Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Today's win means;
17 points clear of Liverpool
10 points clear of man utd
9 points clear of Chelsea
7 points clear of Tottenham
4 points clear of man City

Let's declare this a two horse race #COYG 😎
Acha ushamba wewe hii ligi bado sana wewe jihesabie vi point vyako hapa tuone desemba utakuwa umefikia wapi ..sasa ivi tambeni tu maana wababe bado hatujakaa sawa huu msimu munaweza maliza vizuri ila mukizingua hapa yatawakuta ya liverkuku kwa misimu minne waliyotamba wana makombe ya maana mawili tu epl na uefa. Sasa musijipe moyo na hili kosi lenu finyu hamutoboi misimu miwili hakika.
 
Arsenal ilishika nafasi ya 17 na 14 kwa dribble zilizokamilishwa katika isimu miwili iliyopita ya PL lakini sasa wanaongoza kwenye viwango vyao msimu huu.

IMG_20221023_104505.jpg



Katika misimu miwili ya mwisho, Laca alikuwa na wastani wa dribble 1 kwa kila dakika 90 huku Auba akiwa na wastani wa 0.5 & 0.2 katika kipindi hicho.


Kinyume chake, Jesus & Martinelli wote wamekuwa na wastani wa kufanya dribbling 2.4 kwa kila dakika 90 kwenye PL msimu huu.
IMG_20221023_104423.jpg


Wapinzani wanapohitaji kuwafata (saka Martinell na Jesus), hawawezi kumudu kuwafata 1v1.

Jesus, Martinelli au Saka wakipata mpira mara nyingi hufatwa na mabeki 2-3 wakiwajia juu yao, hivyo huacha Nafasi/half space kwa wachezaji Kama xhaka na Odegaard.
IMG-20221005-WA0002.jpg

Partey & Odegaard wanapitisha Sana mipira kwenye hizi nafasi/half space, huku Xhaka akiwa katika jukumu lake la juu zaidi.

White, Gabriel na Saliba pia wanapiga mipira kwa washambuliaji .

Arsenal wana njia za kuendeleza mchezo ikiwa wapinzani watakata njia za kupita.
 
Auba's greatest weapon is his pace and finishing, but in his last days at Arsenal he was no longer deadly in front of goal, we just had to move on.

Against Man Utd Auba hooked 19 touches in 74 minutes of football, 4 completed passes (44.4% accuracy)
 
Arsenal anasumbuliwa nafas hasa moja ya partey nayo sababu Elneny aliumia ,pia nafas ya Saka, nafas nyingine Kuna watu humu humo wanazicheza

Mfano LW Jesus anaweza kutokea pemben ,tukibanwa Sana upande wa saka ,Jesus anacheza pia

Nafas nyingine hasa backline zimejaa ,LB Kuna watatu , Arteta anachagua kutokana na mech husika Kuna Zinny, Tomiyasu, Tierney, RB Kuna Tomiyasu,White ,Cedric, na Saliba , Ndio Saliba anacheza pia RB, beki za Kati Kuna white ,holding, Tomiyasu,Saliba , Magalhaes,

Nafas ya Ode Kuna Vieira , na hapo Smith Rowe Ni injury Kama angekuwepo anapiga LW Kama inverted forward vzr Sana , I miss this guy aisee

Nafasi ya XHAKA Kuna Vieira pia anaicheza ,Arteta amekuwa akisema anaicheza vzr TU, pia Zinny Zinchenko anacheza hapo pia anaweza kucheza no.10 Kama anavyotumika Ukraine

Arteta alisema anahitaji wachezaji 22-25 tu , hao maana yake wanakuwa Kwanza quality pili wanacheza nafas Zaidi ya 1, hapo ndipo unapata upana wa kikosi,

Baada ya madirisha mawili tutakuwa na option Zaidi ya 2 kila nafasi

Anatafutwa DM anayeweza kucheza pia no.8 anatajwa Locatell ,Danilo kutoka kule Brazil , anatafutwa winger au inverted winger anayeweza kucheza LW,RW na ST , utaona kwanini tulimtaka Raphina he play both wings ,

Kwasasa tuombe Twende had January tukiwa pale juu ,then tuongeze winger na DM Basi kwa ajiri ya kusaidia round ya 2.

Nafasi ya Saka haina pengo, Maquinhos is as good as Sska
 
They said October is the toughest or test month for the Gunners, hope you are following this👇

Arsenal’s 𝗢𝗰𝘁𝗼𝗯𝗲𝗿 fixture schedule in full:

1/10: Tottenham H✅✅
6/10: FK Bodø/Glimt H✅✅
9/10: Liverpool H✅✅
13/10: FK Bodø/Glimt A ✅✅
16/10: Leeds United A ✅✅
20/10: PSV Eindhoven H ✅✅
23/10: Southampton A
27/10: PSV Eindhoven A
30/10: Nottingham Forest H

#afc 😁😁💪🏽💪🏽

I know the next thing now is wait till January, as if January na their mate😂
Gemu ya leo naiona kama ina kaugumu fulani. Tukimkafua Southampton leo nitafurahi saana.
 
Same EPL lineup let’s hope for the better. I am happy Kyle-Walker Peters is missing and Djenepo benched so is CHE Adams
 
Back
Top Bottom