NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Kama kawa mzee Furngie alikuwepo kuleta bahasha mwenyewe kiwanjani, huwezi kusema refa anasema extra time 8 minutes halafu unaongeza dakika 11 then hata mchezaji wa Loserfools atapata ule mpira its not a penalty in miles away na sio scoring chance. Kama kawaida bahasha zinafanya kazi lakini tutacheza hadi last game.
Tutachukua point moja kibindoni sio haba.
Hahaaaaa...........umerudi mzee wa Ass-Anal..............
So many excuses but kwa kuwa honesty Ass-anal wanapiga mpira tatizo kubwa hawajui nini la kufanya baada ya kumaliza kuchezea mpira, wanasahau kuwa ukimaliza kuchezea tumbukiza wavuni...............Sijui vinafikiri kabumbu ni toy