Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mumewabutua vibonde hawa hapa chini mkafura kichwa eti mna timu, tukiwaambiaga hapo hakuna timu ni academy mnakasirika, wakisha komaa vizuri mnawafanyia sendoff ili waende kuwatumikia wanaume wao
  1. C. Palace nafasi ya 15
  2. LCFC nafasi ya 20
  3. Bonamouth nafasi ya 13
  4. Fulam nafasi ya 10
  5. Aston Villa nafasi ya 17
 
Mliweka na mipango ya mechi 10 mbele katimu kana kelele sana yani.

Soma iyooo.
Screenshot_20220905-085832.jpg
 
Masaa 12 yamepita yule mzee wa Mahaba bila facts Aaron Arsenal hajacomment chochote hadi sasa tukisema mtu aongee kwa facts bila kuweka mahaba tunaonekana haters goli 2 za jana za Rashford zimetokea wapi?jibu analo

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Unavyo mpa lawama Aaron Arsenal utadhani yeye ndio Arteta ama Edu.

Huyo jamaa ni shabiki tu kama wewe hana maamuzi kwenye timu.
 
Subiri wakati wa usajili atakuja na tetesi zake uchwara, Aaron miaka 5 nipo Jf yeye nyakati kama hizi kuwa haonekani kuja kufanya uchambuzi kuna mwaka hadi watu walimuanzishia uzi wa kumtafuta maana alitoa imani na kutamba sana humu baadae mambo yakageuka vibaya nakumbuka ila final Europa mliyofungwa na Chelsea na kwa vile ilikua mwisho wa msimu jamaa alipotea sana akaacha jukwaa linashambuliwa mpk kulivyopoa na kufika muda wa tetesi ndio akaja kuendeleza uchambuzi wake.
Kwahiyo tunakubaliana kua kufungwa kwa Arsenal kunasababishwa na #Aaron
 
Midfield weka Lokonga,Smith Rowe na Mohammed El neny hapo utashinda

Yaani Leo Man Utd wamewashinda kwa Midfield yao ya Eriksen Na McTominay?!! Odegaard na Xhaka ni squad players bench warmers usitegemee kushindana katika big match kwa midfield umeweka Mctominay na Odegaard
Ndio umeongea nn hapa?mbona hueleweki....

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Isikufanye uamini kuwa una kikosi kibaya ila ikukumbushe kuwa, una timu ya kawaida sana.
Timu gani ambayo haifungwi?usiwe zuzu kupitiliza,hayo ndio matokeo ya football,
Man city wenyewe ambao ni bingwa watetezi walishapigwa na ubingwa wakachukua....sasa iweje kwa ARSENAL iwe ni big deal?au mlikuwa mnaogopa kurudi kwa UNBEATEN ERA hahahahahahaha acheni chuki..

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom