toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
just a dream na refa wenu wa mchongo.ila hongereni kwa matokeo.its another game at otMimi nimesikitika sana hizi bata kufungwa goli 3, leo zilitakiwa kwa kiwango cha chini kabisaaa zipigwe walau hata goli 6.
AsaniWali, AsaniMbuzi, AsaniBata leo zitajisifia sana humu kwa kuweza kuwadhibiti Man United wasiwafunge goli nyingi.



