Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Now i prove that ubingwa tunautangazia Emirate, tunaomba sana ushirikiano wenu wa kutusaidia kuupamba uwanja kwa ajili ya sherehe za kukabidhiwa kombe japo tunajua tutawaachia majonzi mazito

Yeah mkuu tukiwanyuka nyumbani kwao basi ni kutangaza ubingwa tu....haha
 
Now i prove that ubingwa tunautangazia Emirate, tunaomba sana ushirikiano wenu wa kutusaidia kuupamba uwanja kwa ajili ya sherehe za kukabidhiwa kombe japo tunajua tutawaachia majonzi mazito

Unajifariji.............lol

Naona umekuwa Sheikh Yahya II
 
This will be a hammer blow to Arsenal players, will they respond against Spuds on Wednesday?! My money is on the Yids to win it.
 
This will be a hammer blow to Arsenal players, will they respond against Spuds on Wednesday?! My money is on the Yids to win it.

Kweli Arsenal hatupendwi jamani,yaani sasa hivi Man Utd hawatupendi,Chelsea hamtupendi,Liver hawatupend n.k.........Tumewakosea nini?...

Anyways......Dua zenu mbaya kwendo ndo ushindi kwetu......Mtaomba sana tufungwe hiyo wednesday but mpira ni dakika 90 Muraa....Nani alijua kwamba leo tunashinda ama kutoka sare?........Kila mtu humu alitaka tufungwe........lol
 
Mhhhhhhhhh,kwa kigezo kipi tena jirani?

Mimi I can see Chelsea finishing fourth


Pole kwanza jirani.
Naona kuna dalili za Arsenal kudondosha points zaidi, na nina hakika Chelsea itamaliza juu ya Arsenal....Jumatano itakuwa nafasi nzuri ya kuwapita maana sioni mkiwafunga Spurs.
 
Well done ya nini sasa?,ndo maana nakwambia ulikuwa unaombea tutoke sare ama tufunngwe wewe..............Pointi 3 safiiiiiiiiiiiiii


Mmmmhh!!!! Jirani vipi tena, umengalia mpira sawa na tulioangalia wengine leo au kuna mwingine mlioshinda leo?!
 
Back
Top Bottom