Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

TANGAZO

Tarehe 04/09/2022 ndiyo mwisho kwa klabu ya Arsenal kuongoza msimamo wa ligi kuu Uingereza, hivyo mnakumbushwa wote kupiga selfie, kuscreen shot msimamo wa ligi kama kumbukumbu ya kudumu kua mliongoza ligi kwa mechi za 5 (tano) za kwanza za msimu 2022/2023.

Sasa jipangeni kupigani nafasi ya kubakia top 4.

Upatapo tangazo hili, mtaarifu na shabiki mwenzako wa Arsenal.

Imetolewa na Mbabani 02/09/2022 saa 18:19.

Asante.
 
TANGAZO

Tarehe 04/09/2022 ndiyo mwisho kwa klabu ya Arsenal kuongoza msimamo wa ligi kuu Uingereza, hivyo mnakumbushwa wote kupiga selfie, kuscreen shot msimamo wa ligi kama kumbukumbu ya kudumu kua mliongoza ligi kwa mechi za 5 (tano) za kwanza za msimu 2022/2023.

Sasa jipangeni kupigani nafasi ya kubakia top 4.

Upatapo tangazo hili, mtaarifu na shabiki mwenzako wa Arsenal.

Imetolewa na Mbabani 02/09/2022 saa 18:19.

Asante.
Utajua ujui... J pil sio mbali!
 
TANGAZO

Tarehe 04/09/2022 ndiyo mwisho kwa klabu ya Arsenal kuongoza msimamo wa ligi kuu Uingereza, hivyo mnakumbushwa wote kupiga selfie, kuscreen shot msimamo wa ligi kama kumbukumbu ya kudumu kua mliongoza ligi kwa mechi za 5 (tano) za kwanza za msimu 2022/2023.

Sasa jipangeni kupigani nafasi ya kubakia top 4.

Upatapo tangazo hili, mtaarifu na shabiki mwenzako wa Arsenal.

Imetolewa na Mbabani 02/09/2022 saa 18:19.

Asante.
Lengo la Arsenal lipo palepale kucheza champions league msimu ujao.

Hivyo, nafasi ya 1-4 ni priority.
 
Nashindwa elewa Aaron Arsenal anawaza nini anavyosema ni sahihi hatujasajili.

Partey anaumia tunapoteza games.

Tushajua tunahitaji kiungo.

Dirisha limefika. Hatujasajili.

Na Aaron anaona ni sahihi simply kwakua wao wanajua wanachofanya?


Kocha ilibidi ajue target ni nani na akifeli option B ni nani. Hii ndiyo logic. Tumeingia kwenye dirisha hatujaaddress sehemu ya msingi lakini Aaron anaona sahihi?
Arsenal wamejifunza kuwa panic buys zina matatizo hazileti afya.

Hata Tielemans wamefikia uamuzi wa mwisho kwamba si DM ngangali na jana ameshindwa kuwazuia Manchester United kufunga maana walitawala midfield.

Ndo maana alipobadilishwa alionekana kukasirika sana maana aliona amekuwa "exposed" kweupe.

Ndugu, mpira katika nchi za wenzetu si tu kushangilia, kuna mambo mwengi "behind the scenes" hufanyika khasa kwenye usajili, na "performance" ya wachezaji.

January si mbali na Arsenal tayari wanapanga kumsajili Danilo na hata huyohyuo Luiz huenda wakamsajili January kwa bei ya chini zaidi ya sasa maana atakuwa amepunguza miezi mitatu katika mwaka mmoja alibakiza.

Hivyo Edu na Arteta sisi wapenzi wa Arsenal twaona kwamba safari hii transfer market wamefanya safi kabisa na well timed.

Sasa game la kesho Arteta ana options ya kumchezesha Ben Wite kama namba DM kuziba nafasi ya Partey na Elneny. White amecheza nafasi ya beki wa kulia na amecheza uzuri sana kiasi cha kumweka bench Tomiyasu, hiyo ilikua ni katika test kuona kama aweza kutumia pale katikati.

Akiwa msimu wa mwisho kabla ya kuja Arsenal pale Brighton licheza kama DM na kabla ya hapo akiwa Leeds United (msimu wa 2019/20), Ben White amecheza nafasi hiyo ya DM hivyo ni mchezaji "versatile" na aweza kutumika kutusukuma kesho dhidi ya Machester United.

Hivyo kesho Tomiyasu aweza kuanza kama RB na White akaenda kucheza kama DM wakimsaidia Xhaka au Lokonga akaendelea maana ame-improve sana dogo khasa kutokaa sana na mpira, hizo zote ni options.

Hivyo nio panic, Arsenal tunae emergence DM na ni Ben White hivyo tutulie tusubiri game.
 
TANGAZO

Tarehe 04/09/2022 ndiyo mwisho kwa klabu ya Arsenal kuongoza msimamo wa ligi kuu Uingereza, hivyo mnakumbushwa wote kupiga selfie, kuscreen shot msimamo wa ligi kama kumbukumbu ya kudumu kua mliongoza ligi kwa mechi za 5 (tano) za kwanza za msimu 2022/2023.

Sasa jipangeni kupigani nafasi ya kubakia top 4.

Upatapo tangazo hili, mtaarifu na shabiki mwenzako wa Arsenal.

Imetolewa na Mbabani 02/09/2022 saa 18:19.

Asante.
Mbona unaweka taarifa nusu nusu? Toa na ahadi basi tujue tunafanyaje!
 
Arteta on not panic buying:
I think we have learned a lot from that. Look at still the players we had to get out. We have to be very disciplined because in those moments you can make mistakes that can cost the club a lot.
 
Nashindwa elewa Aaron Arsenal anawaza nini anavyosema ni sahihi hatujasajili.

Partey anaumia tunapoteza games.

Tushajua tunahitaji kiungo.

Dirisha limefika. Hatujasajili.

Na Aaron anaona ni sahihi simply kwakua wao wanajua wanachofanya?


Kocha ilibidi ajue target ni nani na akifeli option B ni nani. Hii ndiyo logic. Tumeingia kwenye dirisha hatujaaddress sehemu ya msingi lakini Aaron anaona sahihi?
Sijasema Ni sahuhi, ila Kama umemsikiliza Arteta utakubaliana nae, Eneo la kiungo Arteta hakutaka kuongeza mtu ,zaidi eneo la winga tu

Eneo la kiungo limekuja baada ya neny na Partey kuumia wote

Na Arteta alisema hawawez kusajiri short term Bora wasisajiri wasubiri January

Arteta on not panic buying:
I think we have learned a lot from that. Look at still the players we had to get out. We have to be very disciplined because in those moments you can make mistakes that can cost the club a lot.
 
Ukisoma post nyingi za Aaron Arsenal utagundua he is overzealous, kwa hiyo tumuelewe hivyo na tumuache alivyo
Mbadala wa Partey ,wanayemtaka Ni wamuda mrefu sio was muda mfupi hivo waliona Kuna Elneny why watumie pesa NDEFU,

Kumtaka Luiz kumekuja mwishon baada ya kuumia Elneny

Wametuma ofa tatu kwa astonvilla wamegoma , unaweza kulaumu kitu gan hapo?


Mchezaj ana miez 9 watu wamefika had £25m , Villa kisa tuliwanyima Smith Rowe wamelipiza


But Sijajua tunalalamika Nini

Kama mbadala wa Partey na xhaka tutawapata January kwa Bei poa ,Luiz ,Danilo, Tieleman January wanapatikana Bei sawa na Bure

Kikos chetu kina option nyingi kutufikisha had January ,

Nafas ya Partey ,hata zinchenko anaicheza alisema Arteta

Bado nafas ya XHAKA ,ZINNY anaicheza


Nafas ya saka , Vieira anaicheza na alianza kule U21 ya arsenal alicheza ,anacheza pia AM

Bado Zile nafas 3 zote mbele Jesus anazipiga zote

Bado unaweza kucheza na Jesus na nketiah

Nafas za beki yule Tomiyasu anacheza zote kuanzia RB,LB,CB

Hapo una Tierney ,ZINNY ,

RB Kuna Tomiyasu, Cedric na white

BADO TU MLITAKA TUFANYE PANIC BUY?

KAZI YA KUONDOA WACHEZAJI WASIO PERFOM ILIKUWA NGUMU,
 
Nashindwa elewa Aaron Arsenal anawaza nini anavyosema ni sahihi hatujasajili.

Partey anaumia tunapoteza games.

Tushajua tunahitaji kiungo.

Dirisha limefika. Hatujasajili.

Na Aaron anaona ni sahihi simply kwakua wao wanajua wanachofanya?


Kocha ilibidi ajue target ni nani na akifeli option B ni nani. Hii ndiyo logic. Tumeingia kwenye dirisha hatujaaddress sehemu ya msingi lakini Aaron anaona sahihi?
Mbadala wa Partey Ni Elneny Ndio maana aliongezewa mkataba ,Ni nyie Ndio mlitaka asajiriwe mbadala Mwingine ,kitu ambacho Arteta hakuwa na mawazo hayo

Unfortunately Kuumia kwa Elneny Ndio kumesababisha hata kwenda kwa Luiz na Danilo


Binafs na iman na Lokonga na Ndio itakuwa turning point ya kumsahau Partey

Hata kina saka ,Smith Rowe,martinel,nketiah walipata nafas baada ya pepe ,willian,auba,laca kuharibu na tukaamin bila wao Hawa madogo hawatatusaidia kitu

The rest is History

Lokonga uzuri coaching staff wanamuamin Sana na atafanya vzr TU

Mechi na astonvilla kafanya vzr

Kwasasa Arsenal ina structure Ndio maana hata Elneny alicheza juz na Fulham tukatawala mpira kwa 70+%

Juz na Villa bado lokonga kafanya vzr

Why? Kuna structure IPO na wachezaj wanajua kuitafsiri,

Mwisho Partey nje wiki 2 ,
 
Arsenal wamejifunza kuwa panic buys zina matatizo hazileti afya.

Hata Tielemans wamefikia uamuzi wa mwisho kwamba si DM ngangali na jana ameshindwa kuwazuai Manchester United kufunga maana walitawala midfield.

Ndo maana alipobadilishwa alionekana kukasirika sana maana aliona amekuwa "exposed" kweupe.

Ndugu, mpira katika nchi za wenzetu si tu kushangilia, kuna mambo mwengi behinnd the scenes hufanyika khasa kwenye usajili, na performance ya wachezaji.

January si mbali na Arsenal tayari wanapanga kumsajili Danilo na hata huyohyuo Luiz huenda wakamsajili January kwa bei ya chini zaidi ya sasa maana atakuwa amepunguza miezi mitatu katika mwaka mmoja alibakiza.

Hivyo Edu na Arteta sisi wapenzi wa Arsenal twaona kwamba safari hii transfer market wamefanya safi kabisa na well timed.

Sasa game la kesho Arteta ana options ya kumchezesha Ben Wite kama namba DM kuziba nanfasi ya Partey na Elneny. White amecheza nafasi ya beki wa kulia na amechezaq uzuri sana kiasi cha kumweka bench Tomiyasu, hiyo ilikwua ni katika test kuona kama aweza kutumia pale katikati.

Akiwa msimu wa mwisho kabla ya kuja Arsenal pale Brighton licheza kama DM na kabla ya hapo akiwa Leeds United (msimu wa 2019/20), Ben White amecheza nafasi hiyo ya DM hivyo ni mchezaji "versatile" na aweza kutumika kutusukuma kesho dhidi ya Machester United.

Hivyo kesho Tomiyasu aweza kuanza kama RB na White akaenda kucheza kama DM wakimsaidia Xhaka au Lokonga akaendelea maana ame-improve sana dogo khasa kutokaa sana na mpira, hizo zote ni options.

Hivyo nio panic, Arsenal tunae emergence DM na ni Ben White hivyo tutulie tusubiri game.
Ndio nimewaambia hapa ,wanasema nafurahia kutosajiri mbadala wa Partey


Arsenal haisajiri kwa pupa


Wachezaji waliopo 70% Ni versatility


Tunaweza kucheza hata 4-4-2 man u akafa vzr kabisa


Winga saka marinell

Viungo xhaka ZINNY

Forward Jesus nketiah


Beki sitakiwi kutaja inajulikana


Huko mbele movement za Martinell saka nketiah alivyo improve ,na Jesus


Man u anaponaje ?

Jumapili tunakuja na 4-3-3 hybrid ya 4-2-3-1

Mid xhaka Sambi au XHAKA ZINNY

Kwingine kunajulikana,timu yetu ina structure ,hatuchez oya oya
 
Wale wanaopaniki kwenye usajili, wakisikia alichosema Leo kwenye press conference wanaweza kuja kupiga bomu kwenye group hapa.

Anyway, it is what it is...
 
Elneny alikuwepo na tulimpa mkataba sababu tukijua kabisa kwenye usajili nguvu tunaelekeza kwingine.

Be sure the next two transfers we will go hard for a DM, CM and a winger
 
Nyumbu Ni kibonde wetu

Ajiandae jumapili
IMG-20220902-WA0018.jpg
 
Elneny alikuwepo na tulimpa mkataba sababu tukijua kabisa kwenye usajili nguvu tunaelekeza kwingine.

Be sure the next two transfers we will go hard for a DM, CM and a winger
Danilo ndo priority kwa sasa mazungumzo yanaendelea, na huenda akasajiliwa January.

Wakirudi kwa Luiz Aston Villa January hawawezi kukataa lakini Arsernal itawabidi walipe zaidi kwa sababu pana clause Man City waliweka, ya kupata 15 milioni kwenye mauzo yoyote ya Luiz.

David Luiz alifundishwa na Aterta alipokuwa msaidizi wa Guadiola.

Hiyo ndo sababu kubwa ya Arsenal kushindwa kumsajili jana.

Walipojulishwa hiyo 15M clause ndo wakaamua kuachana na proceedings.

Otherwise, twaanza rasmi msimu kesho kwa mechi zote muhimu pamoja na ligi ya Europa, na tuna 15 points kibindoni.
 
Arsenal wamejifunza kuwa panic buys zina matatizo hazileti afya.

Hata Tielemans wamefikia uamuzi wa mwisho kwamba si DM ngangali na jana ameshindwa kuwazuai Manchester United kufunga maana walitawala midfield.

Ndo maana alipobadilishwa alionekana kukasirika sana maana aliona amekuwa "exposed" kweupe.

Ndugu, mpira katika nchi za wenzetu si tu kushangilia, kuna mambo mwengi behinnd the scenes hufanyika khasa kwenye usajili, na performance ya wachezaji.

January si mbali na Arsenal tayari wanapanga kumsajili Danilo na hata huyohyuo Luiz huenda wakamsajili January kwa bei ya chini zaidi ya sasa maana atakuwa amepunguza miezi mitatu katika mwaka mmoja alibakiza.

Hivyo Edu na Arteta sisi wapenzi wa Arsenal twaona kwamba safari hii transfer market wamefanya safi kabisa na well timed.

Sasa game la kesho Arteta ana options ya kumchezesha Ben Wite kama namba DM kuziba nanfasi ya Partey na Elneny. White amecheza nafasi ya beki wa kulia na amechezaq uzuri sana kiasi cha kumweka bench Tomiyasu, hiyo ilikwua ni katika test kuona kama aweza kutumia pale katikati.

Akiwa msimu wa mwisho kabla ya kuja Arsenal pale Brighton licheza kama DM na kabla ya hapo akiwa Leeds United (msimu wa 2019/20), Ben White amecheza nafasi hiyo ya DM hivyo ni mchezaji "versatile" na aweza kutumika kutusukuma kesho dhidi ya Machester United.

Hivyo kesho Tomiyasu aweza kuanza kama RB na White akaenda kucheza kama DM wakimsaidia Xhaka au Lokonga akaendelea maana ame-improve sana dogo khasa kutokaa sana na mpira, hizo zote ni options.

Hivyo nio panic, Arsenal tunae emergence DM na ni Ben White hivyo tutulie tusubiri game.
Hii ndio logic
Aaron Arsenal na ndio alichomaanisha

Na mimi nikiwa na akili timamu nakubaliana na hili

Right player at a right price

Bora tusifanye usajiri kuliko kupigwa mchana kweupe
 
Let us pray that no more injuries are sustained between now and January. Why panic buy when there is ample time to plan your needs?
 
Back
Top Bottom