Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,396
Nilivyoona kikosi cha akina nketiah na vieira nikabet kufungwa zaidi ya Goli moja na nikaweka dau kubwa
Game baada ya siku 3 naona inatuathiri sanaSasa mtaanza kunielewa wakuu.
Tulianza poteza script tulipoanza zile moja moja, leo ndiyo imekua dhahiri sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyoko wameanza kurudi kwenye default mode.Sasa mtaanza kunielewa wakuu.
Tulianza poteza script tulipoanza zile moja moja, leo ndiyo imekua dhahiri sasa.