Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haha dogo it takes more than possesion kupata bao.
Hakuna mahali ni wa underrate viungo wa arsenal. Ili kimbinu bado sana
Possesion haikupi point, kucheza vizur hakukupi point, magoli tu
Mfano mzuri kipindi Cha kocha Sarri ndani ya Chelseafc tulipigwa goal 4 bila na bournemouth tukiwa tuna possession ya 84 kwa 16 hata manyumbu walitupiga goals 2 tukiwa na possession ya 70 kwa 30
 
Subiri wakati wa usajili atakuja na tetesi zake uchwara, Aaron miaka 5 nipo Jf yeye nyakati kama hizi kuwa haonekani kuja kufanya uchambuzi kuna mwaka hadi watu walimuanzishia uzi wa kumtafuta maana alitoa imani na kutamba sana humu baadae mambo yakageuka vibaya nakumbuka ila final Europa mliyofungwa na Chelsea na kwa vile ilikua mwisho wa msimu jamaa alipotea sana akaacha jukwaa linashambuliwa mpk kulivyopoa na kufika muda wa tetesi ndio akaja kuendeleza uchambuzi wake.
Kale kakumbavu Aaron katimu kake kakifungwaga kanapoteaga kuja kukapata kanakuja na vitetesi na vitakwimu uchwarà ..saivi kako na Bwana zake mtaani kwao uko wanamkandakanda😂😂😂
 
Unavyo mpa lawama Aaron Arsenal utadhani yeye ndio Arteta ama Edu.

Huyo jamaa ni shabiki tu kama wewe hana maamuzi kwenye timu.
Sio anampa lawama, Kitoabu itakua wewe hujamfatilia vizuri Aaron Arsenal humu jikwaani.
computerarsenal ni mpenzi wa Arsenal na mara nyingi hua anapenda kuongea ukweli pindi anapoona madhaifu kwenye timu yake, ila hawa wengine ni chawa kazi yao ni kusifia tu na kumshambulia kwa nguvu zote mtu atakae kosoa au kuonyesha madhaifu ya timu hata kwa lengo la kuijenga timu.
 
Kazi kupita kwenye majukwaa ya watu kutingisha wowowo munasahau timu Ni baiskeli ya miti tu anagalia makero munayopata😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Nyie Kenge kama mmemaliza kutukana mtupishe sasa
Tuanze kuweka mikakati yetu sawa

Chelshit, mnapata wapi nguvu za kumcheka baba yenu wa london!?
Mikakati nyie bata muitolee wapi?
Labda muweke mitako yenu sawa ili Everton wiki ijayo awashone vizuri.
 
Always arsenal anatawala possesion akicheza na man u. Lakin kuna weakness moja ambayo arsernal miaka nenda miaka rudi hamuofanyii kazi.. mko so exposed kwa counter attack.
Na hapa man u ndipo wanawawezea
Lakini miaka kadhaa hapa nyuma manure amekuwa akifa kqa arsenal, ya jana wengi tulitamani kumnyuka manure ili iwe statement kwa rivals wote kuwa sisi sio wa mchezo ila mpira ndio ulivyo, hata hizo 5 unbeaten ni rekodi nzuri, hakuna timu isiyofungwa.
 
Kufungwa na Man U, haimaanishi Arsenal ni mbovu au hakuna progress. Progress inaonekana wazi kabisa!
Yoyote aliyeangalia mechi anajua Arsenal walivyo hatari.
Ni mechi ya kwanza dhidi ya Top 6 opponent. Huwezi kutumia mechi moja kama reference kwamba Arsenal bado hawezi kuzifunga Top 6 teams.
Misimu mingapi Man City anafungwa na kina Man U, Tottenham nk... na bado anachukua ndoo.
Kuna mdau mmoja alisema "Kama Man U ingecheza kama Arsenal jana, basi Man U angeshinda nyingi mnoo"
Kabla ya kufungwa goli la pill, Arsenal walikuwa dominant, walicontrol mpira na walikuwa threat going forward.
Goli la pili lilibadilisha dynamics za mechi. Wachezaji nao ni binadamu siyo robots, wanapata mental breakdowns pia.
 
Kufungwa na Man U, haimaanishi Arsenal ni mbovu au hakuna progress. Progress inaonekana wazi kabisa!
Yoyote aliyeangalia mechi anajua Arsenal walivyo hatari.
Ni mechi ya kwanza dhidi ya Top 6 opponent. Huwezi kutumia mechi moja kama reference kwamba Arsenal bado hawezi kuzifunga Top 6 teams.
Misimu mingapi Man City anafungwa na kina Man U, Tottenham nk... na bado anachukua ndoo.
Kuna mdau mmoja alisema "Kama Man U ingecheza kama Arsenal jana, basi Man U angeshinda nyingi mnoo"
Kabla ya kufungwa goli la pill, Arsenal walikuwa dominant, walicontrol mpira na walikuwa threat going forward.
Goli la pili lilibadilisha dynamics za mechi. Wachezaji nao ni binadamu siyo robots, wanapata mental breakdowns pia.
Upo sahihi kabisa, top six ina mechi kama kumi hivi home-away. Basi tuwe na 50% wins, 30%loss na 20%draws. Tukifikia stage hii naamini tunakuwa mabingwa watarajiwa.
 
Back
Top Bottom