaonekani kufanya vizur kwnye mfumo w arteta kusaidia timu.

odegaard + saka + GM6 + partey + GM11 + xhaka ;hao players kwa namna arteta anavotaka timu yke icheze ;wamekosekana wachezaji wengine sahihi wa ku wa replace during games or before games.
 
Sasa mtaanza kunielewa wakuu.

Tulianza poteza script tulipoanza zile moja moja, leo ndiyo imekua dhahiri sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyoko wameanza kurudi kwenye default mode.
Hii ndio Arsenyani tunayoijua siku zote.
Jana mlistahili kushonwa goli 5 - 0
Muda wa kuanza kutafuta visingizio ndio tayari umeshawadia.
Ila Xavi fundi sana aiseee, jana alijua kumdhalilisha Salima.
Screenshot_20221028_072627.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom